Chapati (alternatively spelled chapatti, chappati, chapathi, or chappathi), (pronounced as IAST: capātī, capāṭī, cāpāṭi), also known as roti, safati, shabaati, phulka and (in the Maldives) roshi, is an unleavened flatbread originating from the Indian subcontinent and staple in India, Nepal, Bangladesh, Pakistan, Sri Lanka, East Africa and the Caribbean. Chapatis are made of whole-wheat flour known as atta, mixed into dough with water, edible oil and optional salt in a mixing utensil called a parat, and is cooked on a tava (flat skillet).It is a common staple in the Indian subcontinent as well as amongst expatriates from the Indian subcontinent throughout the world. Chapatis were also introduced to other parts of the world by immigrants from the Indian subcontinent, particularly by Indian merchants to Central Asia, Southeast Asia, East Africa, and the Caribbean islands.
Hivi Tanzania hatuwezi kulima ngano, maana tunanunua ngano nyingi sana nje, hizo feza zingebakia hapa.
Ardhi ipo ya kutosha ni. Serikali tu kuweka mipango na kuwawezesha watu. Hizi pesa anazotumia bakharesa kununua ngano Urusi zingerudi kwa watanzania na nchi ingepiga hatua, nimeona watanzania...
Hii ni hatari!
Kitafunwa pendwa kwa Watanzania nikimaanisha chapati kimepanda bei ghafla isivyoelezeka!
Mfano hapa njiapanda ya Himo muda huu chapati tena kwa mama ntilie wa kawaida inauzwa 500!
Kwenu studio.
Habari wakuu,
Mwishoni mwa mwaka 1998 na mwanzoni mwa miaka 2000 kuna wanajeshi walienda nchini China kuchukua mafunzo ya ngazi Fulani. Baada ya muda Fulani walirejea nchini, walirudi na vitu mbalimbali ikiwemo zawadi, mmoja kati ya wanajeshi hao ambaye tulikuwa na undugu nae, alirudi na mmea...
Ukistaajabu ya Musa utashanga ya mengi katika hali ya kushangaza polisi kwenye wilaya ya Moroto kaskazini mwa Uganda wametangaza kukamata mtu yoyote atakayekutwa akinunua chapati zaidi ya tano kwa mara moja.
Chanzo cha kamata kamata hiyo ni kutokana wakazi wengi wa wilayani humo kutumika...
Hawa utopolo wanatumia taaluma ya mazingaombwe. Ndio maana sasa hivi Mzee mpili kwa sasa ndiye shujaa wao.
Kwa sasa wanasajili kwa ajili ya mechi za kimataifa kwani wanajua huko hayo mambo yao hayafanyi kazi.
Ila kwa kukosa mikakati sahihi, watapigwa mapema asubuhi na kuaga mashindano.
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena...
Habari za leo wadau poleni na mihangaiko kwa wale wanaongaika.mimi kwa muda mrefu nawaza hivi nani aligundua hii kunywa chai na chapati 2 au itakuwa hao hao kina Carl Peters toka Ulaya.
Hii hapa rekodi nyingine tena inawekwa na Guinness World Records mnamo October 8, 2010.
Ni katika nchi ya Uturuki. Jumla ya wapishi 50 walikusanyika kwa pamoja kuweka rekodi ya kupika chapati kubwa zaidi ya mayai yenye uzito wa tani 6.
Chapati hiyo ilichanganywa na mafuta zaidi ya Lita 400 na...
Habari wakuu,
Natafuta binti alie tayari kwa kufanya biashara ya kupika chapati na supu na kuuza. Awe anaishi maeneo karibu na Ubungo (mfano Magomeni, Manzese, Mwananchi, Buguruni, Sinza, Kimara n.k).
Nitatoa kila kitu (mtaji na vyombo pia) faida tutagawana kwa maelewano tutakayo kubaliana...
Kwa kweli Mungu ni mwema sana na Namshukuru kwa siku hii ya leo. Imekuwa na changamoto nyingi sana hii siku ya leo ila najua nimezishinda na usiku umeingia hapa ni kwenda kulala tu hakuna purukushani za ziada.
Kwanza kabisa wife kasafiri kaenda kwa wazazi wake, leo nimejikuta niko kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.