"CHANZO" KILINDWE AU KIHARIBIWE.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Hekima hii isomwe na watu wote wapendao ufahamu. Iwajenge pale walipobomoka, iwaimarishe pale walipodhoofika.
Nayo isionekane naliandika kujipatia utukufu, Isipokuwa kutimiza kusudi.
NIITE Taikon wa Fasihi, Mwana kutoka Nyota ya...