chipsi

Chipsi mayai (Swahili for "chips and eggs"), also known as zege, is a popular street food found in Tanzania, East Africa. In its most basic form, chipsi mayai is a simple potato-egg omelette. It is available in most regions of Tanzania, from the most remote villages to large towns. Food stands both indoors and on streets make them to order.
It is generally prepared with chips, oil and beaten eggs fried together in a pan. It is often served with Kachumbari.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr mussa

    Natafuta jiko la gesi kwajili ya kuchomea chipsi yale ya kutengenezwa

    Habari! Natafuta hilo jiko ambaye anauza tunaweza fanya biashara. Pia kama kuna mtungi wa gesi hii mikubwa nao nahitaji. Mawasiliano 0743451357. Hata ukinisaidia connection jinsi ya kuyapata utakuwa umenisaidia. Ahsante
  2. K

    Kijana wa chipsi anahitaji!!

    Anahitajika kijana wa jikoni, Awe mtaalam wa kupika chipsi, mishikaki, supu, na mazaga zaga yote kwa ujumla. awe mbunifu, sehemu ya biashara ni Tabata (Dar) ni kwenye bar. Awe na nia na kazi sio msumbufu!!mimi nitakuunganisha na muhusika, mengine mtaenda kukubaliana mwenyewe, mimi ni mjumbe.
  3. A

    Anahitajika mpishi ambaye anajua kupika

    Habari zenu wana JF, Anahitajika mpishi ambae anajua kupika (mwenye uzoefu na iyo kazi atapewa kipaombele) pamoja na kuwa na uwezo wa kupima sahani za chakula kwa ajili ya mgahawa. Pia anahitajika mpishi mwengine kwenye chipsi na nyama choma, watakuwepo wawili na mmoja ameshapatikana bado...
Back
Top Bottom