Teknolojia ya njia za pesa inazidi kuwa kubwa na leo sasa ni cryptocurrency.
Cryptocurrency ni mfumo wa mzuri sana ambao pesa yako aina control na benki wala serikali yako.
Cryptocurrency unaweza kwenda nchi yoyote na kutoa pesa sehemu yoyote.
Cryptocurrency huwezi ku trace miamala ya...
Nakumbuka ilikua 2017 Mida ya jioni nipo na laptop yng naperuzi mtandaoni kumtafuta njia ya kuningixia pesa bila ya mimi kuwa na mizunguko miingi, katika kuperuzi hapa na pale first time nikaona BITCOIN na ndio ulikua mwaka ambao ilianza kupata soko, bei ya coin moja ilikua ni ndogo sana...
kiwa na bahati ya kuhandika na maandiko yako yakawakamata vizuri watu basi utawachota kweli kweli.
Huyu bwana hapa JF aliwakamata watu sana kipindi cha Forex na mpaka wengine hata umweleweshe vipi kukubali kuwa alikuwa akili yake aina 50 zake ilikuwa ngumu.
Hapa JF watu wameweza kueleza Forex...
Japo thamani nzima ya soko la crypto imeshuka wiki hizi chache kutoka dola za kimarekani 2.4 Trilion mpaka $1.7 Trillion. lakini bado soko hili linakupatia nafasi nyingi za kutengeneza pesa kupitia holdings zako.
Make your money go to work now..
Hizi ndo njia ambazo zinaweza kukufanya uendelee...
Wakuu Amani iwe kwenu.!
Kwanza kabisa, ieleweke wazi kuwa sipo hapa kupinga kuhusu Crypto-Currency trading, Forex Trading na jamii zote za mambo kama haya. Mie mwenyewe naendelea kujifunza ili nijue kwa undani na huenda siku moja nikawa expert wa hizi mambo. Lengo kubwa ni ku-share utapeli...
Ni jambo la kawaida kwa vijana wanajihusisha na cryptocurrency kushawishi wengine kuwa huo ni uwekezaji ambapo watu wengi huingia wakiamini watapata faida kubwa lakini huishia kupata hasara au faida ya kawaida ambayo wangeweza kuipata katika masoko yoyote ya pesa
Kwa ufupi sana, Uwekezaji ni...
Mfano nimedepost usd 50 kwenye crypto wallet nikanunua ethereum coins za thaman hiyo nikazi-hold,.. baadae ethereum coin zikashuka sana thaman sokoni zile usd 50 zikapukutika. Je, wallet yangu itasoma negative (- 50) ili soko ilikipanda zipande tena ama wallet itasoma zero kabisa yani hamna...
Waziri wa Nchi, Uchumi na Uwekezaji wa Zanzibar, Mudrick Soraga amesema watakutana na wadau wa fedha za mtandao ili kupata maoni kuhusu fedha hizo
Watakutana na wadau katika wiki ya tatu ya mwezi huu, ili kujua kama kuna haja ya kutumia cryptocurrency kwenye miamala
Rais wa Tanzania, Samia...
Fedha ya Mtandao(Cryptocurrency), Liquid Global ya Japan ambayo ni moja kati ya fedha 20 za mtandao zinazotumika zaidi, imedukuliwa na dola milioni 100 zimeibwa ambazo ni sawa na takriban Tsh. Bilioni 323.
Huu I wizi wa pili mkubwa baada ya ule uliohusisha wadukuzi wenye nia njema kuiba dola...
Wadukuzi wenye maadili 'white hat hackers' waliingia kwenye mifumo ya fedha za mtandao, 'CryptoCurrency' na kuchukua kiasi cha dola milioni 610.
Wadukuzi wamerudisha kiasi hiko cha fedha kwa wahusika kwa kuwa lengo lao halikuwa kuiba.
Walichukua hela hizo kutoka Polygon, BSC na Ethereum...
Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi iendane na spidi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology).
Blockchain technology ni teknolojia mpya iliyogunduliwa mwaka 2008 na kushika kasi kuanzia 2014, ni mfumo madhubuti ambao ni ngumu Ku hack na kuiba data au pesa. kwa...
Habari wakuu
Maisha kwa sasa yanaenda kasi sana, Sisi vijana katika harakati za kutafuta pesa tunakutana na changamoto nyingi sana ,sasa kuna hii njia inaitwa "kupiga hela online ,ukiwa na simu yako na bando " Mimi nimeshafanya uchunguzi sana online businesses wanazosema ni zipi hizo au ni hizi...
LOS ANGELES — Five men were charged Tuesday in connection with what federal prosecutors called a lucrative cryptocurrency scheme that fleeced investors out of $722 million in a business model that one of the defendants described as built "on the backs of idiots," according to court documents...
BoT katika taarifa yake imeeleza kuwa inatambua juu ya uwepo wa watu wanaofanya malipo kwa kutumia sarafu hizo na yapo matukio ya uhamasishaji wa sarafu hizo
Wapo wanaodai kuwa wamewasiliana na Benki Kuu kuhusu uhalali wa matumizi ya sarafu kauli ambazo ni potofu
Taarifa ya BoT imewaonya wote...
So you thought Bitcoin is the best investment because it is alleged nobody controls it. Well it almost became worthless recently due to a bug that has now been patched. Who knows what will happen next time there is such a bug.
“Developers of Bitcoin Core – the software used to power the Bitcoin...
Daremall.com an ecommerce site based in Tanzania has been launched and became the first Ecommerce site to accept cryptocurrency in Tanzania.
Users can place orders and pay seamlessly using Bitcoin, Bitcoin cash,Litecoin and Ethereum.
Other payments methods available in this site are; Cash On...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.