dada wa kazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Braza Kede

    Msaada Waifu anataka kumtimua dada wa kazi, mimi sitaki

    Anamlalamikia kama ilivyo kawaida ya wamama kulalamikia karibia kila kitu. ila mimi sijaona sababu ya msingi ya kumtimua lakini najua nikimwambia si ajabu akadhani nnamtaka huyu dada
  2. osmaney

    Natafuta dada wa kazi za nyumbani.

    Habari wapendwa! Samahani, natafuta dada wa kazi za nyumbani. atakuwa anaishi nyumbani. na nyumba ipo na mke pamoja mtoto tu. Kigezo; Awe na miaka kwanzia 18 - 24, Mchamungu & anayejielewa. Eneo: Dar es salaam. Mshahara: Maelewano. Mawasiliano: +255 676 797 679
  3. BILGERT

    Natafuta dada wa kazi

    Anahitajika dada wa kazi,awe na vigezo vifuatavyo. A)Umri kuanzia miaka 18-25 B)Awe na uzoefu wa kazi za ndani, pamoja na kupika.asiwe mtu wa kuanza kufundishwa kazi. C) Awe anatokea Singida, Manyara ama Mwanza. D) Awe na mdhamini anaye tambulika in case of anything. E) Awe muaminifu na mwenye...
  4. R

    Dada wa kazi za ndani na utapeli mpya mjini

    Habari wakuu, Kumekua na hii tabia inayokuwa kwa kasi inayofanywa na wadada wanaofanya kazi za nyumbani. Tabia ambayo imegharimu na inaendelea kuwagharimu watu, hivyo wanajamvi muwe makini na watu hawa mnaowachukua kwa lengo la kusaidia kazi za nyumbani. Iko hivi, utakuwa na uhitaji wa kupata...
  5. IqraNI

    Msaada: Namna ya kumfundisha au kuishi na dada wa kazi kwa muda mrefu

    Habari ya jumapili wadau. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ninaomba msaada wenu tafadhali. Nina dada ambaye ana umri wa miaka 19(lakini kimuonekano anaonekana ni mkubwa), lakini dada huyu hajui kazi za ndani iwe kuosha vyombo, kupiga deki au kupika.. Alipofika alielekezwa majukumu yake na...
Back
Top Bottom