cpa

A CPA (Cooperativa de Producción Agropecuaria), or Agricultural Production Cooperative, is a type of agricultural cooperative that exists in Cuba today.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

    Kutana na dada wa kazi alieenda shule Ella ambaye yeye anasema kazi yake ni usaidizi wa kazi za nyumbani. Anasema licha ya kuwa na CPA yeye ni dada wa kazi na anafurahia kazi hiyo.
  2. F

    CPA graduation ina Best student, why Law school haina Best student, why Engineering board haina Best student?

    Habari wadau? Najiuliza why board ya uhasibu ina best students kwenye mitihani yao ya kupata CPA Why Law school haina mambo ya nani best student? Why ERB haina mambo ya best student?
  3. uzewela

    Kusoma CPA

    Habari wakuu!! Mimi ni member wa NBAA nilijisajili mwaka 2011 wakati ule tunafanya module e na f sikufanikiwa kumaliza nikawa nimepiga masters toka kipindi hicho hadi sasa sijawahi fanya tena iyo mtihani. Sasa natamani kurudi kufanya mitihani ya CPA, naomba mwenye kujua naanzia stage ipi na...
  4. Leyman98

    Gharama ya kusoma CPA

    Habari za sasa hivi. Nimemaliza chuo degree ya uhasibu nataka niende kusoma CPA kwahiyo nilikuwa nauliza gharama ya kusoma hiyo CPA kwenye intermediate level itacost sh ngapi? Natanguliza shukrani za dhati kwenu wote
  5. Z

    Waziri anaunda tume kuchunguza 'kufeli' kwa wanasheria, mbona CPA na PSPTB wanafeli pia?

    Tunaweza kujadili miaka yote juu ya professional bodies mbali mbali lakini kuna mambo mengi yaliyojificha ndani yake. Sehemu kubwa hii ni biashara kwa wachache. Mitihani ya CPA watahiniwa wamekuwa wakifeli kila mwaka kwa wingi. Hata matokeo yake mengi huwa ni ya kupanga tu! Rushwa kibao! Leo...
  6. and 300

    Hongera kwa walifuzu mitihani ya CPA (T) - 2022

    Tukiwa bado kwenye mjadala TRAT na TRAB. Leo ndo Leo vijana wanagraduate CPA(T) huko Bunju Ni mwendo sherehe mji mzima! Uchumi wa Kati unakuja kwa baraka zote. Hongereni wahitimu wote kapigeni kazi Kwa uadilifu kulingana na maadili ya KAZI yenu. Inapendeza Sasa CPA(T) kila anayesomea anaipata...
  7. C

    Review classes za CPA Bukoba

    Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kujua ni sehemu gani naweza kupata review classes za CPA pamoja na kituo cha mitihani maeneo ya bukoba. Thanks in advance.
  8. sky soldier

    Kama uliweza kumaliza mitihani yako, weka hapa stori yako, mbinu, changamoto kuwapa matumaini watahiniwa

    Duh aisee ule mziki wa CPA sijawahi ona, ulinipeleka mchaka mchaka mno hata nikiunganisha msuli wa form 6 E.C.A na degree bado haifiki hata robo, hata wanaotoka cpa kwenda masters huwa ni kama wameenda likozo na wanapasua masters si mchezo, lakini utoke masters uje cpa ni shughuli pevu...
  9. J

    Je, kwa ufaulu huu anaweza kusoma CPA ya uhasibu?

    Habari wakuu kwa matokeo haya English D Kiswahili D Civics F Biology D geography C B.math C History D Four ya 27 Hayo matokeo ni ya 2012 ,Sasa nataka kujua Kama ataweza kusoma CPA na aanzie wapi na itamchukua muda gani kumaliza na vipi kuhusu ada Pia Kama Kuna vyuo vinavyotoa hio course...
  10. L

    Kuna tofauti gani ya maslahi kati ya muhasibu mwenye CPA na asiye na CPA?

    Wizarani na halmashauri muhasibu mwenye degree huanza na TGS D, 7.1k Je, ukiwa na CPA kuna chochote kinaongezeka?
  11. L

    mwenye past papers za cpa 2021 na 2020

    Kwema ndugu zangu naomba kama kuna mtu yeyote mwenye past papers za cpa kwa miaka hiyo hapo juu kwa ngazi ya intermedite na final anisaidie
  12. T

    Elimu ya Tanzania haiishi changamoto, NBAA sasa wameamua kuuza mitihani ya CPA

    Jana nilikuwa naongea na bwana mdogo anafanya mitihani ya wahasibu ya CPA mbayo inaanza jumanne. Bwana mdogo amefanya hii mitihani muda mrefu sasa jana namuuliza unamaliza lini mbona kila mara unarudia rudia, dogo akajitetea kwamba kutokana na shughuli zake huwa anakosa muda wa maandalizi vizuri...
  13. F

    Mchumba wa Nikki wa Pili awa best student kwenye CPA...

    Pisi kali with brain inapendeza sana. Wale wa tuma na ya kutolea jifunzeni kwa mwenzenu. Mitihani ya CPA sio ishu ndogo. Mrembo anastahili pongezi
  14. mshale21

    Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

    Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza. Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo...
  15. W

    Wanaosoma CPA Tanzania karibuni kwa mawazo ma ushauri

    Hello members, Nimeanza kusoma CPA NBAA Tanzania. Nipo foundation Level. Bado sijatembelea vituo vingi vya tuition. Najisomea taratibu kila nipatapo chance. Karibuni tujadili mawili matatu.
  16. Jerry santonga

    Naomba kujuzwa gharama za CPA kwa aliyemaliza degree

    Nina Kijana wangu nahitaji kumsomesha CPA amemaliza degree ya Uhasibu wa umma amenieleza Jumla ni 3,650,000/= Naomba wajuzi mnisaidie
  17. Kukudume2013

    Ushauri: Ana CPA analipwa laki tatu anataka aache kazi

    Kuna mjamaa mmoja yupo ameajiriwa sehemu rasmi ana sifa zote za kuwa na mshahara usiopungua 3m kwenda juu .maana anayo master ya fedha na anayo CPA kapata mwaka juzi lkn mpk sasa analipawa laki 3 .alikuja kwangu kuniomba ushauri nikamwambia poa nitakupa.maana yeye anataka aache kazi ili ajiajiri...
  18. Shangchi

    Nahitaji kusoma CPA

    Habari ndugu zangu, Mimi ni mwalimu wa hesabu na uchumi shule ya serikali nipo vijijin lindi,nilikua nahitaji kusoma CPA lakini review classes zote zipo maeneo ya mjini hasa Dar, pia hofu yangu ni je naweza kukubaliwa kusoma kwa miez kadhaa then nirudi kazini? (I.e kusoma foundation 4 months)...
Back
Top Bottom