Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao. Namueleza mchumi kama mtaalamu ambaye kesho atajua kwanini vitu alivyotabiri jana havijatokea leo. Mjasiriamali hujifunza zaidi kwenye makosa kuliko kwenye mafanikio.
Uvumbuzi ndiyo msingi mkubwa wa maendeleo ya...
Hello bosses,
Kama mwanao anaongoza darazani angalau nafasi 10 za juu.
Je, nini ulikifanya kufanikisha hilo?,
Mtoto anapata shule nzuri, tuition za kutosha, muda wa kupumzika, homework n.k lakini bado maendeleo yake ya shule sio ya kuridhisha.
Nimekua nikishangaa sana baadhi ya wanasiasa badala ya kufanya kazi ambayo Watanzania wamewatuma kufanya sasa wamegeuka kushindana na Diamond.
Kijana wa watu anajituma kwa akili na uwezo wake sasa kuna wanasiasa wameibuka mitandaoni na kuanza kumsemasema kijana wa watu.
Sasa mimi naona ili...
Yaani dunia ilikuwa shwari mpaka Trump mwenyewe akawa ndio gumzo. Establishment wamerudi madarakani vita vishaanza. Wakimuuliza Biden Netanyahu vipi anajibu Sisi tunateta Israel. I meant madarakani
Nawasalimia kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Unaposikia duniani kuna mengi, kweli mengi yapo. Mengine ni ngumu kuyapatia ufumbuzi hususa kwa akili ya kawaida ya kibinadamu inapotumika.
Kwa sababu kuna matukio ambayo huwaga yanatokea inakuwa ngumu kuyaelewa labda uwe na nguvu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.