Habari Wana JF,
Nimehitimu shahada ya Maendeleo Jamii. Natamani nipate internship au kazi halali. Msiulize kama sitafuti nipo natafuta na nimesambaza barua sehemu kadhaa lakini sehemu nyingi wanasema hawana nafasi so, kupitia Wana JF naweza kupata chochote.
Shukrani
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
---
Winshear...
THE community mobilisers through 39 meetings they held with the community in the four Districts of Pemba Island managed to raise a total of 44 challenges/problems for the year 2022.
The disturbances were raised in different places on the island of Pemba in Wete District 12, Micheweni 12, Chake...
Katika pitapita zangu nimekutana na tovuti ya nofap hii imenipa hamasa sana ukiangalia ukanda mzima huu wa afrika mashariki hakuna tovuti hii kwa jamii yetu
Nimeona niianzishe na teyari nilikua nayo nyingine so nikufuta old post na kuanza upya
Ningependa nipate mtazamo wako hii ni kama forum...
Habari, mimi ni Pharmtech Tech., nina liseni, nilikuwa nahitaji kazi.
Naishi Dar es Salaam-mwenge, pia naweza fanya kazi as full time, part time and night shift.
Napatikana kwa number 0765607650 au email: jaelynebless@gmail.com
Habari wanandugu,
Naulizia kama kuna Chuo kinachofanya Admission mwezi MARCH au miezi yoyote ya mwanzoni wa Mwaka kwa kozi ya Community Development kwa NTA Level 4.
Eti wakuu sana. Hii kitu whatsapp community ni kitu gani. Nimeona tu ni supergroup ambalo unaweza kuadd magroup hadi 50. Na whatsapp wanataka kuweka limit ya watu 1024 kwa group. Maana yake hili super group linaweza chukua watu 50,000+ ni nini hasa hii kitu.
Habari zenu wanajamvini,
Naomba kuuliza kuhusiana na matokeo ya usahili wa mahojiano ilifanyika tarehe 19/09/2022 chuo Cha Tengeru Institute of community development kwa kada mbali mbali, je majibu yameshatoka toka utumishi?
Na waliofanikiwa kupata NAFASI je wameitwa kwa simu au Bado...
COLLAPSE OF THE EAST AFRICAN COMMUNITY 1977
Katika pita pita za kujisomea nimekutana na hii. Nikaona ni vema Millenials wakajua hii Story. Wahenga wenzangu hizi sababu zinatosha? Please ongeza zingine tujikumbushe.
Despite its success, the East African Community collapsed in 1977 due to a...
Responsibilities:
A. Coordinate, supervise and manage field interventions conducted by Community Based Health Service (CBHS) providers and report on deliverables. Also, s/he will play a liaison role between local community leadership, Municipal authority, Police Gender Desk and the Organisation...
The East African Community (EAC) – European Union (EU) Core Programme is financed under the 11th European Development Fund (EDF) and has an overall objective to support the deepening of the EAC regional economic integration, through advancing implementation of the Customs Union and the Common...
East African Community (EAC) – the European Union (EU) CORE programme is financed under the 11th European Development Fund (EDF) and has an overall objective to support the deepening of the EAC regional economic integration, through advancing implementation of the Customs Union and the Common...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
East African Community (EAC) – the European Union (EU) CORE programme is financed under the 11th European Development Fund (EDF) and has an overall objective to support the deepening of the EAC regional economic integration, through advancing implementation of the Customs...
BACKGROUND:
The National Institute for Medical Research (NIMR) is a Parastatal Organization established by Act of Parliament No. 23 of 1979 (CAP.59, R.E. 2002) andbecame operational in 1980. The NIMR Muhimbili Medical Research Centre is looking for fulltime qualified Tanzanians to fill the posts...
BACKGROUND:
The National Institute for Medical Research (NIMR) is a Parastatal Organization established by Act of Parliament No. 23 of 1979 (CAP.59, R.E. 2002) andbecame operational in 1980. The NIMR Muhimbili Medical Research Centre is looking for fulltime qualified Tanzanians to fill the posts...
POST: EXAMINATIONS OFFICER II – 2 POST
EMPLOYER: Tengeru Institute of Community Development (TICD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To administer and supervise examinations according to examination regulations of the Institute;
ii. To...
Alikuta taifa lake likiwa na uharifu mkubwa sana alipoingia madarakani mwaka 2016. Wauza unga walikuwa wengi, wakabaji wa kutumia siraha na majambazi.
Alitumia njia moja tu kama mkuu wa vyombo vya ulinzi. Mhalifu mwenye silaha awe kibaka, muuza unga au jambazi akiwa na silaha frontline ni kula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.