Fuatilia link ya shirika la ResearchLink International kupata usaidizi kwenye mambo mbalimbali ya kitaaluma na hata scholarship application assistance.
Nimekuja kuuliza tena hii ishu. Kuna data za muhimu sana zimekufa na hard drive. Je kuna hapa tuna data recovery centre? Centre ya wale wataalamu wenye maabara kabisa. Kama hawa jamaa.
https://youtu.be/eyr14_B230o?si=snGt5qwNJNgUkj9q
Habari,
Nina kazi ya kukusanya data kwa wakulima wa alizeti katika Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.
Natafuta jumla ya vijana sita waliomaliza degree lkn hawana ajira kwaajili ya kukusanya data katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo.
NOTE: MUHUSIKA AWE ANAPATIKANA WILAYA YA IRAMBA
Malipo...
Kindly allow me to add value in your activities by financial data analytics and reports by the use of advanced excel tools and other applications.
This can be done remotely from my office at reasonable charges, this can be Tax reports like EFD reports, Incomes, Stocks, Expenses, Data import...
CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa...
Wakubwa nilikuwa naomba kujuzwa kwa mtu aliesomea Bachelor of science In Information System GPA inasoma 3.0 na anaujuzi wa data analytics.
Anauwezekano wa kupata Ajira in goverment or private sectors?
Ili jambo lipo afrika na linaigizwa kwa mtindo wa kudanganywa kuwa kifaa chako sasa kina 4g au 5g.
Ghalama za kuendana na hiyo mifumo nikubadilisha vifaa vyote kwa wakati ili kumudu vifaa hivyo.
Leo niko kijiji X kina mnara tokea wa 3G ila hakuna changamoto ya kuharibika kifaa kina niambia...
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?
Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa...
Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024
About the job
Collect and curate data from various sources, including but not limited to Google Sheets, databases, and APIs.
Organize, clean, and maintain datasets to ensure data integrity and accessibility.
Apply statistical methods to interpret...
"Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25" Katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora
UTANGULIZI
Mfumo wa data wazi ni mfumo ambao unaruhusu ufikiaji wa data na taarifa bila vikwazo au vizuizi. Kuna mambo kadhaa yanayowakilisha mfumo wa data wazi kama vile data inapatikana bila malipo au...
Job Description:
The Data Clerk will work at the council level to ensure the timely entry of beneficiaries’ reports for the DREAMS Project and Early Childhood Development (ECD), within one day.
After reception of the forms from the M&E officer while undertaking data verification to ensure...
Habari wadau
Nipo kwenye harakati za kujiandaa kufanya utafiti juu ya matumizi ya Next Gen Firewall hapa Tz na case study yangu itafocus kwenye data center
Hivyo ningependa pata first hand experience toka kwa wadau wenye access na knowledge za data canter infrastructure hapa bongo
Position: Analyst Procurement Master Data
Specific Duties and Responsibilities
• Maintains Master Data on an on-going basis to support the Purchasing Function in accordance with the Group Procurement Strategy i.e. ensures no duplicates and no remapped MIDs exist in an active state for more than...
Habari,
Natoa Training ya Python for data analysis.
Modules to be discussed
1.Pandas
2.Numpy
3 Matplotlib
4.Seaborn
Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali
Training Period: 30 days
Training Platform: Zoom
Contacts:
Phone:+255622071858/+255766047800
Email: infonet20th@gmail.com...
Habari,
Natoa Training ya Python for data analysis.
Modules to be discussed
1.Pandas
2.Numpy
3 Matplotlib
4.Seaborn
Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali
Training Period: 30 days
Training Platform: Zoom
Contacts:
Phone:+255622071858/+255766047800
Email...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.