NBC Premier League leo Ijumaa
Saa 10:00 jioni, Simba SC watakuwa dimba la KMC Complex wakiwakaribisha Dodoma Jiji.
Hii ni mechi ya kiporo je ni Mnyama Simba ama Walima Zabibu nani kukitafuna kiporo hiki?
Vikosi vya timu zote
Mechi imeanza (KickOff)
09' Milango bado haijafunguka pande...
Nimewaza sana mjue hizi Team za Kariakoo hua zinapata favor sana katika ratiba ya Ligi,
Kuna mda unajiuliza hizi ni Team za Taasisi inayoongoza Mpira Nini?
Hizi Team kipindi zinaelekea Derby hua zinapewa almost week nzima ya kujiandaa Yani hawachezi hata kombe la FA angalia Kuna Team zimecheza...
Hili limeniumiza sana
Kweli karne hii bado wazawa tumeshindwa kabisa kusuka nondo na kumwaga zege kwa ajili ya kujenga barabara ili ma bus ya mwendokasi yapite.
Wageni tunaowapa tenda wanatudharau sana.
Leo jioni KMC Complex wamekamatwa vijana wanaodhaniwa kuwa ni Yanga wakiwa na vifaa vya kufanyia ushirikina. Hii inaelezwa kuwa maandalizi ya kuelekea mechi ya kesho dhidi ya KMC.
Zana hizo ni pamoja na sanda ya mtoto, wanja, vijiti, spray, vijiti nk
Ligi NBC kuendelea leo majira ya saa kumi na robo alasiri katika uwanja wa KMC Complex ambapo Yanga watakuwa wenyeji wa Ken Gold.
Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa katika nafasi ya pili wakiwa na wamecheza michezo 16 wakishinda michezo 14 na kupoteza 2 huku wakifunga magoli 36 na...
africans
complex
duka
gold
itazame
ken gold
kengold
kikosi
kikosi cha yanga
kmc
kmc complex
kumbuka
live
maarufu
magoli
mechi
muuza duka
nbc
official
yanga
young
young africans
PROFESSOR JAY FT. ADILI CHAPA KAZI , COMPLEX, AY & BLACK RHINO - NAWAKILISHA ( STUDIO BONGO RECORD)
Chorus ( Professor Jay)
Nawakilisha...!!!
Ofisini na masela ndani ya gheto
Nawakilisha ...!!!
Kwa ma ding vijana mpaka watoto
Nawakilisha...!!!
Kenya , Uganda 🇺🇬 na Tanzania 🇹🇿
Huu ni hosia...
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Songoro Mnyonge amezungumza na kituo cha Redio, E Fm kufuatia taarifa za Simba kutaka kuhama katika Uwanja wa KMC Complex.
Soma, Pia: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex
Simba Sports wanashuka dimbani kwenye soku ya mkesha wa krisimasi kumenyana na maafande wa JKT katika dimba la KMC
Je, Dozi ya goli 5 alizotoa Simba kwa Kagera ataendeleza kwa maafande?
Mechi ni Saa 10:15 jioni kupitia Azam Sports 1HD
Usikose uhondo huo
Mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania ambao awali ulihairishwa baada ya mpinzani wetu kupata ajali sasa umepangwa kuchezwa Disemba 24, 2024 saa 10:00 jioni katika Uwanja wa KMC Complex. Mchezo huu awali haukuchezwa kutokana na JKT Tanzania kupata ajali ya gari na baadhi ya wachezaji wao...
Mwenyekiti wa Bodi KMC na Meya wa Kinondoni, Songoro Khamis Mnyonge, amesema uwanja wao wa KMC Complex, umekamilika kwa asilimia 95 na matamanio yao kwa sasa ni kuufunga Camera, Taa pamoja na AC kabla ya Januari, 2025.
Hivi karibuni timu ya Yanga ilitangaza kuhamia uwanja wa KMC complex kutokea...
PROFESOR JAY - NAWAKILISHA..
Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka vyote nachanja/ tafadhali kaa mbali .. kaa mbali ni hatari/ hapa utalamba tope maktaba kwisha labda...
Ki ubora tumeona na tunaujua huu uwanja ukitumiwa hata kwa mechi za CAF Champions league na CAF confederation cup.
Lakini vilabu vingi vya NBC premier vimeutumia, ni nini hasa sababu ya timu ya Yanga kuuhama katikati ya msimu?
Kwenye hii barua hakuna sababu yoyote imewekwa.
Hiyo ni baada ya vipigo viwili mfululizo.
Hapa sasa ndio kuna kitu ambacho uongozi wa Yanga unatuacha njia panda sisi wadau wa soka.
Kama management iliona tatizo la wao kupoteza mechi mbili lilisababishwa na uwanja, kwanini wamuwekee vikao Gamondi usiku wa manane?
Tushike lipi sasa?
Tatizo...
⚽️ Young Africans SC🆚Azam FC
📆 02.11.2024
🏟 Azam Complex
🕖 12:00 Jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya Azam FC
Mpira umeanza
Dakika ya 3
Yanga SC wanashambulia kwa kasi
Dakika ya 5
Dube anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 14
Max anafanyiwa madhambi
Dakika ya 17
Aziz k anakosa nafasi ya wazi...
Kocha wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi leo katika mkutano na Waandishi wa Habari ametamka wazi kwa mara nyingine kuwa hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex bali Uwanja pekee anaofurahia ni Benjamini Mkapa.
Ikumbukwe kesho ni mchezo kati ya Yanga dhidi ya Azam katika Uwanja wa Chamanzi...
Match Day
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚KMC FC
📆 29.09.2024
⏰ 2100hrs
🏟 Azam Complex
#Daimambelenyumamwiko#
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO.
KIKOSI CHA KMC
UPDATES....
04'
Yanga wanapata Goli kupitia kwa Max Mpia Nzengeli
1-0
19'
Yanga wanapata kona ya kwanza.
Inaanzwa kona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.