covid test

  1. Mparee2

    #COVID19 COVID-19 Test - Mbuga za Kusini zimetelekezwa

    Hadi ninavyo andika hapa hakuna hata mbuga moja ya kusini Inayofanya Covid sample collection Halafu unasikia Mtu anasema eti tuna promote mbuga za kusini watalii waende huko Mbuga hizo ni; 1. RUAHA NATIONAL PARK (pamoja na kuwa na dispensary ndani ya Park wameshindwa kuiwezesha ichukue sample?)...
  2. beth

    #COVID19 Travellers entering Uganda to take mandatory Covid-19 test

    Starting September 3, all travellers arriving in Uganda, including citizens, will be subjected to a mandatory PCR Covid test before they are cleared to enter the country. The Ministry of Health has revised travel guidelines, tightening Covid rules in the face of fake Covid-19 certificates...
  3. moyafricatz

    #COVID19 Kurejewa upya kwa gharama za upimaji wa UVIKO-19 kwa wasafiri nchini Tanzania

    Tarehe 11 Agosti, 2021 Dare es Salaam. Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa UVlKO-19 Duniani, ambapo Tanzania ilipata kisa cha kwanza cha mgonjwa wa UVlKO-19 tarehe 16 Machi 2020, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo upimaji wa wasafiri wanaoingia na...
  4. lodirofaa

    #COVID19 Je, ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unapima tena?

    Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime tena?
  5. W

    Uingereza wataka Uhuru Kenyatta apimwe Corona kabla ya kuingia

    Ndugu zangu, Hii ndio hali halisi mtaka cha uvunguni sharti ainame.Hadi sasa haieleweki ni kipimo cha puani au sehemu ya haja kubwa. ======= Nairobi. Britain will demand a top mark Covid-19 test from President Uhuru Kenyatta and his team ahead of entering London today after being exempted...
Back
Top Bottom