Ethiopian Airlines Flight 961 was a scheduled flight serving the route Addis Ababa–Nairobi–Brazzaville–Lagos–Abidjan. On 23 November 1996, the aircraft serving the flight, a Boeing 767-200ER, was hijacked en route from Addis Ababa to Nairobi by three Ethiopians seeking asylum in Australia. The plane crash-landed in the Indian Ocean near Grande Comore, Comoros Islands due to fuel exhaustion; 125 of the 175 passengers and crew on board, including the three hijackers, died. The only (partially) successful ditching of a wide-body airliner in history, the crash was captured on video.
Ninaanze na:
SIASA ZA UJAMAA NA KUJITEGEMEA;
Kwa kifupi siasa hizi za ujamaa ndo nchi ilianza nazo,siasa zilisema njia kuu za uchumi ziwe mikononi mwa umma, biashara zilifanywe na serikali mfano usafirishaji KAUDO ,KAUMA, SHIRECU ,TACOSHIL na ATC etc, mashirika ya biashara mfano National...
UTANGULIZI
Sekta ya umma ina jukumu muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Uwajibikaji wa sekta hii ni msingi wa utawala bora na ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi. Makala hii ina lengo la kuchunguza umuhimu wa uwajibikaji wa sekta ya umma katika kuleta mabadiliko chanya...
Ujumbe huo umetolewa alisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, Juma Chikoka wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mara kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya Maafisa Biashara kutoka mikoa 10.
Maafisa walioshiriki katika mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga...
HADITHI YA WANYAMA WA MSITU: JINSI UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA ULIVYOSAIDIA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA JAMII YAO.
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Picha | Msitu wa kijani kibichi
Katika msitu wa kijani kibichi, wanyama mbalimbali walikuwa wakiishi kwa amani na utulivu. Hata hivyo, katika...
MAWAZO YENYE ATHARI CHANYA: KUCHOCHEA MAENDELEO NA MABADILIKO KATIKA JAMII
Imeandikwa na:Mwl.RCT
Picha | Kwa hisani ya 'training'.au
1. UTANGULIZI
Katika jamii yetu ya leo, mawazo yana nguvu kubwa katika kuunda mabadiliko chanya. Mawazo hayo yanaweza kuchipuka kutoka kwa mtu mmoja na kusambaa...
Utangulizi.
Habari wanajamvi.Katika karne hii ya Teknolojia na Utandawazi,asilimia kubwa ya watu hutamani kujitupa kwenye Uandishi wa habari.Uwepo wa mitandao ya kijamii ndio umezidi kurahisisha uwasilishwaji wa habari.hii inapelekea kila mtu atamani kutoa habari bila kujali amesomea au...
UWAZI NA UADILIFU: NGUVU YA UONGOZI BORA KATIKA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA JAMII.
Imeandikwa na: MwlRCT
Uongozi ni nguzo muhimu katika jamii yoyote. Ni kupitia uongozi bora ndipo jamii inaweza kupiga hatua na kufikia malengo yake. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto nyingi katika uongozi...
Elimu ni sekta umuhimu ya kijamii katika kuchochea maendeleo ya ukuaji wa jamii ambapo inahusisha utoaji wa maarifa,ujuzi na mafunzo mbalimbali kuhusu maadili na stadi za maisha, sasa na utawala bora, ufundi na shughuli mbalimbali za kiuchumi Kama vile kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara kwa...
NGUVU YA SANAA KATIKA KUCHOCHEA MABADILIKO CHANYA
Imeandikwa na: Mwl.RCT
UTANGULIZI
Sanaa ni lugha ya ulimwengu ambayo inaweza kutumika kuelezea hisia, mawazo na ujumbe mbalimbali. Katika andiko hili, tutajadili jinsi sanaa inavyoweza kutumika kama njia ya kuchochea mabadiliko chanya katika...
KUIMARISHA USHIRIKI KATIKA MAJADILIANO YA MTANDAONI KUPITIA SAIKOLOJIA YA BIASHARA NA MTAZAMO CHANYA
Imeandikwa na: Mwl.RCT
UTANGULIZI
Je, umeshawahi kujihusisha katika majadiliano ya mtandaoni lakini hujui jinsi ya kufikia malengo yako? Biashara na majadiliano ya mtandaoni vina uhusiano...
Kuna mambo mbali mbali ambayo yanaweza kutoa mchango mzuri katika kuchangia mabadiliko chanya kwa jamii, lakini hapa kuna baadhi ya mambo ambayo yanaweza kuwa muhimu na ya kuzingatia. Hii inaweza kuchangia kuhamasisha utegemezi wa suluhisho za ndani na kuimarisha uwezo wa ndani katika kuchangia...
Hello wapendwa katika Mungu,
Salamu nyingi sana toka mafichoni!
Tupindue mioyo kwa mabadiliko chanya. Kila jambo zamu zamu ni hatari sana sana. Narejea na huzuni kubwa kwa taswira mgawanyo katika taifa lenye historia nzuri.
Tanzania ya sasa kebehi kwa kebehi, kicheko kwa kicheko inafikirisha...
Jamii iko katika mchakato usio na mwisho wa uboreshaji ambao unahitaji kizazi thabiti cha mawazo mapya. Changamoto mawazo ya kawaida ni matokeo ya kufikiri ubunifu na hoja tata ambayo ni kazi ya elimu ya juu. Kama msomi, nimekuwa nikitamani kila wakati kuleta mawazo mapya, imani, imani, na...
Ni hivi karibuni nimerudi kutoka nyumbani nchini Tanzania, ambako sijaenda kwa miaka mingi kutokana na changamoto za janga la COVID-19. Katika muda mfupi wa kuwepo Tanzania, nimeshuhudia mabadiliko makubwa yanayotokana na juhudi za kuendeleza nchi za mwananchi mmoja mmoja na serikali katika...
UWEKEZAJI BANDARI YA MTWARA WALETA MATOKEO CHANYA
Naibu waziri wa Ujenzi na Uchukuzi ( Sekta ya Uchukuzi) Mhe. Atupele Mwakibete, amesema uwekezaji wa zaidi ya shillings bilioni 157.8 uliowekwa katika maboresho ya Bandari ya mtwara umeanza kuleta matokeo kwani kumekua na ongezeko la shehena na...
Mfuko wa Utafiti wa UVIKO-19 wa Amne Salim:
Jumla ya tafiti nane zimeweza kuzalishwa na watafiti mbalimbali kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS) kufuatia ufadhili uliotolewa na familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu Salim Ahmed Salim uliolenga kuenzi kifo cha mke...
Uraia Hai (active citizenship) unamaanisha watu kujihusisha katika jamii zao na demokrasia katika ngazi zote na kuelewa kuwa sisi sote ni tofauti, lakini jukumu la kubadilisha jamii zetu ni sawa. Uraia hai unaweza kuanzia katika ngazi ndogo kama vile kampeni ya kusafisha mtaa wako au kubwa kama...
Siyo siri tena ndani ya CCM kuna kundi linaitwa “Matokeo Chanya”
Ambalo linaundwa na viongozi waandamizi wa awamu ya tano wa Serikali na chama, Kiongozi wao Mkuu ni Kitila Mkumbo, Katibu ni Mwita Waitara akisaidiwa na Mpina na Lusinde.
Hawa wanasema ndiyo wenye Kulinda Legacy ya Mwendazake...
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni , vyuoni , na maishani .(nukuu kutoka kamusi ya kiswahili sanifu). Elimu huwasilishwa kwa njia mbili; nazo ni elimu rami na elimu isiyo rasmi . Elimu rasmi kutolea na walimu wenye sifa na juzi wa kufundisha wakati elimu isiyo rasmi ipo nje ya...
Je una tatizo? hilo ni jambojema!.
Je una tatizo? Na ni jambo jema kwanini?
Kwasababu utatuzi wa matatizo yako unakuletea mafanikio makubwa katika maisha yako.
Kila mmoja wetu ana matatizo ndo maana kila kitu katika ulimwengu kipo katika hali ya kubadilika.Kitu cha muhimu ni kwamba, mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.