corona covid 19

  1. Francis fares Maro

    Chanjo ni hiari lakini ina umuhimu

    Tokea nimezaliwa na sio Mimi tu, watanzania wengi kama sio wote tumekua tunapata chanjo kutoka Kwa wahisani (mabeberu)..kila chanjo lazima iwe na side effects Kwa baadhi ya watu lakini sio wote. hanjo hizi zina umuhimu mkubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku!!..tuache propoganda mbaya za...
  2. Analogia Malenga

    #COVID19 Iringa: Mikusanyiko yazuiwa kudhibiti Corona

    Mkuu wa mkoa wa Iringa, Queen Sendiga amesitisha kwa muda shughuli zote zisizo za lazima zinazohusisha mikusanyiko pamoja na makongamano yasiyo ya lazima, ikiwa ni moja ya jtihada za mkoa huo katika kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona. Sendiga amesema wamefikia uamuzi huo baada ya kuona...
  3. S

    #COVID19 Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

    Chanjo ya Korona inaweza kuwa hiari, lakini usiseme hutaki chanjo halafu uendelee kuwa konda wa basi au nesi hospitali, tafuta kazi nyingine. Katika hali ya haki za binadamu, kila mtu ana uhuru wa kufanya analotaka ili mradi asivunje sheria au kuingilia au kuathiri haki za watu wengine katika...
  4. John_Alfred

    SoC01 Days Of The Future Past: ''A Reflection Of The Current Ongoings''

    Yes! absoutely yes, that is just in case if you are wondering whether I did borrow my title from the X-Men trilogy set similar to this article’s title, for those who watched that movie…( this is not a spoiler scenario but just a recap to show the relation with what I want to present), let’s...
  5. M

    #COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

    Nimeamua kuandika ili wananchi tujue ya kuwa hata baadhi ya watunga sheria na pia ni viongozi wa dini hawajui kinachoendelea duniani. Huyu Mbunge (Askofu )wa jimbo la Kawe ETI anaona chanjo vaccine ya corona ni upuuzi.Labda hana kitu kinachoitwa BRAIN ana maji kichwani. Dunia nzima inagombania...
Back
Top Bottom