container

  1. M

    Linahitajika container la 20 ft

    Wadau naitaji container 20 FT hata ikiwa used. Offer yangu ni 1.2 M. Iwe Dar na documenation zote za umiliki muuzaji awe nazo. Kama unayo nicheck kwa 0759 819 819.
  2. M

    Container linaitajika(Dar)

    Wadau salaam, Linaitajika Contauner la FT 20 au 40 kwajairi ya bishara ya duka la jumla/hardware. Naomba offer inbox.
  3. kokudo

    Zipi faida za kusafirisha Full Container au Loose cargo from China?

    Nimekuja tena kwenu wana jamvi naomba msaada wa kujua zipi ni faida za kusafirisha mzigo kama full container au Loose cargo kutoka China au Nchi za Wenzetu. Moja kuhusu gharama za usafirishaji. Pili kuhusu mambo ya bandarini mzigo ukifika. Nakukaribisha kwa mjadala. CC Top leader
  4. Sinister

    Nairobi Inland container depot Road project.

  5. vulcan

    Kenya inajengwa usiku na mchana - southern bypass to container depot link dual carriage

    Aisee hii bara bara hata hatukujua inajengwa -
  6. The Mongolian Savage

    Nataka kuingiza nchini container za Jezi za Aston Villa

    Mzuqa wanajamvi, Aiseee chalii zangu wanaJF nimewasiliana na baadhi ya watu Thailend na Bangladesh kuhusu kushona hizi jezi za Aston Villa. Inawezekana aiseee. Ninampango wa kushusha container la futi arubaini iliyosheheni jezi ya hii klabuya kipekee ambayo kijana wetu kipenzi national...
Back
Top Bottom