daftari la mpiga kura

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Jaji Mwambegele: Mawakala wa Vyama vya Siasa wataruhusiwa kuwepo katika Vituo vya Kuandikisha Wapiga Kura

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Tabora na Katavi kuwa na ushirikiano kati yao, Serikali, Vyama vya Siasa na wadau wengine wa uchaguzi. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa)...
  2. Nyanda Banka

    Zoezi la uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura unaanza lini? Tulituma maombi ya kazi ila mpaka sasa kimya

    Naomba kufahamu in lini hili zoezi linaanza rasmi kwakuwa tulishatuma maombi ya hii kazi ila mpaka sasa kimya na sisikii chochote. Daah!!! Kweli ajira ni shida sana
  3. Tanki

    Zoezi la kuhakiki daftari la wapiga lishaanza? Nina shida na mmoja wa wahakiki

    Kitambulisho cha kupigia kura kina changamoto kidoogo. Jina lilikosewa herufi Moja tu. Now Nipo nafuatilia mafao yangu ya NSSF. Kukosewa huku kwa jina kunaweza kuleta changamoto kubwa sana na pengine nikashindwa kupata mafao. So, nahitaji kukutana na hawa wahakiki wa daftari la wapiga kura Ili...
  4. kyalankota

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi. Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika: Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza nafasi ya kazi ya muda mfupi kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la...
Back
Top Bottom