Picha: Sajenti Novatus ambaye anadaiwa kujinyonga ndani ya nyumba yake
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limethibitisha kifo cha askari wake mwenye namba EX.SGI, Sajenti Novatus ambaye amejinyonga ndani ya nyumba yake eneo la Mwambene, Kata ya Mwakibete jijini Mbeya.
Akizungumza na Mwananchi kwa...