Zimeibuka agenda ati Chato inatakiwa ipandishwe hadhi kuwa Mkoa ili kuridhisha mizimu na kujitakasa kisiasa Kwa watu wa Kanda ya Ziwa
Me natokea Kanda ziwa ila siungi mkono hii hoja ya Chato kuwa Mkoa
1. Utitiri wa Mikoa
Chato itapana na Mikoa ya Geita, Shinyanga na Kagera, ambayo ina ukaribu...