cv za wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

    Wakuu, Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu. Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University: Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of...
  2. Roving Journalist

    Pre GE2025 Geita: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. MBUNGE WA BUKOMBE - Dotto Biteko Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ubunge: Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bukombe mkoani Geita mwaka 2015 na alishinda kwa kura 71,640 dhidi ya 11,433 za mpinzani wake. Wadhifa wa Kiserikali: Aliteuliwa kuwa Waziri wa Madini mwaka 2019 na alihudumu hadi...
  3. Roving Journalist

    Pre GE2025 Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania

    Wakuu, Hii hapa ni orodha ya CV za wabunge kutokana na Mkoa husika wa anapotokea Mbunge. Hapo utapata taariza zake kwa ufupi kuhusu wasifu wao kwa ujumla na mambo mbalimbali waliyofanya kwenye uwanda wa siasa na hata nje ya hapo. Kuelekea 2025 - Arusha: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge...
  4. Roving Journalist

    Pre GE2025 Lindi: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Francis Kumba Ndulane - Mbunge wa Kilwa Kaskazini Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 20,501, akimshinda Ngombale Vedasto Edgar wa CUF aliyejikusanyia kura 8,513. Elimu: Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Uwanjani...
  5. Roving Journalist

    Pre GE2025 Dodoma: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. MBUNGE WA BAHI - Kenneth Ernest Ollo Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 40,628 dhidi ya Godfrey Job (CUF) aliyepata kura 1,756. Michango Bungeni: Alitoa michango 21 na kuuliza maswali 36 kati ya mwaka 2021 hadi 2023. Elimu: Shule ya Msingi...
  6. Roving Journalist

    Pre GE2025 Iringa: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Jesca Jonathan Msambatavangu – Mbunge wa Iringa Mjini Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kura katika Uchaguzi wa 2020: 41,401 (alishinda dhidi ya Peter Msigwa wa CHADEMA) Elimu: Shule ya Msingi Iwawa (1987-1988) Shule za Msingi Madilu na Luvuyo Kilakala Secondary School (1989-1992) – CSEE...
  7. Roving Journalist

    Pre GE2025 Ruvuma: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Mbunda Jonas William - MBUNGE WA MBINGA MJINI Chama: Chama cha Mapinduzi (CCM) Kura: 26698 (2020) Elimu na Taaluma Yake Strathclyde University, UK: Master of Science in Finance (2005–2006) Shahada ya Uzamili (Masters Degree) Cooperative College - Moshi: Advanced Diploma in Accounting...
  8. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mara: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Boniface Mwita Getere - Mbunge wa Bunda Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kupata kura 50,780, akimshinda Kissama Samwel Ndaro kutoka CHADEMA aliyejikusanyia kura 5,596. Elimu: Elimu ya Msingi: Iramba Primary School (1974 -...
  9. Roving Journalist

    Pre GE2025 Shinyanga: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Jumanne Kibera Kishimba - Mbunge wa Kahama Mjini Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 35,709, akimshinda Sonia Jumaa Magogo wa CHADEMA aliyejikusanyia kura 10,740. Elimu: Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Shule ya...
  10. Roving Journalist

    Pre GE2025 Songwe: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. George Ranwell Mwenisongole - Mbunge wa Songwe Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kura 40,834, akimshinda mpinzani wake Pascal Yohana Haonga kutoka CHADEMA, aliyejikusanyia kura 18,054. Elimu na Taaluma: Elimu ya Msingi...
  11. Roving Journalist

    Pre GE2025 Tanga: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Kwagilwa Reuben Nhamanilo – Mbunge wa Handeni Mjini Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alipata kura 15,241, akimshinda Thadeo Joachim Assechekamwati kutoka CUF ambaye alipata kura 6,713. Kazi Bungeni: Tangu mwaka 2021, amekuwa katika Kamati ya...
  12. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kigoma: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Philip Isdor Mpango – (Mbunge wa Buhigwe) Makamu wa Rais wa Tanzania Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kuwa mbunge wa Buhigwe. Elimu Alisoma katika shule za msingi na sekondari huko Kigoma na alihitimu kutoka Ihungo High School...
  13. Roving Journalist

    Pre GE2025 Manyara: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Samweli Xaday Hhayuma – Mbunge wa Hanang Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Samweli alipata kura 14,203, akimshinda Kiza Hussein Mayeye kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 20,342. Michango Bungeni: Samweli ameleta michango 34 na kuuliza maswali 68...
  14. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kaskazini Unguja: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Mbarouk Juma Khatib - MBUNGE WA BUMBWINI Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 11240 Historia ya Elimu Makoba Primary School: CPEE, 1975 - 1982 Uzoefu wa Kisiasa Chama Cha Mapinduzi: Mjumbe wa Mkutano Mkuu Wilaya ya Kaskazini B Unguja: 2016 - Hadi sasa Parliament of Tanzania...
  15. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kaskazini Pemba: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Salim Mussa Omar - MBUNGE WA GANDO Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 3390 Historia ya Elimu Diploma University of Dar-es-Salaam Computing Center 2011 - 2013 Certificate University of Dar-es-salaam Compuntig Center 2009 - 2010 Gando Secondary School: 2002 - 2006 Gando Primary...
  16. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kusini Pemba: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Ramadhan Suleiman Ramadhan - Mbunge wa Chakechake Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 4136 Historia ya Elimu Madungu Primary School and Michakaini Secondary School: CPEE, 1992 - 1999 Shamiani Secondary School:, 2000 - 2005 Nyuki Secondary School:2007 - 2009 The Zanzibar...
  17. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kusini Unguja: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Haji Makame Mlenge - MBUNGE WA CHWAKA Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563 Historia ya elimu Ukongoroni Primary School: CPEE, 1977 - 1985 Mikunguni Technical Secondary School: CSEE, 1986 - 1989 Karume Technical College: Certificate, 1990 - 1993 (FTC) Institute of Commercial...
  18. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mjini Magharibi: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    1. Mwantakaje Haji Juma - MBUNGE WA BUBUBU Chama: CCM Alishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 7563 Historia ya elimu - Pwani Mchangani Secondary School: CSEE: 1986 - 1988: Secondary School - Pwani Mchangani Primary School: CPEE: 1978 - 1985: Primary School Uzoefu wa Kisiasa Chama Cha Mapinduzi...
  19. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kagera: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Ezra John Chewelsea – Mbunge wa Biharamulo Magharibi Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kura katika Uchaguzi wa 2020: 40,526 (alishinda dhidi ya Mbelwa Petro Zimbia wa CHADEMA) Elimu Shule ya Msingi Umoja (1995) Shule ya Ufundi ya Bwiru Boys, Mwanza (CSEE, 1999) Shule ya Sekondari ya...
  20. Roving Journalist

    Pre GE2025 Rukwa: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Deus Clement Sangu – Mbunge wa Kwela Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 48,918, akimshinda Ngogo Naftal Daniel kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 23,542. Teuzi ya Serikali: Aliteuliwa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais...
Back
Top Bottom