cyanide

  1. Mhaya

    Ifahamu sumu ya Cyanide inayotumiwa na Majasusi kufanya shambulio

    Cyanide ni kemikali yenye sumu kali inayoweza kusababisha kifo ndani ya muda mfupi baada ya kuvuta, kula, au kugusa. Mara nyingi cyanide hupatikana katika hali ya kimiminika katika fomu ya Hydrogen-cyanide (HCN)ambayo ikiwekwa wazi ubadirika na kuwa Gas, ambayo ukiivuta uwa hatari. Sumu hii pia...
  2. Lady Whistledown

    Thailand: Mjamzito 'Serial Killer' anashikiliwa kwa mauaji ya Watu 13 kwa sumu ya Cyanide akiwemo rafiki yake

    Picha: Sararat Rangsiwuthaporn Sararat Rangsiwuthaporn alikamatwa wiki iliyopita kwa tuhuma za kumuua Rafiki yake Siriporn Kanwong ambapo alibainika kuwaua 12 wengine kwa sumu hiyo Polisi inachunguza vifo hivyo ambapo wahasiriwa wote walikula au kunywa na Sararat kabla ya kifo chao Inaelezwa...
  3. Lycaon pictus

    Kula mihogo mibichi kunasababisha uwe zezeta

    Mihogo huwa ina sumu inayoitwa cyanide. Sumu hii hupatikana kwa wingi sana kwenye mihogo michungu. Lakini pia ipo kwa kiasi fulani kwenye mihogo ile mitamu. Sumu hii ni kali sana, ikizidi inaua mara moja. Ndiyo hata wqle majasusi unaona wnajiua kwa kutumia cyanide iwapo wamekamatwa na hawataki...
Back
Top Bottom