crdb

  1. Jamii Opportunities

    IT Support Officer – 2 posts at CRDB Bank March 2025

    Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Number of openings 2 Job Purpose IT Support Officer will be responsible for managing incidents and requests raised by users through ticketing tool, calls and emails as well as monitoring systems and infrastructure and follow up on...
  2. Atlast nimempata

    Benki ya CRDB mnakwama wapi?

    Karibu na mazingira ya Shule ya Secondary Joketi Mwegero iliyoko Halmashauri ya wilaya ya kisarawe, mkoa wa pwani, hakuna Benk wala wakala wa CRDB kiasi kwamba wazazi tunakosa njia rahisi naya uhakiki kuwatumia watoto hela? Mnakwama wapi?
  3. M24 Headquarters-Kigali

    Tetesi: CRDB anzeni mchakato wa Boss mpya pia Dr Madelu jiandae kisaikolojia!

    1. Kwa siasa zetu zilivyo hawa CRDB ni vizuri wakaanza mchakato wa kupata boss mpya ifikapo Oktoba 2025. 2. Ukifuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu kuwa kituo kifuatacho kuna ingizo jipya pale HAZINA/Moyo wa nchi ulipo. 3. Wizara ya Fedha inataka mweledi na mwenye...
  4. Chrispino Henry

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Kati ya UTT AMIS (Unit Trust of Tanzania) na CRDB Bank (kupitia hisa au mifuko ya uwekezaji), chaguo lako litategemea malengo yako ya uwekezaji, kiwango cha hatari unachoweza kuvumilia, na faida unayotegemea. Hapa kuna mlinganisho mfupi: 1. UTT AMIS (Unit Trust of Tanzania – Asset Management and...
  5. B

    BENKI YA CRDB, UNDP zazindua programu kuwasaidia wafanyabiashara kufikia Soko Huru la Afrika (AfCTA)

    Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria kuzindua programu ya kuwasaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati kushiriki fursa zilizopo katika Soko Huru la Afrika (AfCFTA) inayotekelezwa na CRDB Bank Foundation pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa...
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Records: Sure Boy na Mudathir walisimamishwa Azam kwa sababu ya kupanga matokeo dhidi ya Yanga

    WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga...
  7. SAYVILLE

    Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

    Huu kweli ni mwaka wa ubaya ubwela. Azam ametolewa kwa penati na Mbeya City katika mashindano ya Shirikisho la CRDB Cup. Tukumbuke kwamba Mbeya City inacheza katika ligi daraja la kwanza. Timu hizo zilimaliza mchezo kwa kufungana 1-1 ndiyo wakaenda kupigiana penati ambapo Mbeya City ikashinda...
  8. B

    Benki ya CRDB kumtunuku mteja Ford Ranger, yazindua kadi za TemboCard

    Katika kuendeleza hamasa ya matumizi ya kadi kwa wateja wake na Watanzania kwa ujumla, Benki ya CRDB imepanga kumzawadia mteja atakayekuwa na matumizi makubwa ya kazi zake za TemboCard Visa gari jipya aina ya Ford Ranger. Sambamba na gari hilo jipya ambalo halijawahi kuendeshwa (kilomita...
  9. B

    Serikali yaipongeza Benki ya CRDB kudhamini mashindano ya Quran

    Dar es Salaam. Tarehe 24 Februari 2025: Serikali imeipongeza Benki ya CRDB kwa kudhamini Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Quran yaliyofanyika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Pongezi hizo zimeetolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa aliyemwakilishwa Rais Samia...
  10. Jamii Opportunities

    Senior Specialist Shariah Quality Assurance at CRDB Bank

    Reporting Line SENIOR MANAGER SHARIA COMPLIANCE AND PRODUCTS Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF RETAIL BANKING Job Purpose To monitor all Islamic Banking Unit operations and transactions, especially financing transactions end to end, ensuring they adhere to laid down...
  11. Jamii Opportunities

    CRDB Bank Board Member 4 Vacancies

    BOARD MEMBER VACANCIES CRDB Bank Plc is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
  12. Jamii Opportunities

    Specialist; ICT Networks – LAN & WAN at CRDB Bank

    Reporting Line MANAGER WAN & LAN Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Job Purpose Manage networks to ensure they function efficiently. Tasks such as collecting network performance data, monitoring network security, troubleshooting issues, anticipating problems and...
  13. B

    Benki ya CRDB Yatangaza Hatua ya Kihistoria ya Kupanua Huduma Zake Hadi Dubai Inaposherehekea Miaka 30

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Slaa (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (wapili kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakizindua rasmi...
  14. Waufukweni

    Wapinzani wa Simba, Yanga, Azam Kome la Shirikisho la CRDB wawekwa wazi

    Droo ya hatua ya 32 Bora ya kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB FEDERATION CUP) imewekwa wazi ambapo Mabingwa watetezi, Yanga Sc wamepangwa dhidi ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union kwenye 32 Bora huku Simba Sc ikipangwa dhidi ya TMA Stars ya championship, huku Azam FC watacheza dhidi ya Mbeya City...
  15. W

    EQUITY Bank unafungua account na kupewa ATM Card ndani ya dakika 10 , Crdb na Nmb wameboresha huduma zao ?

    Ninahitaji kuongeza account kati ya benki hizo mbili Crdb na Nmb. Nakumbuka hapo zamani Crdb na Nmb process zilikuwa ndefu sana wiki 1 hadi 2 Mambo yamebadilika ????
  16. Mike Moe

    Naomba wenye uelewa kuhusu hisa za bank ya CRDB tujuzane

    Habari wana jamii naomba wenye uelewa kuhusu hisa za bank ya CRDB tujuzane, mtu anakuaje mwana hisa, hisa moja ni tsh ngapi, na faida zake zikoje mfano ukiwa na hisa kumi unafaidikaje baadae
  17. Fanton Mahal

    Ni branch gani ya CRDB huwa inafunguliwa Jumapili?

    wakuu heshima kwenu. Naomba kufahamishwa kama kuna branch yoyote ya crdb bank ambayo ina operate jumapili kwa huduma za kawaida kama ilivyo siku zingine hapa jijin Dar es salaam, je ipo??? Ahsanten sana.
  18. amshapopo

    Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

    Wakuu, Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose. Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave...
  19. K

    KERO CRDB BANK Mlichonifanyia tarehe 31.12.2024 ni zaidi ya unyang'anyi

    Leo nimeenda kwenye moja ya ATM za CRDB Bank nikiwa na nia ya kutoa fedha kiasi cha 200k+. baada ya majaribio kadhaa ya kujaribu kutoa kiasi hicho ambacho nilikuwa na uhakika ninacho kwenye akaunti kushindikana ikabidi niangalie salio, sikuamini baada ya kukuta kiasi cha Tshs. 96,280...
  20. B

    Benki ya CRDB yafungua matawi mapya Mugango, Sirari mkoani Mara

    Katika kuufunga mwaka 2024 kwa huduma bora, Benki ya CRDB imefungua matawi mapya mawili mkoani Mara yaliyopo Mugango katika Wilaya ya Musoma Vijijini na Sirari wilayani Tarime. Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya CRDB, Boma Raballa amesema uzinduzi wa matawi hayo ni sehemu ya jitihada za Benki...
Back
Top Bottom