dalali

  1. Mpekuzi Tanzania

    Mbunge wa Igunga, Dalaly Kafumu mikononi mwa TAKUKURU

    Mbunge wa Igunga Dalali Kafumu anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa tuhuma za kugawa milungula kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa JIMBO ili waweza kumpa kura kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea. Heko kwenu takukuru lakini msiishie kuhoji tunataka kuona wakifikishwa...
  2. batmanwafez

    Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

    Habarini wakuu poleni na majukumu. Ttwende kwenye mada. 1. Unatafuta chumba/kiwanja, ukaingia Jamiiforums ukaona tangazo la dalali na ametaja eneo na bei. Sasa kuepuka kumlipa ile 10% Kwakuwa unafahamu lile eneo wewe unaenda unaulizia mwenyewe na ukalipa direct kwa mwenye mali. Je, hiyo ni...
  3. R

    Dunia ina Mambo: Nilivyozama mapenzini na dalali wa wanawake wanaojiuza

    Amakweli Dunia ina mambo na haiishi vituko. Ni baada ya kupata ajira yangu ya mwanzo mwaka 2007, katika visiwa vya ukelewe huko. Nikiwa ktk ofisi yangu ya kazi nilipata mteja mmoja mwanamke mwenye umri kati ya 24 na 26 alikuwa mrembo kweli. Mnene kiasi na mwenye chura kiasi. Alikuwa anajipenda...
  4. Masokotz

    Jiajiri kwa kuwa dalali wa kuuza Magari

    Je unafahamu kwamba Watanzania wanaagiza Magari kupitia mitandao?Je unafahamu kwamba pia wapo watanzania ambao wanauza magari yao ambayo ni used in Tanzania?Je unafahamu kwamba hii ni fursa kwako wewe kuingiza kipato cha ziada kwa commission Jifunze leo kuhusu namna biashara hii inavyofanya na...
  5. Mimtamu

    Nani anapaswa kumlipa dalali kati ya mwenye nyumba na mpangaji?

    Salam wana jamvi, Hoja yangu ya msingi ni hii, kama vile inavyokuwa madalali wa magari au vitu vingine unakuta mwenye mali anakubaliana na dalali kuhusu malipo yake baada ya kazi. Lakini kwa upande wa nyumba za kupanga ni tofauti, mpangaji ndiye anaumia zaidi. Utakuta nyumba inapangishwa laki...
  6. K

    Anahitajika dalali kutoka Morogoro Mjini

    Wanabodi...! Anahitajika haraka dalali/madalali wa nyumba, viwanja na mashamba kutoka mkoa wa Morogoro, anayeishi Morogoro Mjini. Kwa maelezo zaidi ani PM haraka iwezekenavyo ili tuyajenge. Aweze kuweka namba zake za mawasiliano za simu zinazopatikana muda wote. Nawasilisha.
  7. Aloyce Mkwizu

    GUEST HOUSE INAUZWA BUGURUNI SOKONI

    Guest house inauzwa buguruni sokoni. Zipo 2, zote zinauzwa million 120. Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not. Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838 Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
Back
Top Bottom