cv za wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Pre GE2025 Pwani: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Muharami Shabani Mkenge: Mbunge wa Bagamoyo Nafasi ya Sasa Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 23,159, akimshinda Maembe Vitali Mathias kutoka ACT Wazalendo...
  2. Roving Journalist

    Pre GE2025 Katavi: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Geoffrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kura katika Uchaguzi wa 2020: 41,401 (alishinda dhidi ya Stephen Mertus Hamis wa CUF aliyejipatia kura 2,920) Elimu Ndurumo Primary School (1977-1983) Mgulani JKT Secondary School (1992-1995) Diploma kutoka...
  3. Roving Journalist

    Pre GE2025 Singida: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Isack Francis Mtinga - MBUNGE WA IRAMBA MASHARIKI Tarehe ya Uchaguzi (2020): Alipata kura 35,457 Elimu Shahada ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Sokoine (1999-2003) Mchango katika Siasa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Kamishna...
  4. Roving Journalist

    Pre GE2025 Morogoro: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Assenga Abubakar Damian - MBUNGE WA KILOMBERO Uchaguzi Jimbo: Kilombero, Morogoro Chama: Chama cha Mapinduzi (CCM) Kura: 51,452 (2020) Elimu Shule ya Msingi Madukani (1991-1997) Cheti cha Ufundi Magari, Ifakara...
  5. Roving Journalist

    Pre GE2025 Tabora: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Selemani Jumanne Zedi - MBUNGE WA BUKENE Utangulizi Mbunge wa Jimbo la Bukene mkoani Tabora. Alishinda uchaguzi wa 2020 kwa kura 16,920. Aliwashinda wapinzani, wakiwemo Steven Maziku Kahumbi wa CHADEMA aliyepata kura 14,373. Elimu Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Kurasini...
  6. Roving Journalist

    Pre GE2025 Kilimanjaro: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Saashisha Elinikyo Mafuwe – MBUNGE WA HAI Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Elimu: Uduru Primary School (1991-1997) Kivukoni Secondary School (1999-2002) St. Augustine University (2010, Bachelor's degree) University of Dodoma (2013, Master's degree) Public Service College (2016)...
  7. Roving Journalist

    Pre GE2025 Njombe: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Festo Sanga - MBUNGE WA MAKETE Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Elimu: Shule ya Msingi ya Bulongwa (1996-2002, CPEE) Shule ya Sekondari ya Mwakavuta (2003-2006, CSEE) Shule ya Sekondari ya Lufilyo (ACSEE) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (2012, Bachelor's of Arts in Education) Kura...
  8. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mbeya: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Atupele Fredy Mwakibete - Mbunge wa Busokelo Chama: CCM Uchaguzi (2020): Alipata kura 79,950 (alishinda kwa wingi) Elimu: Shule ya Msingi: Gerezani (1994-2000) Sekondari: Azania (2001-2004), Galanos (2007) Shahada ya Sayansi ya Kompyuta (IFM, 2007-2010) Shahada ya Uzamili ya...
  9. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mtwara: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, 1. Issa Ally Mchungahela - Mbunge wa Lulindi Chama: CCM Muda wa Uongozi: 2020-2025 Nafasi Nyadhifa Alizowahi Kushika: Mjumbe wa Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira (2021-2023). Matokeo ya Uchaguzi 2020: Alipata kura 27,515. Aliyemfuatia: Bwanausi Dismas Jerome (ACT Wazalendo) -...
  10. Roving Journalist

    Pre GE2025 Arusha: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, MBUNGE WA ARUMERU MAGHARIBI - Noah Lemburis Saputi Mollel Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Elimu: Shule ya Msingi Olturumet (1986) CSEE, Shule ya Sekondari Ilboru (2012) Cheti cha Sheria, Chuo Kikuu cha Mount Meru (2016) Diploma ya Sheria, Chuo Kikuu cha Mount Meru (2017) Shahada ya...
  11. Roving Journalist

    Pre GE2025 Dar es Salaam: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, Wabunge wa Dar es Salaam: Elimu, Safari za Kisiasa, na Majukumu 1. Jerry Slaa - Mbunge wa Ukonga Chama: CCM Uchaguzi wa 2020: Kura 120,936 dhidi ya Asia Daudi Msangi (CHADEMA) aliyepata kura 21,634. Elimu: Shule ya Msingi Ukonga Sekondari ya Pugu na Jitegemee (Advance Level) Shahada ya...
  12. Roving Journalist

    Pre GE2025 Mwanza: CV za Wabunge 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Wakuu, Eric Shigongo - MBUNGE WA BUCHOSA Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kura: 20,581 Mpinzani: Mwambino Julius Isack (CHADEMA) – 11,285 Elimu: Shahada ya Uhusiano wa Umma (Public Relations) kutoka Tumaini University (2020) Biashara: Mmiliki wa Global Publishers Ltd, Global Radio Ltd, Global...
Back
Top Bottom