cia

The Central Intelligence Agency (CIA) is a civilian foreign intelligence service of the federal government of the United States, tasked with gathering, processing, and analyzing national security information from around the world, primarily through the use of human intelligence (HUMINT). As one of the principal members of the United States Intelligence Community (IC), the CIA reports to the Director of National Intelligence and is primarily focused on providing intelligence for the President and Cabinet of the United States.
Unlike the Federal Bureau of Investigation (FBI), which is a domestic security service, the CIA has no law enforcement function and is mainly focused on overseas intelligence gathering, with only limited domestic intelligence collection. Though it is not the only agency of the Federal government of the United States specializing in HUMINT, the CIA serves as the national manager for coordination of HUMINT activities across the U.S. intelligence community. Moreover, the CIA is the only agency authorized by law to carry out and oversee covert action at the behest of the President. It exerts foreign political influence through its tactical divisions, such as the Special Activities Center.Before the Intelligence Reform and Terrorism Prevention Act of 2004, the CIA Director concurrently served as the head of the Intelligence Community; today, the CIA is organized under the Director of National Intelligence (DNI). Despite transferring some of its powers to the DNI, the CIA has grown in size as a result of the September 11 attacks. In 2013, The Washington Post reported that in the fiscal year 2010, the CIA had the largest budget of all IC agencies, exceeding previous estimates.The CIA has increasingly expanded its role, including covert paramilitary operations. One of its largest divisions, the Information Operations Center (IOC), has shifted focus from counter-terrorism to offensive cyber-operations.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Ni vigumu sana Taasisi Nyeti kama CIA, FSB na MOSSAD Kuhongeka na kuwekwa Mfukoni mwa Matajiri. Je, hii ni kwa nchi zingine pia?

    Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku...
  2. T

    Kifo cha Mkandarasi wa CIA kilicho leta majonzi kwenye utawala Iran

    Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA kumualika rafiki yake wa Israel kusaidiana kuteguwa kitendawili maana mtu alie kuwa ameuwawa sio tu alikuwa...
  3. BARD AI

    CIA na Mike Pompeo washitakiwa kwa kuingilia faragha za waandishi wa habari

    Jopo la wanahabari na wanasheria wamelishitaki Shirika la Ujasusi Marekani, CIA na Mkurugenzi wake wa zamani Mike Pompeo kwa kukiuka faragha zao na kuwapeleleza walipomtembelea mwanzilishi wa WikiLeaks Julian Assange. Wabunge kadhaa wamelishutumu Shirika hilo kutunza taarifa za siri za...
  4. Zacht

    Mkuu wa CIA kasema Putin ni mzima wa afya

    Kama mnakumbuka miezi kadhaa iliyopita zilitembea rumors kwamba Putin anaumwa siujui ni kansa, wakasema anaumwa sana anakaribia kukata moto wengine walifika mbali Wakasema ameshakufa tusubiri tu breaking news , tena humu Kuna mdau ndio alikuwa kinara wa kusambaza hizo taarifa huku...
  5. D

    Baba yake Barrack Obama alikuwa pandikizi la CIA

    'Baba' yake na Obama ni kwamba alikuwa ni mmoja wa watu kadhaa waliotumiwa na CIA kwa ajili ya kusimamia mpango ambao utazuia siasa za ukomunisti kutoka China na Muungano wa Sovieti usiingie Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla. Kennedy Foundation ilikuwa ikitoa pesa walizo ziita za ‘msaada’...
  6. Kijakazi

    Rais wa CIA huondolewa na CIA

    Hutokea Dunia nzima, CIA huweka maraisi kwa ajili ya magendo yao na pia humuondoa baada ya kukamilisha na kutomuhitaji tena, mara nyingi CIA hufanya magendo ya drugs, kutakatisha fedha mpaka uchukuaji wa rasilimali kama gold, rare earth minerals n.k. Mfano Mobutu, Savimbi, Gadafi, Museveni...
  7. A

    CIA inamtesa Putin vikali, yaanza maandalizi ya kumtoa rasmi Kremlin

    Hiki ndicho unachoweza kusema, Marekani sasa yaanzisha propaganda za kwamba Putin ana mpango wa vita ya muda mrefu ili waendelee kupeleka misaada ya kivita na kifedha, lengo likiwa ni kuyakomboa maeneo yote ya Ukraine yaliyotekwa na Urusi na hatimaye kuingia Moscow moja kwa moja na kumfurusha...
  8. ubongokid

    Muungano wetu katika JICHO la CIA 1968

    Hii ni nyaraka ambayo imekuwa declassified kuhusu Jamhuri ya Muungano na Uhusiano na hali ya kisiasa huko Zanziba.IKO kwa Kiingereza
  9. Big Phil

    SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

    Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni. Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi. 1. SWAT Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics. Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964...
  10. GENTAMYCINE

    Je, hii 6th Sense ya Mtu Jasusi (Njagu) huwa anakuwa amezaliwa nayo au anafundishwa huko Vyuoni CIA na MOSSAD?

    Nimekuwa nikisikia sehemu mbalimbali (hasa hasa hapa nchini Herzegovina) yalipo Makazi yangu Siku zote kuwa licha ya Wanadamu wote kuwa na Five ( 5 ) Senses, ila kwa wale Majasusi (Manjagu) wao wanatakiwa kuwa na ya Sita (6) pia. Je, hii ( hiyo ) Sixth ( 6 ) Sense anayotakiwa hasa kuwa nayo...
  11. Shujaa Mwendazake

    CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

    Nimejaribu kutafakari uchambuzi wa CNN kuhusu kushikiliwa kwa Freeman Mbowe, kuna kitu wanaongelea sana pale "timing of arrest". Nadhani exposure yao ni kubwa sana kwa siasa za mataifa mbalimbali ikiwemo siasa za bara la Africa. Tunafahamu katika tools za kupatia taarifa kwa mashirika ya...
  12. C

    Mizozo baina ya nchi hizi inaweza kusababisha vita kuu ya 3 ya dunia?

    Uliwengu umekuwa na muda mrefu wa utulivu isipokuwa mizozo ya vita katika mataifa machache vilivyohusisha nchi katika mabara tofauti miaka ya hapo nyuma. Tangu kukamilika kwa vita vya pili vya dunia mwaka wa 1945 hapajawahi kuwa na vita vikubwa vilivyohusisha nchi nyingi kote duniani kuweza...
  13. Comred Mbwana Allyamtu

    Bay of Pigs vs Cold War: Marekani, Cuba na USSR, ulimwengu kiganjani mwa CIA, CRF na KGB - na aibu ya dunia kwenye ulingo wa kijasusi

    BAY OF PIGS Vs COLD WAR: MAREKANI, CUBA NA USSR, ULIMWENGU KIGANJANI MWA CIA, CRF NA KGB; NA AIBU YA DUNIA KWENYE ULINGO WA KIJASUSI. Na. Comred Mbwana Allyamtu(CMCA) Wednesday-16/06/2021 Kilimanjaro National Park, Marangu Kilimanjaro Tanzania. Kwenye jengo la Pentagon ghorofa ya pili upande...
  14. Sam Gidori

    Hatimaye Ripoti ya Intelijensia ya Marekani kuhusu kuuawa kwa Khashoggi yatolewa, MBS atajwa kuhusika

    Baada ya kusubiriwa kwa miaka miwili, hatimaye ripoti ya Shirika la Ujasusi la Marekani kuhusu kuuawa kwa Jamal Khashoggi imeachiwa siku ya Ijumaa ikionesha kuhusika kwa uongozi wa Saudi Arabia katika tukio hilo. Ripoti hiyo yenye kurasa nne imemtaja Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed Bin...
  15. The Mongolian Savage

    Hii ndio sababu CIA na Mossad kuifanya Tanzania iwe tatu bora kwa upelelezi Duniani enzi za mwalimu

    Habari Wanajamvi, Enzi za mwalimu kulikuwa na Uzalendo uliotukuka. Watanzania walikuwa makini na waadilifu katika shughulu zao. Majasusi wawili kutoka Marekani na Israel CIA na Mossad walikuja nchini kupeleleza kwa kisingizio cha utalii na kuomba tour guide in advance. Walipofika tu Dar Int...
  16. Sam Gidori

    Maduro: Tumemkamata Jasusi wa Marekani

    Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro amesema kuwa wamemkamata jasusi wa Marekani aliyekuwa akipeleleza kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi nchini humo. Maduro aliutangazia umma wa Wavenezuela kupitia televisheni ya taifa katika matangazo ya moja kwa moja akimweleza jasusi huyo kuwa ni mwanajeshi wa...
  17. ufyudhi

    Tofauti na mfanano wa kikazi na kimamlaka kati ya CIA na FBI

    Habarini wanajamvi.. Kwa muda mrefu tumekuwa tukiyasikia haya mashirika mawili katika vyombo vya habari na hata kwenye filamu mbalimbali... Nikiamini kwamba mashirika haya yana lengo kuu la kulinda ulinzi na usalama hasa Wa nchi ya marekani, lakini Mara nyingi nimeona yamekuwa kwa namna moja...
  18. Barbarosa

    Haya huyo wenu wa CIA mnayemuami kwamba ni mkweli, aletwe sakata la Tundu Lisu!

    Chadema na wengineo wanataka CIA waletwe nchini kuchunguza waliomshambulia Tundu Lisu, wanasema Muzungu hadaganyi na kuita eti uchunguzi huru na hawana imani na watu wetu wa Tanzania, sasa huyo ni aliyekuwa Top Boss wa CIA Mike Pompeo akitupa mbili tatu zake kuhusu wanavyofanya kazi kama CIA...
  19. Abunwasi

    Who was Tim Osman the CIA Agent?

    The man known as “Tim Osman” was Osama bin Laden. (OBL) His alias “T.O.” name was assigned to him by the CIA during his tour of the U.S. & U.S. military bases in search of increasing political support & military armaments when Afghanistan was being occupied by the Russians. OBL did not work...
  20. FRANC THE GREAT

    Former CIA agent sentenced to 19 years in prison for conspiracy with China

    Former CIA agent sentenced to 19 years for conspiracy with China Jerry Chun Shing Lee was accused of delivering secrets to Chinese intelligence officers in exchange for $840,000 A former CIA case agent was sentenced on Friday to 19 years in prison, for an espionage conspiracy with China...
Back
Top Bottom