Wakuu,
Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.
Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:
Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of...
Wakuu,
1. MBUNGE WA BUKOMBE - Dotto Biteko
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Ubunge: Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bukombe mkoani Geita mwaka 2015 na alishinda kwa kura 71,640 dhidi ya 11,433 za mpinzani wake.
Wadhifa wa Kiserikali: Aliteuliwa kuwa Waziri wa Madini mwaka 2019 na alihudumu hadi...
Wakuu,
Hii hapa ni orodha ya CV za wabunge kutokana na Mkoa husika wa anapotokea Mbunge. Hapo utapata taariza zake kwa ufupi kuhusu wasifu wao kwa ujumla na mambo mbalimbali waliyofanya kwenye uwanda wa siasa na hata nje ya hapo.
Kuelekea 2025 - Arusha: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge...
Wakuu,
1. Francis Kumba Ndulane - Mbunge wa Kilwa Kaskazini
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 20,501, akimshinda Ngombale Vedasto Edgar wa CUF aliyejikusanyia kura 8,513.
Elimu:
Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Uwanjani...
Wakuu,
1. MBUNGE WA BAHI - Kenneth Ernest Ollo
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 40,628 dhidi ya Godfrey Job (CUF) aliyepata kura 1,756.
Michango Bungeni: Alitoa michango 21 na kuuliza maswali 36 kati ya mwaka 2021 hadi 2023.
Elimu:
Shule ya Msingi...
Jesca Jonathan Msambatavangu – Mbunge wa Iringa Mjini
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 41,401 (alishinda dhidi ya Peter Msigwa wa CHADEMA)
Elimu:
Shule ya Msingi Iwawa (1987-1988)
Shule za Msingi Madilu na Luvuyo
Kilakala Secondary School (1989-1992) – CSEE...
1. Mbunda Jonas William - MBUNGE WA MBINGA MJINI
Chama: Chama cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 26698 (2020)
Elimu na Taaluma Yake
Strathclyde University, UK: Master of Science in Finance (2005–2006) Shahada ya Uzamili (Masters Degree)
Cooperative College - Moshi: Advanced Diploma in Accounting...
Wakuu,
1. Boniface Mwita Getere - Mbunge wa Bunda
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kupata kura 50,780, akimshinda Kissama Samwel Ndaro kutoka CHADEMA aliyejikusanyia kura 5,596.
Elimu:
Elimu ya Msingi: Iramba Primary School (1974 -...
Wakuu,
1. Jumanne Kibera Kishimba - Mbunge wa Kahama Mjini
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 35,709, akimshinda Sonia Jumaa Magogo wa CHADEMA aliyejikusanyia kura 10,740.
Elimu:
Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Shule ya...
Wakuu,
1. George Ranwell Mwenisongole - Mbunge wa Songwe
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kura 40,834, akimshinda mpinzani wake Pascal Yohana Haonga kutoka CHADEMA, aliyejikusanyia kura 18,054.
Elimu na Taaluma:
Elimu ya Msingi...
Wakuu,
1. Kwagilwa Reuben Nhamanilo – Mbunge wa Handeni Mjini
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alipata kura 15,241, akimshinda Thadeo Joachim Assechekamwati kutoka CUF ambaye alipata kura 6,713.
Kazi Bungeni: Tangu mwaka 2021, amekuwa katika Kamati ya...
Wakuu,
1. Philip Isdor Mpango – (Mbunge wa Buhigwe) Makamu wa Rais wa Tanzania
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kuwa mbunge wa Buhigwe.
Elimu
Alisoma katika shule za msingi na sekondari huko Kigoma na alihitimu kutoka Ihungo High School...
Wakuu,
1. Samweli Xaday Hhayuma – Mbunge wa Hanang
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Samweli alipata kura 14,203, akimshinda Kiza Hussein Mayeye kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 20,342.
Michango Bungeni: Samweli ameleta michango 34 na kuuliza maswali 68...
1. Mbarouk Juma Khatib - MBUNGE WA BUMBWINI
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 11240
Historia ya Elimu
Makoba Primary School: CPEE, 1975 - 1982
Uzoefu wa Kisiasa
Chama Cha Mapinduzi: Mjumbe wa Mkutano Mkuu Wilaya ya Kaskazini B Unguja: 2016 - Hadi sasa
Parliament of Tanzania...
1. Salim Mussa Omar - MBUNGE WA GANDO
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 3390
Historia ya Elimu
Diploma University of Dar-es-Salaam Computing Center 2011 - 2013
Certificate University of Dar-es-salaam Compuntig Center 2009 - 2010
Gando Secondary School: 2002 - 2006
Gando Primary...
1. Ramadhan Suleiman Ramadhan - Mbunge wa Chakechake
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 4136
Historia ya Elimu
Madungu Primary School and Michakaini Secondary School: CPEE, 1992 - 1999
Shamiani Secondary School:, 2000 - 2005
Nyuki Secondary School:2007 - 2009
The Zanzibar...
1. Haji Makame Mlenge - MBUNGE WA CHWAKA
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563
Historia ya elimu
Ukongoroni Primary School: CPEE, 1977 - 1985
Mikunguni Technical Secondary School: CSEE, 1986 - 1989
Karume Technical College: Certificate, 1990 - 1993 (FTC)
Institute of Commercial...
1. Mwantakaje Haji Juma - MBUNGE WA BUBUBU
Chama: CCM
Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563
Historia ya elimu
- Pwani Mchangani Secondary School: CSEE: 1986 - 1988: Secondary School
- Pwani Mchangani Primary School: CPEE: 1978 - 1985: Primary School
Uzoefu wa Kisiasa
Chama Cha Mapinduzi...
Wakuu,
1. Ezra John Chewelsea – Mbunge wa Biharamulo Magharibi
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura katika Uchaguzi wa 2020: 40,526 (alishinda dhidi ya Mbelwa Petro Zimbia wa CHADEMA)
Elimu
Shule ya Msingi Umoja (1995)
Shule ya Ufundi ya Bwiru Boys, Mwanza (CSEE, 1999)
Shule ya Sekondari ya...
Wakuu,
1. Deus Clement Sangu – Mbunge wa Kwela
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 48,918, akimshinda Ngogo Naftal Daniel kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 23,542.
Teuzi ya Serikali: Aliteuliwa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.