Klabu ya Azam Fc imetoa gharama kwa timu zenye kutaka kukodi na kuutumia uwanja wake wa Azam Complex pale kwenye maskani yao Chamazi.
Mazoezi kwa timu inayotaka kutumia uwanja huo kwa siku moja ni Shilingi laki sita ( 600,000 ) bila taa.
Ukitaka kufanya mazoezi na taa (usiku) basi utalazimika...
Game hio inachezwa leo pale Chamazi, mashabiki wa Azam karibuni kwa updates
Kikosi cha team bora Azam FC.
0' match imeanza hapa chamazi
11' Dubeeeeeeee,
Azam wanapata uongozi mapema hapa
35' Azam wanautawala mchezo leo, ila matokeo bado ni 1-0,
47'Goooooool
Nado anatupa bao la pili
Azam...
Match hii itachezwa leo saa 1 jioni kwa saa za africa mashiriki au 1600 hrs GMT kati ya Azam Fc Vs Bahir Dar Kenema, katika kusaka nafasi ya kufuzu hatua ya kwanza ya kombe la shirikisho barani Africa maarafu CAFCC,
Watanzania wote wanaiombea Azam ishinde na kuzidi kuipeperusha vyema bendera...
Mpaka muda hii Kitayose hawajatokea uwanjani kupasha misuli. Bado dkk 18 mpira uanze.
---
Kitayosce FC ilianza mechi dhidi ya Azam ikiwa na wachezaji nane [8], Bodi ya Ligi tulipokea uthibitisho kutoka TFF kuwa wachezaji nane [8] tu wa Kitayosce ndio wanastahili kucheza mechi ya Ligi.
Kikanuni...
Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).
Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka...
Yaan ina tia hasira na pia inahuzinisha, mnashindwa ingia ubia na wamiliki wa Ccm wanaomiliki viwanja vingi mapato yakaenda halmashauri kwenye mgawanyo? hao waarabu wanaotunyanyasa ubora wa viwanja vyao unachangia.
Huku mnaweza fanya kitu kizur kikatutambulisha watanzania. Hata mashindano yenu...
Aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salam 2015-2019, Isaya Mwita akizungumza na Mwananchi nyumbani kwake Kigamboni Dar es Salaam alisema makubaliano ya awali kati ya NSSF na Jiji la Dar es Salaam juu ya ujenzi huo ilikuwa ni mkopo wa Sh9 bilioni na kuwa kabla ya kumaliza ujenzi gharama ilifika Sh12...
MABINGWA mara 20 wa Ligi Kuu nchini Misri, Zamalek wameilipa Dola za Kimarekani 50,000 (sh. milioni 116) kwa klabu ya Burundi ya Flambeau du Centre kwa kukubali kucheza mechi zote mbili za hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika nchini Misri kwenye Uwanja wa Borg El Arab.
Hapo awali klabu hiyo...
Muda mchache ujao, kutakuwa na mchezo mkali kati ya Mtibwa Sugar Vs Yanga Sc
Mchezo huo unategemewa kuvuta hisia za mashabiki wengi, kwani Mtibwa anaonekana kama mgumu akiwa uwanja wa nyumbani.
Je, Yanga ataweza kuibuka na alama zote tatu ugenini? Mpira dakika 90, tukutane hapa kwa updates za...
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali...
Tunaona fahari kufikisha miaka 60 ya uhuru...
Tunajivunia mafanikio mengi..
Tunajitahidi kufanya mengi..
Lakini kama taifa bado tunajitazama kama duni..hatujiamini, hatuamini uwezo wetu..tunajitilia mashaka..
Hadi wazungu watupongeze
Hadi wazungu watukosoe
Hadi wazungu watusikilize
Hadi wazungu...
Ndani ya miaka 60 ya uhuru chama cha CCM kimeshindwa kutatua changamoto ndogo kabisa ya maji na umeme halafu wiki hii kuelekea siku ya uhuru 09/12/2021 Rais wa utawala wa kiraia kutoka chama hichohicho anatangazwa kwenye mabango barabarani na mitaani akiwa amevaa mavazi ya kijeshi kuhadhaa uma...
Habari wakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa Soko Kuu la Kariakoo, amesema serikali imeunda tume ya watu kumi kuchunguza na kupata ukweli wa chanzo cha moto na athari zilizopatikana ikiwemo mali zilizoteketea, pia amesema Waziri mkuu yuko njiani kuja kukagua na kuongea na...
Hello Dears,
I would like to address that.
Love is a complex chemical compound ova.
Love is the combination of three complex chemical compounds Dopamine, Serotonin and Oxytocin
C8H11NO2 + C10H12N2O + C43H66N12O12S2 or in other words Dopamine + Serotonin + Oxytocin = LOVE.
Below is the...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe, Selemani Jafo amesema ndani ya miaka mitatu ijayo matamanio yake ni kuona Halmashauri zinajitegemea zenyewe kupitia mapato ya ndani na kwamba ifike muda ziwe zinalipa watumishi wake mishahara.
“Nikiangalia hoteli...
Yanga leo wamekwea daladala kuelekea Chamazi wakipitia Mbagala kucheza na Azam FC. Mechi itaanza saa moja jioni. Dube atakuwepo. Sure Boy atakuwepo shimoni pale.
Usiondoke
Mashine za Azam
Matokeo
Goli lililofungwa na Deus Kaseke katika dakika ya 49, lilitosha kufanya Yanga kuchukua points...
The Benjamin Mkapa Stadium complex consists merely of two stadia, the 60,000 seater Benjamin Mkapa Stadium and 23,000 seater Uhuru stadium which are merely football stadia. Meanwhile, the Moi International Sports Centre, Kasarani consists of
1. 60,000 seater Kasarani stadium (Football, rugby...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.