chanya

Ethiopian Airlines Flight 961 was a scheduled flight serving the route Addis Ababa–Nairobi–Brazzaville–Lagos–Abidjan. On 23 November 1996, the aircraft serving the flight, a Boeing 767-200ER, was hijacked en route from Addis Ababa to Nairobi by three Ethiopians seeking asylum in Australia. The plane crash-landed in the Indian Ocean near Grande Comore, Comoros Islands due to fuel exhaustion; 125 of the 175 passengers and crew on board, including the three hijackers, died. The only (partially) successful ditching of a wide-body airliner in history, the crash was captured on video.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Matukio ya nyuma yaliyopokelewa na kuungwa mkono kwa mihemuko na baadae kushindwa kuleta matokeo chanya na hatimae kutupwa

    Ninaanze na: SIASA ZA UJAMAA NA KUJITEGEMEA; Kwa kifupi siasa hizi za ujamaa ndo nchi ilianza nazo,siasa zilisema njia kuu za uchumi ziwe mikononi mwa umma, biashara zilifanywe na serikali mfano usafirishaji KAUDO ,KAUMA, SHIRECU ,TACOSHIL na ATC etc, mashirika ya biashara mfano National...
  2. D

    SoC03 Uwajibikaji wa Sekta ya Umma katika kuleta mabadiliko chanya

    UTANGULIZI  Sekta ya umma ina jukumu muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Uwajibikaji wa sekta hii ni msingi wa utawala bora na ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi. Makala hii ina lengo la kuchunguza umuhimu wa uwajibikaji wa sekta ya umma katika kuleta mabadiliko chanya...
  3. Roving Journalist

    Maafisa Biashara Nchini watakiwa kuonesha matokeo chanya

    Ujumbe huo umetolewa alisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, Juma Chikoka wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mara kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya Maafisa Biashara kutoka mikoa 10. Maafisa walioshiriki katika mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga...
  4. Mwl.RCT

    SoC03 Hadithi ya Wanyama wa Msitu: Jinsi Uwajibikaji na Utawala Bora ulivyosaidia kuleta Mabadiliko Chanya katika Jamii Yao

    HADITHI YA WANYAMA WA MSITU: JINSI UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA ULIVYOSAIDIA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA JAMII YAO. Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Picha | Msitu wa kijani kibichi Katika msitu wa kijani kibichi, wanyama mbalimbali walikuwa wakiishi kwa amani na utulivu. Hata hivyo, katika...
  5. Mwl.RCT

    SoC03 Mawazo Yenye Athari Chanya: Kuchochea Maendeleo Na Mabadiliko Katika Jamii

    MAWAZO YENYE ATHARI CHANYA: KUCHOCHEA MAENDELEO NA MABADILIKO KATIKA JAMII Imeandikwa na:Mwl.RCT Picha | Kwa hisani ya 'training'.au 1. UTANGULIZI Katika jamii yetu ya leo, mawazo yana nguvu kubwa katika kuunda mabadiliko chanya. Mawazo hayo yanaweza kuchipuka kutoka kwa mtu mmoja na kusambaa...
  6. M

    SoC03 Jinamizi kwenye tasnia ya uandishi wa habari,Yahitaji mapinduzi na mabadiliko chanya

    Utangulizi. Habari wanajamvi.Katika karne hii ya Teknolojia na Utandawazi,asilimia kubwa ya watu hutamani kujitupa kwenye Uandishi wa habari.Uwepo wa mitandao ya kijamii ndio umezidi kurahisisha uwasilishwaji wa habari.hii inapelekea kila mtu atamani kutoa habari bila kujali amesomea au...
  7. Mwl.RCT

    SoC03 Uwazi na Uadilifu: Nguvu ya Uongozi Bora katika Kuleta Mabadiliko Chanya katika Jamii

    UWAZI NA UADILIFU: NGUVU YA UONGOZI BORA KATIKA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA JAMII. Imeandikwa na: MwlRCT Uongozi ni nguzo muhimu katika jamii yoyote. Ni kupitia uongozi bora ndipo jamii inaweza kupiga hatua na kufikia malengo yake. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto nyingi katika uongozi...
  8. J

    SoC03 Mabadiliko chanya katika Elimu

    Elimu ni sekta umuhimu ya kijamii katika kuchochea maendeleo ya ukuaji wa jamii ambapo inahusisha utoaji wa maarifa,ujuzi na mafunzo mbalimbali kuhusu maadili na stadi za maisha, sasa na utawala bora, ufundi na shughuli mbalimbali za kiuchumi Kama vile kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara kwa...
  9. Mwl.RCT

    SoC03 Nguvu ya Sanaa katika Kuchochea Mabadiliko Chanya

    NGUVU YA SANAA KATIKA KUCHOCHEA MABADILIKO CHANYA Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Sanaa ni lugha ya ulimwengu ambayo inaweza kutumika kuelezea hisia, mawazo na ujumbe mbalimbali. Katika andiko hili, tutajadili jinsi sanaa inavyoweza kutumika kama njia ya kuchochea mabadiliko chanya katika...
  10. Mwl.RCT

    SoC03 Kuimarisha Ushiriki katika Majadiliano ya Mtandaoni kupitia Saikolojia ya Biashara na Mtazamo Chanya

    KUIMARISHA USHIRIKI KATIKA MAJADILIANO YA MTANDAONI KUPITIA SAIKOLOJIA YA BIASHARA NA MTAZAMO CHANYA Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Je, umeshawahi kujihusisha katika majadiliano ya mtandaoni lakini hujui jinsi ya kufikia malengo yako? Biashara na majadiliano ya mtandaoni vina uhusiano...
  11. Ashrafu Haruna

    SoC03 Mabadiliko chanya katika jamii

    Kuna mambo mbali mbali ambayo yanaweza kutoa mchango mzuri katika kuchangia mabadiliko chanya kwa jamii, lakini hapa kuna baadhi ya mambo ambayo yanaweza kuwa muhimu na ya kuzingatia. Hii inaweza kuchangia kuhamasisha utegemezi wa suluhisho za ndani na kuimarisha uwezo wa ndani katika kuchangia...
  12. Kichwamoto

    Mcheka Jana ndio mlia leo na mlia leo ndio mcheka kesho

    Hello wapendwa katika Mungu, Salamu nyingi sana toka mafichoni! Tupindue mioyo kwa mabadiliko chanya. Kila jambo zamu zamu ni hatari sana sana. Narejea na huzuni kubwa kwa taswira mgawanyo katika taifa lenye historia nzuri. Tanzania ya sasa kebehi kwa kebehi, kicheko kwa kicheko inafikirisha...
  13. consolatha99

    SoC03 Fikra Chanya Katika Kujikomboa

    Jamii iko katika mchakato usio na mwisho wa uboreshaji ambao unahitaji kizazi thabiti cha mawazo mapya. Changamoto mawazo ya kawaida ni matokeo ya kufikiri ubunifu na hoja tata ambayo ni kazi ya elimu ya juu. Kama msomi, nimekuwa nikitamani kila wakati kuleta mawazo mapya, imani, imani, na...
  14. L

    China yaendelea kuwa msukumo chanya kwenye maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini Tanzania

    Ni hivi karibuni nimerudi kutoka nyumbani nchini Tanzania, ambako sijaenda kwa miaka mingi kutokana na changamoto za janga la COVID-19. Katika muda mfupi wa kuwepo Tanzania, nimeshuhudia mabadiliko makubwa yanayotokana na juhudi za kuendeleza nchi za mwananchi mmoja mmoja na serikali katika...
  15. Stephano Mgendanyi

    Uwekezaji Bandari ya Mtwara Waleta Matokeo Chanya

    UWEKEZAJI BANDARI YA MTWARA WALETA MATOKEO CHANYA Naibu waziri wa Ujenzi na Uchukuzi ( Sekta ya Uchukuzi) Mhe. Atupele Mwakibete, amesema uwekezaji wa zaidi ya shillings bilioni 157.8 uliowekwa katika maboresho ya Bandari ya mtwara umeanza kuleta matokeo kwani kumekua na ongezeko la shehena na...
  16. Mpinzire

    MUHAS:- Tafiti zinaonesha tiba asili za UVIKO 19 zilikuwa na matokeo chanya.

    Mfuko wa Utafiti wa UVIKO-19 wa Amne Salim: Jumla ya tafiti nane zimeweza kuzalishwa na watafiti mbalimbali kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS) kufuatia ufadhili uliotolewa na familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu Salim Ahmed Salim uliolenga kuenzi kifo cha mke...
  17. The Sheriff

    Uraia Hai ni chachu ya mabadiliko chanya katika jamii

    Uraia Hai (active citizenship) unamaanisha watu kujihusisha katika jamii zao na demokrasia katika ngazi zote na kuelewa kuwa sisi sote ni tofauti, lakini jukumu la kubadilisha jamii zetu ni sawa. Uraia hai unaweza kuanzia katika ngazi ndogo kama vile kampeni ya kusafisha mtaa wako au kubwa kama...
  18. M

    Sio siri tena, matokeo chanya ya Majaliwa hadharani

    Siyo siri tena ndani ya CCM kuna kundi linaitwa “Matokeo Chanya” Ambalo linaundwa na viongozi waandamizi wa awamu ya tano wa Serikali na chama, Kiongozi wao Mkuu ni Kitila Mkumbo, Katibu ni Mwita Waitara akisaidiwa na Mpina na Lusinde. Hawa wanasema ndiyo wenye Kulinda Legacy ya Mwendazake...
  19. C

    SoC02 Mapendekezo yatakayoleta mabadikiko chanya katika elimu ya kitanzania, Hasa kuifanya elimu iwe ya kufurahia na isiyo chosha kwa wanafunzi

    Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni , vyuoni , na maishani .(nukuu kutoka kamusi ya kiswahili sanifu). Elimu huwasilishwa kwa njia mbili; nazo ni elimu rami na elimu isiyo rasmi . Elimu rasmi kutolea na walimu wenye sifa na juzi wa kufundisha wakati elimu isiyo rasmi ipo nje ya...
  20. Costomino

    SoC02 Mafanikio kupitia mtazamo chanya

    Je una tatizo? hilo ni jambojema!. Je una tatizo? Na ni jambo jema kwanini? Kwasababu utatuzi wa matatizo yako unakuletea mafanikio makubwa katika maisha yako. Kila mmoja wetu ana matatizo ndo maana kila kitu katika ulimwengu kipo katika hali ya kubadilika.Kitu cha muhimu ni kwamba, mafanikio...
Back
Top Bottom