cyber truck ni gari la umeme la kisasa kutoka kwa kampuni ya Tesla, ambalo limekuwa na umaarufu mkubwa tangu lilipotangazwa. Gari hili linatambulika kwa muundo wake wa kipekee, nguvu zake, na teknolojia ya juu. Hapa chini ni baadhi ya sifa muhimu za Cybertruck:
1. Muundo wa Kipekee na Imara...
Habari zenu ndugu polen na majukumu mimi niliuw na penda kujua kati ya software developer na Cyber security ipi inaweza kukutengenezea utajiri mkubwa kwa Tanzania hapa
Habari wakuu,
Ni jambo la kushangaza mtu anahack website yetu anaanza kufuta vitu vyetu.
Sio uungwana kabisa lakini tuna mshukuru sana ametuongezea uwezo wa ziada na leo tunatangaza kwamba tutaanza kutoa huduma ya cyber security.
Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya.
Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.
MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu...
Nauliza tu…
Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ.
Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono.
Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke.
Tumeona jinsi wanavyobeba mabegi ya mgongoni makubwa na mazito.
Pia, tumeona na kumsikia msemaji wa jeshi letu akisema kuwa...
Israel imekuwa ikidukua simu zinazotumia internet na minara ya simu kufuatilia mawasiliano na location.
Kikundi cha Hezbollah waliamua kukwepa tundu hili kwa kutumia pagers zinazotumia mawimbi ya redio pamoja na radiocalls kuwasiliana lakini bado Israel iliweza kudukua mawasiliano, kujua...
Kuna utapeli unaoendelea mitandaoni, unaohusisha baadhi ya watu fungua kurasa/pages/Accounts za Instagram kwa kutumia picha za watu wengine (innocent) huku pages hizo zikiwa na maudhui ya kudhalilisha. Kama kuna yeyote ambaye anaweza kushauri njia nzuri ya kisheria ya kuchukua against watu kama...
Habari wadau
Nipo kwenye harakati za kujiandaa kufanya utafiti juu ya matumizi ya Next Gen Firewall hapa Tz na case study yangu itafocus kwenye data center
Hivyo ningependa pata first hand experience toka kwa wadau wenye access na knowledge za data canter infrastructure hapa bongo
Job Reporting To: Manager; Cybersecurity Governance & Compliance
Department: Cybersecurity
Location: HQ
Job Summary.
Responsible for the creation, maintenance and management of cybersecurity architecture models and their lower-level components. Interpret, use, and apply information contained...
Hizi courses ni bure, unatakiwa tu kujisajili
Hapa lazima unatoka uko bomba kabisa na ulichokisomea
IT NETWORKING
https://skillsforall.com/course/networking-basics?courseLang=en-US
CYBER SECURITY
https://skillsforall.com/course/cybersecurity-essentials?courseLang=en-US
END POINT SECURITY...
Haya mambo watu walikuwa wanadhani ni kwenye movie tu mnaweza jikuta nchi nzima mpo gizani watu washafanya yao. Nchi kama hizi huwa tunajisahau sana. Haya mashambulizi katika hii karne yanakuwepo sana.
Sasa sijui ni Chadema wamehusika au sijui wapinzani gani . Ila watafutwe. Leo toka asubuhi...
Habari wadau watalaamu
Ningependa kufahamu kama hiyo tittle and its content are
1. Researchable
2. Punctually Collect
Maana nimeSubmit sehem mbili ambapo sehem moja imepokelewa vizuri wakati sehem nyingine imekataliwa kabisa kuwa imekosewa.
NB: TZ-CERT (Tanzania Computer Emergency Response...
Dunia ya sasa imejaa technological advancements nyingi ambazo zimeathiri kila eneo la maisha yetu,
kutoka kutuma na kupokea pesa Dirisha la mhasibu hadi kufanya hivyo mtandaoni tena bila kuonana na mtu yoyote...
Kutoka kusoma chini ya mti hadi kusoma ukiwa sebuleni kwako au chumbani kwako...
Habari wanajf.
Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.
1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)
Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
Vacancy - Tigo Pesa
Post Title: Cyber Security Manager
How to Apply
If you are interested in applying for this position, kindly address your email to career.tz@tigo.co.tz
On the subject line, indicate the role you are applying for (eg. Cyber Security Manager).
Attach your CV in PDF format...
Serikali kupitia wizara husika inapasa kufanya mabadiliko kidogo katika sheria ya uhalifu wa kimtandao ya mwaka 2015 yaani Cyber Crimes Act , 2015 kwani tangu ilipoanzishwa na kupitishwa na Bunge tarehe 22 .05.2015 polisi ndio wamepewa mamlaka ya kufuatilia uhalifu na uchunguzi juu ya masuala ya...
Reporting line- Manager; CyberSecurity
Job Summary
Responsible for daily monitoring of the IT Infrastructure using security technical expertise and looking for patterns and potential issues, this includes working in close connection with Senior ICT Management. Focal point for the provision of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.