congo

  1. Informer

    Rwanda grants South African troops safe passage out of Congo

    Rwanda says it will grant Southern African Development Community (SADC) forces in the Democratic Republic of Congo a safe passage to pull out of the war zone, potentially earning a publicity credit in the chaos. Rwanda's Minister for Foreign Affairs Olivier Nduhungirehe told The EastAfrican...
  2. Marie Antoinette

    Abasirikare ba Congo bataye urugamba bagiye kuburanishwa

    Abajenerali bahunze Goma na Bukavu bazaburanishwa guhera kuri uyu wa kane n’urukiko rukuru rwa gisirikare, Bararegwa kuba baratereranye cyangwa batumye imyanya itereranwa imbere ya M23 / AFC i Goma na Bukavu, Basize amasasu, intwaro, ibikoresho bya gisirikare n'abantu bakomeretse. Iburanisha...
  3. A

    DR Congo USD 5milion kutumtia nguvuni Nangaa achieni utani

    Eti 5 M uSD kumkamata Nangaaa is he serious, watu wanataka Katanga nzima wamletee Nangaa akiwa katika hali yeyote
  4. I

    Marekani yatangaza kuanza majadiliano na Congo kuhusu mpango wa uchimbaji madini ili kubadilishana na ulinzi.

    Wakuu, Marekani hivi karibuni imetangaza kwamba iko tayari kw mazungumzo kufuatia ofa ya Rais wa Congo Felix Tshekedi la kuipa Marekani madini mbalimbli ili Marekani iweze kuisadia Congo kupambana na kundi la M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, nchi yenye utajiri wa madini kama cobalt...
  5. Marie Antoinette

    Congo yashyizeho Miliyoni 5$ ku muntu uzafata Nangaa, Bisimwa na Makenga

    Leta ya Congo yashyizeho igihembo cya miliyoni 5 z’amadolari ya America ku bantu bayifasha gufata abayobozi batatu b’ihuriro Alliance Fleuve Congo rifatanya na M23. Congo ivuga ko abo bayobozi baciriwe imanza kandi bahabwa igihano (cy’urupfu). Itangazo ryasohowe na Minisitiri w’Ubutabera ku wa...
  6. Pdidy

    Wanajeshi wa Serikali ya Congo wajisalimisha kwa M23

    Jamaa wanaendelea kupiga kazi. Leo wanajeshi zaidi wa Congo wamendelea kujisalimisha kwa M23. Na wale wenye vyeo vya juu wamepewa vyeo na MP 23 Hii kampeni ngumu sana, nawatakia lakheri M23 naona nihamie kwao kila siku wanasogea wao mbelee loh Chanzo: BBC Swahilii
  7. Marie Antoinette

    Abasirikare n'abapolisi ba leta ya Congo biyunze kuri M23 bagejejwe i Goma

    Abapolisi basanzwe ari aba DRC 2,100 bakoreraga i Bukavu hamwe n' abasirikare ba FARDC 890 bageze i Goma mu gitondo cyo kuri iki Cyumweru, aho biyunze kuri AFC/M23.Bazanywe n'ubwato bwitwa Emmanuel, bagera i Goma aho bashyizwe kuri Stade de l'Unité.Bagiye guhabwa amahugurwa y'imikorere ya...
  8. Marie Antoinette

    Twirwaneho, yiyemeje kurwanya leta ya Congo

    Nyuma y'urupfu rw'uwari umuyobozi mukuru wa TWIRWANEHO, ihururiro ry'abanyamulenge bafashe intwaro mu rwego rwo guhangana n'ibitero byagabwaga ku banyamulenge , Generali RUKUNDA MICHEL wari uzwi nka MAKANIKA,wiciwe mu gitero yagabweho na leta, umuyobozi wao mushya, Brigadier General CHARLES...
  9. Lord denning

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laitaka Rwanda kuondoa majeshi haraka nchini Congo

    Baada ya Viongozi wa Africa kufanya vikao vyao vya kunywa kahawa Dar es Salaam na Zimbabwe huku wakipiga picha kwa mbwembwe bila kuupatia suluhisho la kudumu Mgogoro wa Congo naona wazungu wameamua kuwaonesha Waafrika kwa nini wanawaitaga Nyani. Baada ya jana Wizara ya Fedha ya Marekani...
  10. Jidu La Mabambasi

    Congo DRC, imekuwa kubwa jinga, Tanzania tusijiingize!

    Congo DRC wamekuwa kubwa jinga kwa muda mrefu. Nchi haina umoja Nchi ni tajiri sana Nchi haina jeshi hata la watu laki moja Na majenerali wa Congo ni wa kukata viuno tu, hawawezi hata kujitetea mbele ya vita. Nchi nzima hii wao ni mayenu tu na kukata viuno Cha ajabu huyu Rais wao Tsishekedi...
  11. S

    Vita ya DR Congo na M23 ni tafsiri ya namna watu weusi ni wabaguzi wao kwa wao, wakabila, wabinafsi n. k

    Umewhi kujiuliza kwenye hio vita ya congo ingekua ni jamii mbili tofauti ndo zinazopiganna yani mfano jamii moja iwe mtu mweus nyingine iwe mzungu au mwarabu mu asia n.k Si kwa chuki, si kwa uchochezi, bali kwa kusema ukweli! unawezaje kumbagua mwafrika mwenzako mweusi mwenzako kisa kabila...
  12. Pdidy

    South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

    BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23 South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao...
  13. Beira Boy

    CONGO DR haijapakana chochote na Tanzania?

    Aman kwenu watumishi wa MUNGU Ni swali ambalo nauliza ? Je Tanzania hatuna mpaka na kongo hakuna mkoa ambao unapakana na Kongo? Asante SAYUNI BOY
  14. A

    Kenya imetoa mwanya kwa Congo River Alliance's kufanya mipango ya mapinduzi Congo na RSF kuigawa Sudan

    Kenya katika EAC inaelekea kuwa kitovu cha mipango hasi dhidi ya serikali kadhaa za ukanda huu. Kabla ya vita kupamba moto DRC, viongozi wa makundi mbalimbali ikiwemo M23 walikutana Kenya na kuunda umoja wao yaani Congo River Alliance's baada ya hapo vita ikazuka ya nguvu sana DRC, mipango hii...
  15. MBOKA NA NGAI

    Tetesi: Burundi, wanaosadikika kuwa wanyarwanda na wa Congo wenye asiri ya kinyarwanda, wakusanywa uwanjani

    https://x.com/bless_link/status/1890707010196586948 Pichani, ni video. Inasemekana watu hao wanapelekwa uwanjani chini ya ulizni wa vyombo vya dola. Msako mkali mjini Bujumbura, unaendelea. Wanaokamatwa, ni wale wenye lafudhi za Kinyamlenge na kinyarwanda, wanaohisiwa kuwa watutsi. Kama...
  16. Marie Antoinette

    Abasirikare ba Congo bakatiwe urwo gupfa

    Urukiko rwa Gisirikare rwa Kivu y’Amajyepfo muri Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo rwahanishije igihano cy’urupfu abasirikare barenga 200 kubera guhunga urugamba bahanganyemo n’umutwe witwaje intwaro wa M23, bagakora ibyaha birimo ubwicanyi, gufata ku ngufu no gusahura. Isomwa ry’urubanza...
  17. Cobra70

    Nashauri tanzania iingie mkataba wa haraka na congo vijana wa Kitanzania wapate ajira ya haraka

    Ninawaza kwa Sauti ya chini sana nikiwa nakunywa taratibu kiburudisho kisicholewesha. Ni hivi vijana wengi wa Kitanzania wamekuwa na ndoto au matamanio ya kujiunga na jeshi la JW na hivyo kupelekea wengine kushindwa vigezo vya kujiunga na jeshi hilo na wengine kudondokea kwenye mikono ya...
  18. The Watchman

    Viongozi wa kanisa Katoliki na kanisa la kristo nchini DRC wamekutana na kufanya mazungumzo na waasi wanamgambo wa AFC-M23

    VIONGOZI wa Makanisa Katoliki Nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENCO) pamoja na Kanisa la Kristo nchini humo (ECC), mapema leo Februari 12, 2025 wamekutana na kufanya mazungumzo na waasi wanamgambo wa AFC-M23 lengo likiwa ni kujadili udumishaji amani nchini humo. Viongozi hao...
  19. B

    DR Congo Vs Rwanda Katika Mahakama ya Afrika-AfCHPR

    12 February 2025 Arusha, Tanzania DR CONGO YAFUNGUA KESI MAHAKAMA YA AFRIKA, RWANDA YAWEKA PINGAMIZI MAHAKAMA HAINA MAMLAKA DR Congo Vs Rwanda Katika Mahakama ya Afrika-AfCHPR https://m.youtube.com/watch?v=YAwhDzphA5A Februari 12, 2025: Usikilizaji wa Hadhara; Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
  20. Harvey Specter

    Kesi baina ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na Rwanda kusikilizwa Leo 12 na 13 Februari katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu

    Kesi baina ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC na Rwanda kuanza kusikilizwa leo Februari 12 na 13, 2025 katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu. Kesi hiyo iliwasilishwa mahakamani hapo Agosti 21, 2023 dhidi ya Rwanda kwa madai ya ukiukwaji wa haki. Tuhuma za Congo dhidi ya Rwanda...
Back
Top Bottom