comedian

  1. Mkaruka

    Ni Comedian Gani Anayefanya Vizuri, Unayependa Kumsikiliza/Kumwangalia?

    Maisha kwasasa yamekuwa so boring and stressful. Nadhani ndio maana industry ya comedy inaonekana kukua sana siku za hivi karibuni. Je, kwako ni Comedian gani bora unayependa kumsikiliza au kumwangalia. Any recommendations.
  2. Red Giant

    Nafikiri pastor Daniel Mgogo ndiyo best stand up comedian Tanzania

    Au nyie mnaonaje?
  3. M

    Wasanii wa Kitanzania na siasa

    Kama kichwa ha habari kinavojieleza hapo juu, msaada tafadhali. Tunaeleka mwaka wa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge pamoja na madiwani. Ipo haja sasa kwa Watanzania kukaa na kupima licha ya kwamba Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuweka wazi kabisa katika Ibara zake kuwa kigezo cha...
  4. Miss Zomboko

    Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

    Mchekeshaji Idriss Sultan wa Tanzania anashikiliwa na polisi tangu Jumanne wiki hii. Wakili wa mchekeshaji maarufu nchini Tanzania Idriss Sultan ameiambia BBC kuwa msanii huyo anahojiwa na polisi juu ya 'kuicheka picha ya Rais John Pombe Magufuli'. Kwa mujibu wa wakili Benedict Ishabakaki...
  5. Bishop Hiluka

    One of my favourite comedians

    Kila nikiingia Youtube ni lazima nimfuatilie huyu jamaa anayejiita Njugush, comedy zake zinanibamba sana. Wengine ninaowapenda ni MCA Tricky, Henry Desagu na Jaymo Ule Msee. Hongera sana Wakenya.
  6. Flechaa

    List yangu ya Stand-Up Comedians ninaowakubali zaidi

    Habari za muda huu wakuu. Natumai mu wazima. Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa Stand up comedy hasa Tanzania,Kenya na baadhi ya mataifa kama Nigeria na pia marekani. Hawa ndio 5 bora kwangu 1: Trevor Noah- South Africa/USA 2: Patrick salavdo - Uganda 3: Sleepy David - Kenya 4: Profesor Hammo - Kenya...
Back
Top Bottom