data

  1. Mtini

    Mabeberu wanaendelea kutuhujumu: Kwanini hawataki kubadilisha data za COVID19 zinazohusu nchi yetu?

    Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa...
  2. J

    Waziri Mkuu Majaliwa: Corona imepungua Dar na Wagonjwa waliolazwa Wamepungua

    Akiongea baada ya swala ya Eid jijini Dodoma, Waziri Mkuu Mh. Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imepungua sana nchini. Amesema hadi leo asubuhi taarifa alizonazo hospitali nyingi hazina wagonjwa na chache zilizobaki wagonjwa wamepungua sana. Kwa mfano Amana mgonjwa 1, Mloganzila 1...
  3. BAK

    Cloud hangs over Tanzania’s Covid-19 data updates

    Cloud hangs over Tanzania’s Covid-19 data updates In Summary The Chief Medical Officer Prof Abel Makubi told The Citizen on Friday May 22 that the probe committee which was formed by Health Minister had completed its work and handed over the report By Syriacus Buguzi and Rosemary Mirondo...
  4. ronnycharlz

    Internet yenye thamani nzuri kwa matumizi makubwa ya internet (100GB+ kwa mwezi)

    Kwa mtu mwenye matumizi makubwa ya data - tuseme 100GB kwa mwezi - Ni huduma gani ya internet nzuri? sio lazima iwe mtandao wa simu, matumizi ni kwenye PC. Ni kwa ajili ya matumizi binafsi.
  5. Jamii Opportunities

    Senior Data Lead at D-tree

    Who you are We are seeking a full time Senior Data Lead to work closely with our program teams, technology team, government stakeholders, external research, technology and development partners, to help us and our stakeholders gain insights from the data collected in our programs and make sure...
  6. Jidu La Mabambasi

    Corona kuisha mwezi wa sita? Data driven predictions...

    Kulingana na utafiti wa kukusanya data. Chuo kikuu cha Singapore wametoa matokeo ya utafiti juu ya gonjwa la COVID19. Utafiti huu unatokana na ukusanyaji wa data toka nchi mbali mbali ambazo wanaweka tafiti na takwimu zao wazi. Utafiti huu unaonyesha kuwa hadi mwezi wa sita tukiendelea...
  7. M

    “Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

    “Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa lakini tunaamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania lazima waelewe kwamba changamoto hii ipo na kila mtu sasa kwa nafasi yake, kama kulikuwa na mtu anadhani tunatania ni wakati wa kuchukua hatua”- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema...
  8. Vodacom Tanzania

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Ndugu mteja, Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu? Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi. Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya: - Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika...
  9. Jamii Opportunities

    Data Use & eHealth Specialist at University of Maryland

    The University of Maryland Baltimore (UMB) works around the world to enhance capacity of governments, Regional and District Health Management Teams to improve quality of health services through targeted technical assistance, systems development & strengthening, and institutionalization of...
  10. Jamii Opportunities

    Data Manager at THPS

    Overview Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under nongovernmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministries of Health Community Development Gender Elderly and Children (MoHCDGEC) and Regional Administration and...
  11. britanicca

    Tujifunze ya ndege: Hiki ndicho Kisanduku cheusi (black box) cha mawasiliano kila ndege ipatapo hitilafu au kuanguka huwa kinakitafuta

    "KISANDUKU CHEUSI" KATIKA NDEGE NI HIKI (Cheusi, Ama Chekundu) Ni kawaida kila inapotokea ajali ya ndege ya abiria, umma hutangaziwa kuwa kinatafutwa Kisanduku Cheusi; je, hicho ni nini? Hakika hicho si sanduku la kawaida, ila ni kifaa cha ndege kinachofanana na sanduku, lakini pia kutokana...
  12. Paa

    Hali ikoje kwenye kozi za Masters in Computer na Data Science katika vyuo vyetu hapa Tanzania?

    UDSM hizi kozi mbili zote zipo, sijafuatilia kwa UDOM na vyuo vingine. Hali ikoje wadau? Maana stori za mitaani zinasema kuwa waalimu wengi hawajali wanafunzi, hawana muda na wanafunzi ila mambo yao tu na wengi hawana moyo wa kumsaidia mtu amalize fresh. Hali ikoje?
  13. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi kutoka Kituo cha Ufundishaji Data cha Afrika Mashariki, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Ofisi ya Mwanasheria ya Serikali

    UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/154 11th February 2020 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
  14. L

    Data centre: Kifo ninachoenda kuua benki za kigeni nchini

    Habari za muda, Naomba nichukue fursa hii niyaseme machache sana ambayo naona kama hayataangaliwa kwa kina kirefu kuna hatari sana ya Banks nyingi sana kufunga biashara zake hapa nchini. Nadhani kwa wale wanaofatilia, siku za nyuma Benki Kuu ilitoa maelekezo kwa Commercial Banks zote nchini...
  15. Pascal Mayalla

    Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni: Rais Magufuli yupo well-informed na fiti sana kichwani kwa kumbukumbu. Ana data hadi za majungu hatarishi ya ndoa!

    Wanabodi, Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka...
  16. reyzzap

    Tembelea JamiiForums bure (bila kifurushi) kwa kutumia Freebasics

    Tusitiane njaa, internet.org (Freebasics) ni huduma ya internet bure kwa nchi zinazoendelea, ilianzishwa na Mark Zugerberg (Mmiliki wa Fb), Mwaka 2013. Njoo hapa kwanza ili uelewe vizuri, Si unajua fb unaweza ukaingia bila bando? Voda, tigo na airtel kila siku wanatangaza, basi ujue yale ni...
  17. Makulu Heave

    We are the best service provider in;- Odk Collect Forms Design, Digital Mapping, Cartography, Spatial and Non Spatial Data Analysis and Training

    MAKULU HEAVE COMPANY {MHC} IS YOUR BEST SERVICE PROVIDER, CHEAP AND ACCESSIBLE FOR ALL INDIVIDUALS AND ORGANIZATIONS. MHC Provides the following services ;- ODK Collect Forms Design, Upload and Training to data collectors/researchers. Digital mapping and Cartography, Study Area Maps...
  18. matokeotz

    Mwendokasi: Je naweza pata 'live' data ya location ya magari?

    Nimekuwa nawaza kuweka App ambayo itasaidia watumiaji wa mwendokasi kujua gari liko wapi, ila sijui hata kama wanao hizo data, na kama wanazo mtu napataje hizo data? Mchango wowote unakaribishwa
  19. BASIASI

    Shetani anazidi kuwafanya Watanzania masikini kupitia vifurishi vya data

    Kama kuna pepo linalowamaliza watanzania leo hii ukiacha cancer na hiv n vifurishi vya data Yaani Watanzanià wameingiliwa na hili pepo ambalo imefika radhi wanunue vifurushi watoto wanywe chai na mkate Wako radhi wakose nauli kesho wawatumie mahawara zao ama bibizao vifurushi Kiukweli...
  20. K

    Vijana wanaofaulu mitihani ya kidato cha 4 vizuri tuwaandalie kanzi data(Database) na tuwafuatilie

    Wana JF, nimejaribu kuwaza kwamba juzi kwenye matokeo ya mtiani wa kidato cha nne 2019 hawa vijana 10 au "the best 10 students" kama yule kijana Yohana kutoka mkoa wa Simiyu na wengine waliotoka shule mbalimbali nchi nzima followup yao inakuwaje badae ili tuone kama nchi yaweza kunusuru na...
Back
Top Bottom