Dating is a stage of romantic relationships in humans whereby two people meet socially with the aim of each assessing the other's suitability as a prospective partner in an intimate relationship. It is a form of courtship, consisting of social activities done by the couple, either alone or with others. The protocols and practices of dating, and the terms used to describe it, vary considerably from country to country and over time. While the term has several meanings, the most frequent usage refers to two people exploring whether they are romantically or sexually compatible by participating in dates with the other. With the use of modern technology, people can date via telephone or computer or just meet in person.
Dating may also involve two or more people who have already decided that they share romantic or sexual feelings toward each other. These people will have dates on a regular basis, and they may or may not be having sexual relations. This period of courtship is sometimes seen as a precursor to engagement. Some cultures require people to wait until a certain age to begin dating, which has been a source of controversy.
Welcome | Karibu
Date Tours & Safaris!
We provide tours and travels services, along with the best safari tours to all the top destinations in Africa. We can provide private tours and safaris for our esteemed guests to allow them to enjoy the amazing natural beauty of the African continent.
We...
date
maasai walking safaris
mount kilimanjaro
serengeti safaris
tanzania climbing safaris
tanzania safaris
tours
walking safaris in tanzania
wildebeest migration safaris
wildlife safaris
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum
kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?
kwanini nisimuoe tu fasta, yaani
nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo
hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi...
Hivi kwa mfano
Naomba nisaidiwe kusoma hiyo expire date hapo kwenye picha
Na bidhaa za aina hii zipo nyingi yani expired date haieleweki kabisa utakuta imeandikwa ila huwezi kuielewa kabisa
Ni nini tatizo mbona bidhaa za nchi zingine zinasomeka vizuri kabisa tarehe ya kuzalishwa na mwisho...
Mwanamke anayeomba pesa kwa jamaa ake ni kosa kubwa.
STORI YA KWELI.
Ilikuwa hivi huyu Binti nilikutana name kwenye daladala. Tukiwa wote safari ya makumbusho, saa 2 usiku yeye anaelekea kwao huko.
Kwangu more nilikiwa naingia kiwanja. Mdada akaniomba tuonhee kama ninamuda. Nikasema sawa...
Kuna katabia ambacho wanaume tunacho, tukimpenda sana mwanamke hadi kujisemea akilini huyu akinikubali namwoa, tunaona noma kumwita gheto on first meeting, kwasababu tunahisi atakataa, na tutajiharibia cv kwa kuonekana wahuni, na hatutaki tukataliwe.
Badala yake tunaomba tukutane mgahawani, au...
Wanawake wanachukua muda kupenda.
Hivyo ni muhimu kwa kila muda unaopata pamoja naye uongeze mvuto wake kwako. Aone kwamba we ndo ‘wa kipekee’. Aone kwamba kwenye maisha yake yanahitaji awe na mwanaume kama wewe.
Sasa unapokutana naye, mpatie muda mzuri mfanye ajisikie furaha. Mfanye aone...
Maana ya date na mwanamke ni kukutana naye ili kutengeneza mazingira rahisi ya kufanya naye mapenzi, na mkiendana kuwa wapenzi.
Ila ukiharibu unapokutana na mwanamke, maana yake unakosa penzi na nafasi ya kufanya mapenzi.
Hivyo ni muhimu kuepuka haya ili kuongeza nafasi yako ya kupata penzi...
Umekutana na mwanamke ukapata namba yake na mkapanga mkutane mara ya kwanza mahali ili muongee/ mle/ mpate kinywaji.
Kuna muda hili jambo linatia mawazo sana. Unajiuliza utafanyaje ili umpate kabisa umuweke ndani
Kukutana na mwanamke mara ya kwanza huwa ni kwa ajili ya kujuana zaidi. Sio kwenye...
Kiuhalisia haya mahusiano yapo tukiweka kando Bongo movie, bongo flava na ndumba ?
Tuweke kando madenti wa sekondari hawa kuwapata ni rahisi lakini kwa sheria za sasa ukiingia kichwa kichwa unapigwa mvua ya kutosha.
uliwahi kushuhudia ama wewe kuwa mhusika, mtoto mkali wa ushuani kadata na...
Dah! Leo nimekumbuka mbali sana aisee.
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nikiwa na yule msichana niliyempenda kuliko KITIMOTO ROSTI NA NDIZI MBILI (Pilipili usiweke), tulienda first date pale Dubai. Mida ya saa 5 asbh hivi tukakwea pipa Emirates hadi huko Dubai na kufika kama saa 12 jioni...
Wadau nawakaribisha ili tupeane kinachoendelea kwenye mech tajwa hapo juu.
Mchezo umemalizika: Kocha wa Ruvu Charles Mkwasa anasema timu yake haikustahili kupotez mchezo huu kwa kuwa walicheza vizuri lakini walizidiwa uzoefu na wachezaji wa Yanga.
90' Mchezo unaweza kumalizika muda wowote...
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.
Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate...
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.
Nimekutana na matukio mawili yaliyonifikirisha na kunifanya nikaribie kwenu ili nipate mawazo yenu
Binafsi nimewahi kudate huko nyuma baada ya kumaliza masomo ya chuo siwezi kusema yalikua serious kwasababu bado nilikua sijapata kazi na kufikia malengo...
MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI
BEI: 450,000/=
Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako kwa wa dar, wamikoani kuna utaratibu wengine MNAKARIBISHWA!
KWA Mashine hii unaweza kutumia kwa...
bar
bidhaa
code
date
karanga
kukoboa
kusaga
kusaga na kukoboa
kutengeneza
logo
mahindi
mashine
mbili
mpunga
mpya
ndogo
number
print
printer
siagi
simu
ufuta
Wale wanaume wanaopenda kudate wanawake waliowazidi umri wengi wao walikosa mapenzi ya mama zao tangu wakiwa wadogo mpaka wamekua. Kukosa mapenzi ya mama zao kunawafanya watafute wanawake wakubwa kiumri zaidi yao.
Wanahisi wanawake hao watawalea kama mama zao. Na ndio inavokua mara nyingi...
yapata miezi miwili sasa rafiki yangu watengane na mchumba wake.
chanzo, mgogoro ulianza july mwaka jana mchumba wake alipoombwa waonane akadai yuko bize, akamfata mkoa alipo ili waonane mchumba wake alimjibu yuko bize anatafta hela kwasasa, alipo lalamika sana na kudai kama kapata mpenzi...
Habarini wanajamvi.... Natumai wazima wa afya.
Nimeamua niwafikishie ujumbe kwamba kudate na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana.
Kila wakati anajishtukia tu na kukupa vizuri ujinafasi..
Atakaebisha abishé....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.