chato street

  1. F

    TARURA na uzembe unaofanyika na mkandarasi Chato Street

    Mwezi wa sita sasa mkandarasi anawejenga njia ya maji taka hajafika hata mita mia. Inasemakana analindwa na wakubwa. Kachimba Mashimo mpaka kuta za fence za wakazi zinaanza kubomoka na hakuna kazi inayoendelea. Akiulizwa anasema yeye anakula na wakubwa hakuna wa kumgusa. Nchi hii imerudi...
Back
Top Bottom