CRDB Bank Plc is a commercial bank in Tanzania. It is licensed by the Bank of Tanzania, the central bank and national banking regulator. As of 31 December. 2018, the bank was reporting Total Assets of TZS 6.0 Trillion and Total Deposits of TZS 4.7 Trillion.
Naomba mwenye ufafanuzi wa namna ya kupata mkopo kuanzia kiwango cha 10m na kuendelea wa biashara na riba yake per one year anisaidie au anipe ufafanuzi ili niweze angalia kama naweza kufanikiwa kuongeza mtaji
Habari ya uzima wanajamvi?
Natumaini wote tumejaliwa zawadi adhimu ya uhai na Mola yeye atuwezeshaye kufanya yote tuyafanyayo kila siku.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada au jambo nililopenda kulijua kutoka kwenu.Mimi nipo kijijini kwa mda mrefu sijafika mjini.
Huku niliko hakuna Benki...
Leo nimeenda Bank kuchukua pesa ambazo kabla sijaanza kuwapatia wanihifadhie tulipeana masharti.
Cha kushangaza Leo nimeenda branches mbili zote walinzi wao (ambao hawakuwepo wakati nawekeana makubaliano na bank kuhusu vigezo na masharti) wakanizuia kuingia ndani kuchukua pesa zangu Kwa kigezo...
Yaani unalipia Dstv kifurushi cha bomba elfu kumi na tisa na mia tisa (19,900) afu gharama za kufanya malipo hayo ni elfu tano (5,000).
Kwanini gharama ipo juu hivi? Nilikuwa sijawahi kujua, huu ni wizi wa mchana kweupe.
Arusha. The Bank of Tanzania (BoT) has issued an approval for CRDB Bank Plc to extend its footprints to the Democratic Republic of Congo (DRC), it was announced here during the weekend.
This is in line with the government’s desire to see Tanzanian companies expanding to other countries and reap...
Job Summary
Responsible to grow and manage Bancassurance portfolio and identified business opportunities for all lines of business within a unit; responsible for retention thus achieving the delivery of the Business Budget as well as ensuring sustainable, profitable business operations.
Key...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.