dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. Wale wako single kuna huyu dada anatafuta mchumba

    Ni mpenda mazoezi na ukiwa nae huhitaji bouncers
  2. Kumpenda dada wa ubatizo...

    Hi there 👋👋 Kwa wakatoliki mzazi aaliyemsimamia mtoto ubatizo familia yeye na familia yake inakua imeungwnishwa na familia ya mtoto aliyemsimamia ubatizo..Baba au mama wa ubatizo anakua anamajukumu makubwa kama au zaidi ya mzazi halisi wa kumlea (Kwa mujibu wa kununi za kikanisa) Hivyo basi...
  3. F

    Huyu dada hata simuelewi

    Kuna dada mmoja hapa mtaani kuna grocery jirani uwa naenda kupata kinywaji mara nitokapo katika miangaiko yangu sasa kuna siku alikuja pale kumtembelea rafiki yake nilipomuona nikatokea kumkubali kwa jinsi alivyo nikamuita nikaongea nae akanipa namba tukaendelea kuwasiliana Shida ndio zikaanzia...
  4. Mfahamu kwa kifupi Kizzmekia Corbett mwana dada mwenye asili ya Afrika (Mmarekani mweusi) na Mgunduzi mkuu wa chanjo ya COVID-19

    Maisha yake ya utotoni Kizzmekia Corbett alizaliwa huko Hurdle Mills, North Carolina (Januari 26 1986). Alikulia katika familia kubwa ya ndugu wa kambo na ndugu wa kulea. Corbett alienda Shule ya Msingi ya Oak Lane huko Roxboro A.L. Stanback Middle School. Mwalimu wake wa darasa la nne, Myrtis...
  5. Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

    Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi. Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa...
  6. R

    Lugha wanazotumia wanawake kupiga mizinga zinafanana

    Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho. Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato...
  7. Nilikupenda sana dada pumzika Kwa amani.....

    Miaka 11 iliyo pita July 16 kuamkia july17 Nilimpoteza dada angu kipenzi RITHA Sio kua sikuwai kushuhudia msiba hapanaa......... Uli ishi Miaka 24 tuu....ndio kwanza ulikua umeanza Kazi ya utumishi serikalini.... Na mengi ya kuandika juu ya maisha yako najua hii page haito tosha... Kifo...
  8. Ushauri kwenu kina dada...

    Kutokana na kukua kwa teknolojia dadazangu wengi sana mnatabia za kupiga picha tata(picha za utupu) hii nmeshuhudia kwa baadhi ya wanawake. Wakwanza huyu ni dem wa mshkaj wang yy anapenda sana picha za selfie sasa juzkat kanipa simu yake nimuinganishie ile app ya kutotumia bando nkaona ngoja...
  9. Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

    Wadau wa JF habarini za siku natumaini mko poa na mnaendelea vema na majukum ya kila siku kama binadamu katika kujitengenezea mazingira ya mkono kwenda Kinywani yaani i mean mambo ya Diko Wadau kama mnavyojua katika stage ya binadam kukua tunakutana na mambo mengi katika relationships, sex...
  10. Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

    Habari gani wadau na wanajamvi wenzangu wa jamvi pendwa la MMU? Eti mtu nimekuwa napiga naye stori kila mara kwenye ki glosari kimoja hivi. Sasa nikawa nimemuelewa, huyu dada ni mzuri kusema ukweli halafu anakamwili fulani portable sana yaani [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]. Nikawa...
  11. Namuonea huruma huyu dada, nilitaka urafiki wa kawaida na si mapenzi

    Nawasalimu kwa jina la JF, shuhuda ziendelee. Wakuu imepita takribani miezi kadhaa hivi tangu ni fahamiane na huyu dada, nikiri kwa hii hali iliyofikia mie ndiye wa kulaumiwa. Ilikuwa majira ya jioni nimetoka pindi nikechoka nikaona sio mbaya nitafute mtu stranger nipige naye story nimzingue...
  12. Dada na mdogo wake wananipenda bila kujuana

    Assalaam. Nipo home napigiwa simu na dada ambaye ni kama family fiend wetu kutokana kwa wazazi wetu kushibana katika mambo mbalimbali. Simu ilikuwa ikinijuza ya kuwa kuna dada wawili wanakuna wanaomba niwasaidie kufanya application za chuo. Ikaisha hivyo. Baada ya masaa kadhaa, nikaja fatwa...
  13. Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

    Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata. Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo. Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri. Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima. Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru. Mwenye contacts zake naomba anipatie. Serious nimeitazama hii...
  14. I

    Je, ni sawa kupiga stori za mapenzi na Shangazi yako?

    Habari wana jamvi! Kwangu mimi binafsi hili swala la kuweza kufunguka mahusiano ya kiundani ya madem zangu naowagonga kwa shangazi au mama mdogo ni ngumu sana. Siku za hivi karibuni nilienda kwa mshkaji wangu flani hivi tunamwitaga Mesi, anaishi nyumbani kwa shangazi yake ambae ameolewa na...
  15. Unawajua madada bunga?

    Katika taasisi za vyuo na sekondari za wavulana huwa kuna vijiji jirani ambavyo hupakana na vyuo hivi. Kwenye vijiji huwa kuna msichana mmoja anakuwaga malaya sana kiasi cha kutembea na wavulana au karibu wanachuo wa bweni zima huo anaitwa dada bunga. Ukienda Kigurunyembe TTC kuna kijiji...
  16. J

    RPC Muroto atoa onyo kwa BAWACHA, asema wanaotaka kuandamana watakipata wanachokitafuta wakasimulie wenzao huko Geita

    Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya BAWACHA hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola. Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana...
  17. Kuna muda huwa nashindwa kabisa 'Kuwaelewa' Dada zetu ( Wanawake ) hasa wa Kitanzania ( Kiswahili )

    Kila ukikutana nao utawasikia wakiisema hii Kauli yao wanayoipenda kuwa Wanaume wote ni Waongo ( Matapeli ) na kwamba Baba yao ni Mmoja. Kinachonishangaza sasa pamoja na Kuisema Kauli hiyo lakini Wakiendelea tena 'Kutongozwa' na Wanaume hao hao Matapeli ( Waongo ) bado tena huwa wanawakubalia...
  18. Dada wa kazi: Mfanyakazi pekee yake ambaye akitangaza kuacha kazi bosi anatetemeka wengine tuliobaki wala

    Kheri ya siku ya waajiriwa duniani lakini kwa hali ilivyo ni dada wa kazi tu ambaye akitangaza anaacha kazi bosi anatetemeka wengine waliobaki wala.
  19. B

    Mahusiano Kati ya Kijana, Mama wa Kijana, dada wa Kijana na mke wa Kijana

    Nimetafakari Sana Mahusiano ya watu tajwa hapo juu, Yan kabla ya kijana kuoa na baada ya kijana kuoa. Katika uchunguzi wangu mdogo familia nyingi kabla ya kijana kuoa zinakuwaga na utulivu amani na upendo baina ya kijana, Mama wa kijana na (ma)dada wa Kijana. Lakini baada ya kijana kuoa na...
  20. Mushobozi wa Harmonize wampagawisha dada mwenye shepu lake

    Kuna video Ina trend hivi sasa ikimuonyeeha dada mmoja akililia penzi la Harmonize. Hi imekuja baada ya siku kadhaa nyuma kulipovuja mtandaoni video zikiuonyesha Mushobozi wa Taifa unaomilikiwa na Harmonize. Dada amesemaa Yuko tayari kwa lolote lakini sharti ampate Konde Boy.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…