data

  1. F

    University students: ResearchLink inatoa usaidizi katika mambo mbalimbali ikiwapo data analysis, thesis planning, scholarhip application, etc

    Fuatilia link ya shirika la ResearchLink International kupata usaidizi kwenye mambo mbalimbali ya kitaaluma na hata scholarship application assistance.
  2. Lycaon pictus

    Tanzania kuna data recovery centre?

    Nimekuja kuuliza tena hii ishu. Kuna data za muhimu sana zimekufa na hard drive. Je kuna hapa tuna data recovery centre? Centre ya wale wataalamu wenye maabara kabisa. Kama hawa jamaa. https://youtu.be/eyr14_B230o?si=snGt5qwNJNgUkj9q
  3. Thesis

    Natafuta Data Collectors Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida

    Habari, Nina kazi ya kukusanya data kwa wakulima wa alizeti katika Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida. Natafuta jumla ya vijana sita waliomaliza degree lkn hawana ajira kwaajili ya kukusanya data katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo. NOTE: MUHUSIKA AWE ANAPATIKANA WILAYA YA IRAMBA Malipo...
  4. K

    Data Analysis & Reports

    Kindly allow me to add value in your activities by financial data analytics and reports by the use of advanced excel tools and other applications. This can be done remotely from my office at reasonable charges, this can be Tax reports like EFD reports, Incomes, Stocks, Expenses, Data import...
  5. Venus Star

    Utafiti wangu Nchi Nzima: Watu Wote Wenye Akili Timamu Tanzania Wanaipenda CCM - Data Ninazo

    CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na utulivu tangu nchi ipate uhuru mnamo mwaka 1961. Kwa hiyo, upendo au kuunga mkono CCM unaweza kuwa...
  6. M

    GPA ya 3.0 as Data analyste kwenye ajira?

    Wakubwa nilikuwa naomba kujuzwa kwa mtu aliesomea Bachelor of science In Information System GPA inasoma 3.0 na anaujuzi wa data analytics. Anauwezekano wa kupata Ajira in goverment or private sectors?
  7. A

    Jamiiforum mnataka tuwashe data (Internet) muda wote?

    Sio kila mtu anapenda kuwasha data muda wote anapoperuzi mtandao, JF zamani kama unasoma bandiko refu basi ulikuwa na uwezo wa kuzima data
  8. Msela Wa Kitaa

    Msaada Wa Jinsi Ya Kuwasha Data kwenye simu ya Sony SOV39

    Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
  9. Kaka yake shetani

    Kampuni za simu bado zinatumia 3G mfumo data japo zinashindwa ku update minara Tanzania acha nieleze ukweli hapa

    Ili jambo lipo afrika na linaigizwa kwa mtindo wa kudanganywa kuwa kifaa chako sasa kina 4g au 5g. Ghalama za kuendana na hiyo mifumo nikubadilisha vifaa vyote kwa wakati ili kumudu vifaa hivyo. Leo niko kijiji X kina mnara tokea wa 3G ila hakuna changamoto ya kuharibika kifaa kina niambia...
  10. M

    Mshahara wa data scientist

    Wakubwa nilikua naomba kufahamu mshahara anaopatiwa data scientist kwa upande wa goverment na private sector?
  11. Hypersonic WMD

    Je ni kweli kuna VPN zinapunguza ulaji wa bundle la Data

    Wakuu huku kitaa kuna vpn nyingi ambazo wadau wanadai zinapunguza data kuisha au kutumika zingine wanasema ukiwa nayo unatumia data bure
  12. mkorinto

    Bando za data Vodacom zinaisha kwa kasi ya ajabu, tatizo ni nini?

    Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida? Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa...
  13. Jamii Opportunities

    Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024

    Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024 About the job Collect and curate data from various sources, including but not limited to Google Sheets, databases, and APIs. Organize, clean, and maintain datasets to ensure data integrity and accessibility. Apply statistical methods to interpret...
  14. M

    Data science and fullstack web developer

    Wakubwa nilikuwa naomba kwa anaejuwa kati ya data science na fullstack web develpmnt. Ni ipi inasoko sana kwa tanzania na hata nje pia?
  15. B

    SoC04 Utumiaji wa teknolojia ya mfumo wa data wazi(open data) kama chombo muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa na kuimarisha utawala bora nchini Tanzania

    "Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25" Katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora UTANGULIZI Mfumo wa data wazi ni mfumo ambao unaruhusu ufikiaji wa data na taarifa bila vikwazo au vizuizi. Kuna mambo kadhaa yanayowakilisha mfumo wa data wazi kama vile data inapatikana bila malipo au...
  16. Jamii Opportunities

    Data clerks (44 Positions) at PASADA

    Job Description: The Data Clerk will work at the council level to ensure the timely entry of beneficiaries’ reports for the DREAMS Project and Early Childhood Development (ECD), within one day. After reception of the forms from the M&E officer while undertaking data verification to ensure...
  17. M

    Data center za tanzania zinatumia njia gani kujikinga na cyber attacks kwenye network infrastructure zake?

    Habari wadau Nipo kwenye harakati za kujiandaa kufanya utafiti juu ya matumizi ya Next Gen Firewall hapa Tz na case study yangu itafocus kwenye data center Hivyo ningependa pata first hand experience toka kwa wadau wenye access na knowledge za data canter infrastructure hapa bongo
  18. Jamii Opportunities

    Analyst Procurement Master Data at Kilombero Sugar June, 2024

    Position: Analyst Procurement Master Data Specific Duties and Responsibilities • Maintains Master Data on an on-going basis to support the Purchasing Function in accordance with the Group Procurement Strategy i.e. ensures no duplicates and no remapped MIDs exist in an active state for more than...
  19. the_pythonman2016

    Python for Data Analysis

    Habari, Natoa Training ya Python for data analysis. Modules to be discussed 1.Pandas 2.Numpy 3 Matplotlib 4.Seaborn Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali Training Period: 30 days Training Platform: Zoom Contacts: Phone:+255622071858/+255766047800 Email: infonet20th@gmail.com...
  20. the_pythonman2016

    Python for Data Analysis

    Habari, Natoa Training ya Python for data analysis. Modules to be discussed 1.Pandas 2.Numpy 3 Matplotlib 4.Seaborn Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali Training Period: 30 days Training Platform: Zoom Contacts: Phone:+255622071858/+255766047800 Email...
Back
Top Bottom