customer

  1. Mix by Yas mnatutesa sana kuanzia huduma zenu mpaka hao huduma kwa wateja yenu

    Hizi siku tatiu NImEKUWA na shida sana na mtandao WA max yas Imefika wakati UNANUNUA luku token za. Tanesco huzion Unapiga OFISIN mfanyakazi anawaza kupokea simu 10 mins kama ANAPOKEA condom Sio hayo tu HATA kununua bundle imekuwa shida Na Hilo bundle ukinunua kulifanyia kazi shida una gb 1...
  2. M

    Natafuta kazi ya cashier or customer service nipo jijini Dar es salaam

    Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
  3. M

    Natafuta kazi ya uhasibu au customer services

    Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu natafutaa kazi 0713776534
  4. M

    Natafuta kazi ya uhasibu naombeni msaada wenu

    Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya receptionist naombeni msaada wenu 0713776534
  5. M

    Natafutaa kazi ya uhasibu au customer service

    Naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi ya uhasibu au customer service nipo Dar es salaam 0713776534
  6. R

    Waziri Mwigulu Nchemba shughilika na hawa lazy customer care service

    Namba ya simu TRA Arusha inaita tu haipokelewi. Why taasisi nyingi za serikali kwenye mawasiliano ni sifuri??
  7. Hongereni CRDB Bank kwa customer service

    Desemba 25 nilienda Ku withdraw pesa ATM. Kadi ikamezwa, nikapiga namba ya simu iliyobandikwa ukutani ndani ya ATM. Baada ya dakika 10 wahudumu wakaja, wakaingia ndani na kuniletea kadi yangu✅. Yaani desemba 25 wako kazini. Big up.
  8. Honey for sale.Very origin, pure Honey....Karibia Karibia customer....

    Honey for sale. Very origin, pure Honey.... Karibia Karibia customer....
  9. Customer care Tanzania ni kipengele

    Nchi hii suala la kumjali Mteja ni kama halipo. Majuzi nilitaka kununua tiket za ndege kwa kutumia Master card kwa benki pendwa ya NMB sasa kila nilijaribu inagoma. Napiga customer care wananiambia hadi kesho Yale asubuhi niende kwenye Tawi nililofungulia akaunti. Daah!
  10. F

    Natafuta kazi ya Customer Services

    Hello naitwa Agnes mkazi wa Dar-es-Salaam ubungo natafuta kazi ya customer services
  11. F

    NATAFUTA KAZI YA CUSTOMER SERVICES

    Hello naitwa Agnes mkazi wa Dar-es-Salaam ubungo natafuta kazi ya customer services
  12. A

    KERO Ubovu na udhaifu wa mfumo wa Ajira Portal

    Habari, mfumo wa ajira portal umekua kero kwa watumiaji kwani endapo kuna kosa basi mfumo hauna optiona ya kufuta kosa hilo (hasa kipengele cha accademic qualification) pia ukiwapigia simu hawapokei unapata ujembe the caller is busy ama wanakuwekea vijinyimbo vya hovyo huku ukipoteza salio lako...
  13. Napataje kuongea na vodacom customer care

    Habari zenu? Naomba kujua ni namba gani ni naweza kupiga ili niongee na customer care wa Vodacom. Namba hii +255754700000 na namba 100 hazileti option ya kuongea na mhudumu asubuhi hii. Mwisho Vodacom mpunguze wizi. Leo mmeniibia Sana bando zaidi ya Mara tatu. Sio poa
  14. Collections Officer at Watu Credit

    Dar Es Salaam, Tanzania, WATU is a focus driven, customer-centric company that believes everyone deserves the opportunity to be an entrepreneur and achieve their ambitious goals in life. As Africa’s fastest-growing Asset Finance Company, we see the continent’s bright and prosperous future and...
  15. Customer Care Intern at Watu Credit

    Dar Es Salaam, Tanzania Position: Customer Care Intern, Dar es Salaam. Tanzania. About WATU: WATU is a focus driven, customer-centric company that believes everyone deserves the opportunity to be an entrepreneur and achieve their ambitious goals in life. As Africa’s fastest growing Asset...
  16. Nakupenda customer care wa CRDB.

    We mdada wa CRDB tawi la Mwanza customer care desk, kwanza nakuombea kwa mungu uzidi kukupa afya njema vingine nitafanya mimi, ninafanya juuchini nikupate, iwe ni kwa upendo, dua, viringe ama pesa nitazitoa ili tu uwe wangu. Nimekutazama vizuri, una uzuri wa sauti, tabasamu, karangi kako dark...
  17. CRDB Customer Service: Unapiga Simu Unawekewa wimbo wa Swaiba Langu ni Lako

    Haya mambo unaweza ukalia. Nimepata emergency natakiwa niwasiliane na watoa huduma wa CRDB. Aisee, wameniwekea wimbo wa Swaiba zaidi ya nusu saa. Mara ya kwanza nikajua wamezidiwa na wateja ila nimegundua watakua hawapuuzia tu simu hawa. Kwokwote walipo, kuanzia Meneja na team zenu, mna laana...
  18. Customer support ya Azam TV ni ovyo sana

    Aisee nimepata changamoto kisimbuzi changu hakioneshi licha ya kuwa katika same settinf kwa zaidi ya mwaka ghafla tu kikaanza kukata ikifika usiku na kurudi hewani pakikucha. Ikaenda zaidi ikasema invalid cam module detected. Nikasema niwasiliane na Azam TV customer care. Zile simu zao nimepiga...
  19. Huduma kwa wateja ya Air Tanzania siyo nzuri

    Ndugu zangu naomba nitoe la moyoni kuhusu Air Tanzania Head office. Kama wakisoma na wakikasirika ni sawa tu. Sio wote humu ndani tunaishi Tanzania tuna book ticket online tunahitaji confirmation kuhusu ndege na kila kitu ila ukipiga simu kwanza wafanyakazi wana dharau sana tena sana na pia...
  20. Nawapataje Vodacom Customer Care

    Kama kichwa Cha habari ..... Kila nikipiga 100 wanaongea wao tu ..na nimetuma Hela home Kuna DHARURA Hela wamekata home haijafika. Napiga customer care wanaongea wao tu hakuna option ya kuongea na customer care. Anayejua namna ya kuwapata Msaada tafadhali.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…