crdb bank

CRDB Bank Plc is a commercial bank in Tanzania. It is licensed by the Bank of Tanzania, the central bank and national banking regulator. As of 31 December. 2018, the bank was reporting Total Assets of TZS 6.0 Trillion and Total Deposits of TZS 4.7 Trillion.

View More On Wikipedia.org
  1. IT Support Officer – 2 posts at CRDB Bank March 2025

    Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Number of openings 2 Job Purpose IT Support Officer will be responsible for managing incidents and requests raised by users through ticketing tool, calls and emails as well as monitoring systems and infrastructure and follow up on...
  2. Athari za Mkopo wa Biashara, Baada ya kukopa mkopo wa biashara kutoka Benki, nimejikuta katika hali ngumu sana

    Utangulizi Baada ya kukopa mkopo wa biashara kutoka CRDB, nimejikuta katika hali ngumu sana. Sijawahi kufikiria kwamba mkopo unaweza kuathiri maisha yangu kwa namna hii. Kila usiku, ninasumbuliwa na mawazo ya kurejesha pesa hizo, na matokeo yake ni kukosa usingizi. Ni kama vile mzigo mzito...
  3. Senior Specialist Shariah Quality Assurance at CRDB Bank

    Reporting Line SENIOR MANAGER SHARIA COMPLIANCE AND PRODUCTS Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF RETAIL BANKING Job Purpose To monitor all Islamic Banking Unit operations and transactions, especially financing transactions end to end, ensuring they adhere to laid down...
  4. CRDB Bank Board Member 4 Vacancies

    BOARD MEMBER VACANCIES CRDB Bank Plc is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
  5. Specialist; ICT Networks – LAN & WAN at CRDB Bank

    Reporting Line MANAGER WAN & LAN Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Job Purpose Manage networks to ensure they function efficiently. Tasks such as collecting network performance data, monitoring network security, troubleshooting issues, anticipating problems and...
  6. R

    KERO CRDB hiki mnachofanya sio sahihi, App inaandika ni bure kuangalia taarifa fupi ya miamala, baada ya kuangalia unakatwa Tsh 450

    Kwenye app ya simbanking kuna sehemu ya Taarifa ya akaunti, ukichagua taarifa fupi ya miamala 10 iiyopita, utaandikwa jumla ya makato ni shilingi 0.00 Ajabu ukithibitisha kuangalia miamala unakatwa shilingi 381 + vat shilingi 65.58, jumla ya shilingi 450, Ninaumia sana siwezi kuangalia hata...
  7. FT | Simba SC 6-0 Kilimanjaro Wonders | CRDB Bank Federation Cup | 1.26.2025

    Match Day Leo, Mnyama Simba SC atakuwa dimba la KMC Complex akicheza na Kilimanjaro Wonders, mechi raundi ya tatu CRDB Bank Federation Cup. Mnyama amesema mechi hii ni ya kuwapongeza wachezaji wao kwa kutinga robo fainali ya CAF CC. Hiki hapa kikosi cha Simba SC Kikosi cha Kilimanjaro...
  8. Ni branch gani ya CRDB huwa inafunguliwa Jumapili?

    wakuu heshima kwenu. Naomba kufahamishwa kama kuna branch yoyote ya crdb bank ambayo ina operate jumapili kwa huduma za kawaida kama ilivyo siku zingine hapa jijin Dar es salaam, je ipo??? Ahsanten sana.
  9. B

    Benki ya CRDB yaanza kutoa mikopo ya ada Shule za Msingi na Sekondari

    Dar es Salaam. Tarehe 7 Januari 2025: Katika kuukaribisha mwaka mpya 2025, Benki ya CRDB imezindua mikopo ya ada kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini kote. Mikopo hiyo inayoitwa Ada Fasta ni mwendelezo wa juhudi za Benki ya CRDB kukidhi mahitaji na matarajio ya wateja wake ili...
  10. K

    KERO CRDB BANK Mlichonifanyia tarehe 31.12.2024 ni zaidi ya unyang'anyi

    Leo nimeenda kwenye moja ya ATM za CRDB Bank nikiwa na nia ya kutoa fedha kiasi cha 200k+. baada ya majaribio kadhaa ya kujaribu kutoa kiasi hicho ambacho nilikuwa na uhakika ninacho kwenye akaunti kushindikana ikabidi niangalie salio, sikuamini baada ya kukuta kiasi cha Tshs. 96,280...
  11. Hongereni CRDB Bank kwa customer service

    Desemba 25 nilienda Ku withdraw pesa ATM. Kadi ikamezwa, nikapiga namba ya simu iliyobandikwa ukutani ndani ya ATM. Baada ya dakika 10 wahudumu wakaja, wakaingia ndani na kuniletea kadi yanguβœ…. Yaani desemba 25 wako kazini. Big up.
  12. Y

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Tanzania shida ni nini?

    Habarini ndugu, Hii inawahusu moja kwa moja bodi ya mikopo elimu ya juu,kunashida gani mpka wanachuo mpka wiki jana hawajapata boom? Na nikiangalia kwa umakini huo ni mkataba kati yenu ninyi na wanafunzi husika sasa inakuwaje mpka boom linachelewa hivo? (Haswa kwa wanafunzi wenye akaunti ya...
  13. B

    Benki ya CRDB Yatoa Madawati 80, Viti na Meza 50 Wilayani Babati Mkoani Manyara

    Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Kaskazini, Bw. Cosmas Saadat (kushoto) akimkabidhi msaada wa Madawati, Meza na Viti kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Babati mjini Bw Shabaani Mpendu (kulia) kwa shule ya msingi Shikizi ya Muungano Dagailoy ya Wiyala ya Babati, Manyara ikiwa ni mkakati wa...
  14. CRDB Bank funga kazi! Unaweza kutuma pesa bure, kwa yeyote, kokote ukiwa popote Duniani. Big Up Sana CRDB Bank, diaspora tuchangamkie hii fursa!

    Wanabodi Japo hili ni Jukwaa la Siasa, unapozumgumzia mambo ya fedha, wengi wanadhani fedha ni uchumi tuu, kumbe sio kweli, fedha ni siasa, fedha ni uchumi, fedha ni jamii, fedha ndio kila kitu!. Sii wengi wanalijua kosa la kiongozi wa Libya, Muamnar Quadafi kilichofanya auwawe na mabeberu, ni...
  15. B

    Benki ya CRDB Yatunukiwa Tuzo za 'Benki Bora' na 'Benki Salama' Tanzania na Jarida la Global Finance

    [/B] Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akipokea tuzo ya 'Benki Bora Tanzania' kutoka kwa Joseph Giarraputo, Mwanzilishi na Mhariri Mkuu wa Global Finance, katika hafla iliyofanyika Washington D.C. tarehe 26 Oktoba 2024. Katika hafla hii, iliyofanyika sambamba na...
  16. CRDB bank inapokea mwisho kiasi gani?

    Wakuu habari Naomba kujua kiwango cha juu cha mwisho ambacho kama mteja wa CRDB naweza kupokea kwenye account yangu ya mshahara.
  17. Beware: CRDB bank customers are currently being targeted by scam emails in a large scale fraudulent attempt

    Customers of CRDB Bank, Tanzania's largest lender by assets and deposits, have received fraudulent emails from scammers pretending to be the bank. In the phishing attack, CRDB Bank customers received emails that ask them to click a suspicious link.In one of the emails seen by π™π™–π™£π™―π™–π™£π™žπ™– 𝘽π™ͺπ™¨π™žπ™£π™šπ™¨π™¨...
  18. Katika kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, ningependa kuwaambia CRDB Bank kuwa wana huduma mbovu kwa wateja

    Kwa hio mnataka kujifanya mmelemewa na wateja, aaah wapi, hii benki kimei aliondoka nayo na waliobaki ni wazinguaji tu. Kama ukuu wenu ndio unawapa viburi tambueni akaunti zetu sio mikataba na ipo siku kuna benki kubwa itakuja nyingine na tutaondoka kama lile tangazo la hamia Airtel. Mikopo...
  19. Kwanini CRDB Bank haitumi tena taarifa za akaunti za wateja (Bank statements) tangu Januari 2024?

    CRDB bank, bank statement kutumwa kwa wateja kila mwezi kwenye email zetu imekuwa tatizo tangu Januari 2024. Huduma kwa wateja hawana majibu na ukiomba bank statement ya mwezi wanakukata kuwa umeomba. Embu tujuzeni CRDB what is going on kama huduma ndogo ndogo kama hizo mpaka nije au niandike...
  20. B

    Benki ya CRDB yazindua mashindano ya CRDB Bank Supa Cup 2024

    Benki ya CRDB imezindua rasmi msimu mpya wa mashindano ya mpira wa miguu na mpira wa pete yanayowahusisha wafanyakazi wake yanayotambulika kama β€œCRDB Bank Supa Cup 2024”, yaliyoanza kutimua vumbi siku ya Jumapili, tarehe 1 Septemba 2024, Jijini Dodoma. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…