data

  1. 🔒 Backups ni Muhimu: Jipatie Flash Drives kwa Jumla na Reja Reja!

    Katika enzi ya teknolojia, ulinzi na usalama wa data zako ni muhimu zaidi kuliko hapo awali. Picha, nyaraka muhimu, na mafaili ya kazini vyote vinahitaji kutunzwa na vizuri kuwa na backup. Na USB Flash Drive, inakupa suluhisho unalolihitaji. 📁 Nafasi Kubwa ya Hifadhi: Hifadhi picha, video, na...
  2. Najihisi nimekuwa mraibu, Wangapi mmeweza kutumia smartphone / laptop siku nzima bila kutumia internet ?

    Tangu mwaka huu uanze sikumbuki siku ambayo nilikuwa offline, Nina biashara zangu na kazi sio kwamba nipo idle. Yani uwe na smartphone halafu ukose data waweza kuhisi unakosa mahitaji ya msingi, ukifika hii stage jijue ushaanza kuwa mraibu. Matumizi ya data napenda kuingia Youtube kufatilia...
  3. Wanaohonga na kunuunua wanawake wana ugonjwa wa akili ama wanajizima data?

    Umewahi kuwaza hawa watu wana ugonjwa gani?? Umeshawahi kujua wengi wanaonunua wana ugonjwa wa kuangalia Porto I Jamaa ananunua mzigo..jmosi ananunua mzigoooo jpili anashindaa sikunzima anaangalia Porto Hawa huwa wanajua kabisa mabinti wanataka maokoto so huwa wanajipanga kipesa na pale...
  4. Tanzania kuna huduma ya data recovery? Inagharimu kiasi gani?

    Habari wakuu sana. Hivi hapa kwetu huduma ya data recovery kitaalamu ikitokea mtu disk yake imeroga inapatikana wapi? Inagharimu kiasi gani huduma hiyo?
  5. Natafuta ajira ya uingizaji wa taarifa (data clerk) na ukusanyaji wa taarifa (data collection)

    Habari wanajamii, naombeni connection za upatikanaji wa ajira za data clerk, data collection na zingine zinaxohusiana na maswala ya data. Ninauzoefu wa matumizi ya komputer na elimu ya diploma ya project management. Asanteni
  6. Natafuta kazi nina Diploma ya IT, Dereva, Data Clerk na Graphic Designer

    Tayar
  7. Msaada wa kuweza kufanya data recover kwenye laptop

    Habarini wakuu, Naomba msaada wa Data Recover ambazo kwa Bahati Mbaya nili fomati hivyo taarifa za kwenye Folder and Files zimepotea zote. Hivyo kama kuna namna au kuna Software inaweza fanikisha au mtaalamu wa kuweza kufanikisha zoezi tafadhali msaada wake unahitajika. Nipo Dar Es salaam...
  8. Ghana: Wafanyabiashara 5 mbaroni kwa Kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data

    Wafanyabiashara watano huko Accra wamekamatwa na polisi kwa kushindwa kujiandikisha kwenye Tume ya Ulinzi wa Data (DPC) na kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data. Wafanyabiashara hao ni wawakilishi wa CareFlight Ghana, kampuni inayotoa huduma za kliniki na ambulensi, Embassy Gardens, kituo cha...
  9. Data and Accountability Officer at Plan International November, 2023

    Position: Data and Accountability Officer Location: Kibondo, Tanzania Location: Kibondo Reports to: MEAL Coordinator – PlayMatters Level: 12 Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls. We believe in...
  10. Service Data Clerk at Bulyanhulu Gold Mine November, 2023

    Position: Service Data Clerk Job Identification: 227192 Schedule: Full time Location: Kahama, Shinyanga Responsibilities: Ensure safe work practices, i.e., attending compulsory safety courses and meetings, use of required PPE, incident/accident reporting and ensuring total adherence to all...
  11. R

    Nimestushwa na wizi wa data wa makampuni ya simu

    Siku zote najua tunaibiwa data na MAKAMPUNI ya simu lakini sikujua Kama ni wezi kiasi hicho. Mara nyingi naweka kifurushi cha wiki lakini hata simu yangu ilizima charge kwa kukosa umeme kifurushi huwa kinakaa siku moja tu na so zaidi. Leo sijui imekuwaje nimezima data baadae nikaangalia salio...
  12. Futa kila kitu baada ya kila saa 2

    Wakuu nimepata changamoto katika Google Pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hiyo error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama nilivyoelekezwa kwenye picha hapo chini lakini nimeshindwa. Hii simu ni simu yangu wakuu na nimeitumia miezi...
  13. ICT Innovations and Data Management Manager at Mkapa Foundation September, 2023

    Position: ICT Innovations and Data Management Manager Reports to: Director of Strategy and Performance Management Supervise: ICT system analyst, ICT system Administrator, Digital Solutions Partner Department: Strategy and Performance Management Duty Station: Head Office -Dar es Salaam Key...
  14. Senior Data Manager at THPS

    Position: Senior Data Manager Reports to: VACS Project Director Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Overall Job Function Reporting to the VACS Project Director, the VACS senior data manager will ensure quality data of high standard are collected, analyzed and reported. The VACS senior...
  15. VACS ICT Data Manager at THPS

    Position: VACS ICT Data Manager Reports to: Senior Data Manager Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Overall Job Function The VACS ICT Data Manager is responsible to ensure good storage and maintenance of tablets in the entire duration of the survey. S/he will be expected to...
  16. Specialist; Fraud Control & Data Analytics at NMB Bank

    Position: Specialist; Fraud Control & Data Analytics Location: Head Office, HQ Main Responsibilities: Utilizing advanced data analytics techniques to closely monitor and analyze data, identify patterns and trends indicative of fraudulent activities, and promptly respond to any suspicious...
  17. Top secret CIA files expose US covert operations in Tanzania’ data (Part 1)

    The Tanzania Intelligence and Security Service is the national intelligence and security agency of Tanzania. The Agency works closely with other National and International intelligence agencies and security organs in the promotion and maintenance of peace, safety and security in and outside...
  18. Nafanya analysis ya research data, translation ya articles (Eng-Sw; Sw-Eng), kutengeneza card mbalimbali

    Wanajamii, kwa mwenye uhitaji wa hizi huduma zifuatazo, anicheki Whatsapp mawasiliano 0676245401: 1) Data Analysis 2) Kupika data 3) Kutengeneza Logo 4) Kutoa ban whatsapp 5) Translation of articles/books/magazines(kutafsiri vitabu,majarida n.k) eng-kisw na kisw-eng 6) Kutengeneza card za...
  19. Njia zipi unatumia kudhibiti upotevu wa Data

    Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ungezeko la gharama za vifurushi vya internet DATA. Ebu tushauriane hapa njia zipi hasa zitasaidia kupunguza matumizi ya DATA. Mimi huwa najiuunga Gb9.5 kifurushi cha mwezi ila mara zote huisha ndani ya wiki mbili tu. Nimejaribu kupata apps ambazo...
  20. Kwanini Mtandao wa TIGO unakula Data kwa kasi sana?

    Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini? Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…