da'vinci mshana jr amber rutty baby

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani?

    Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani? Maelezo ya picha, Uuzaji wa pipi za pamba umepigwa marufuku katika jimbo moja huko India Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Idara ya Usalama wa Chakula katika jimbo la Tamil Nadu nchini India, umebaini...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wachawi wanavyokujia usiku ukiwa umelala usingizi Wanakuchezea mwili wako wanavyotaka

  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hii Ndio Hali Halisi Ya Mkoa Wetu Wa Dar Sijuwi Kwenu Kukoje?

  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Watu wa jinsi mbili: ‘Nimefanyiwa upasuaji mara 39’

    Hakuna kitu kinachokatisha tamaa kama mtu kuteseka kwa jambo ambalo liko nje ya uwezo wake. Nazungumzia jamii ambayo imekuwa nadra sana kuzungumziwa hasa kwa Afrika Mashariki. Watu wa jinsi mbili, ni watu wa kawaida kama wale wengine ila madhila wanayopitia ni ya kuvunja moyo hata ingawa hali...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mwanamke wangu nimemfundisha kuzungumza Kiswahili

  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Maswali magumu aliyoulizwa Rais Samia ya Mwandishi wa BBC

    Maswali Magumu aka Hard Talk aliyoulizwa Mama Rais Samia Suluhu.............. Download 720 Download 720 Download 720
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Shuhuda aelezea Ubaguzi kwa watu weusi Nchini Ukraine

    JAMAA AZUNGUMZIA JINSI WA UKRAINE WANAVYO WABAGUWA WATU WEUSI... Download 720
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mfanyakazi wa ndani uarabuni akiwatesa watoto wa tajiri yake

    Mfanyakazi wa ndani uarabuni akiwatesa watoto wa tajiri yake kamera imemkamata
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Putin says insulting Prophet Muhammad 'violation of freedom of religion'Putin asema kumtusi Mtume Muhammad 'Ni kukiuka uhuru wa dini'

    Putin says insulting Prophet Muhammad 'violation of freedom of religion' Russian president says any freedom should have in its basis respect to other people's feelings Russian President Vladimir Putin speaks during his annual press conference at the Moscow Manege on December 23, 2021 in Moscow...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Pakistan's religious party hails Putin’s anti-blasphemy stance. Chama cha kidini cha Pakistan kinapongeza msimamo wa Putin wa kupinga kufuru

    Pakistan's religious party hails Putin’s anti-blasphemy stance Jamaat-e-Islami chief Siraj-ul-Haq calls Russian president's stand ‘great’ effort to mitigate rising Islamophobia in West KARACHI, Pakistan A mainstream Pakistani religious party has hailed Russian President Vladimir Putin's stance...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Sirikali yangu haina ajira kwa hiyo mjiajiri wenyewe

    SERIKALI INAYOSEMA UKWELI MTUPU
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Rafiki, leo tunaishi katika siku ngumu na mambo magumu sana sisi, nchi na taifa letu la uturuki

    MAKALA IFUATAYO INAELEZEA TUKIO HILO KATIKA NCHI KAMILI. UKISOMA MARA NYINGI, NDIO MAHALI PA KUSOMA TENA. NI UJUMBE WA THAMANI SANA WENYE MATOKEO YA THAMANI SANA. TAFADHALI SHARE NA WAPENDWA WAKO. HAYA NI MAJUKUMU YA SERIKALI. PIA NI VITA KUBWA VYA HAKI NA KUSHINDWA. 🔴 ACHANA NA VITA VYA...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vita ya Abushiri kuzuia utawala wa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki mwaka 1888/1889

    Vita ya Abushiri ilikuwa jaribio la wenyeji wa pwani ya Tanganyika kuzuia utawala wa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki mwaka 1888/1889 lililokandamizwa na jeshi la Wajerumani. Wajerumani waliita "Uasi wa Waarabu". Viongozi Viongozi wake waliojulikana zaidi walikuwa Abushiri ibn Salim...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wabeba maboksi wa Ulaya wakijishaua wakati kwao Afrika wamesahau hata kujenga banda la makuti. Loohh! majangaaa hayo

  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Matatizo yanayo husiana na maradhi ya figo na ufumbuzi wake

    Ugonjwa wa figo Figo ni ogani inayoshirikiana na moyo. Kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na mapigo ya moyo. Magonjwa sugu ya figo hutokea pale ogani hiyo inapopoteza uwezo wa kutenda kazi zake kikamilifu. Tatizo huanza taratibu na kudumu kwa muda mrefu hadi kuonyesha dalili...
  16. K

    Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa

    Baadhi ya Wasafiri waliofika Uwanja wa Ndege wa Dar na kutakiwa kujiweka Karantini kwa gharama zao wakilalamika kuwa wametakiwa kukaa hoteli zenye gharama Wasafiri hao wameomba msaada kwa Mamlaka hususan Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwani wametakiwa kukaa katika hoteli za Southern Sun, Rungwe...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    #COVID19 Njia ya kujikinga na mlipuko wa virusi vya homa ya mapafu au Coronvirus

    NJIA YA KUJIKINGA NA MLIPUKO WA VIRUSI VYA HOMA YA MAPAFU AKA CORONAVIRUS 1) Njia ya Kwanza Kaa nyumbani hiyo ndio njia kubwa ya kujikinga na huo Mlipuko wa mambukiz ya homa ya Mapafu Ukikaa nyumbani utakuwa umejilindana Maradhi. 2) Njia kuu ya pili unapotka nje ya nyumba Tafadhali vaa Mask...
  18. Analogia Malenga

    Dar: Barabara ya Jangwani yafungwa kutokana na mvua zinazoendelea

    Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mlipuko wa maradhi ya homa ya mapafu corona virus duniani kote

    Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu naosababishwa na Virusi vya Corona unaoenea kwa kasi duniani, Tanzania sio kisiwa Naomba wote tufanye yafuatayo ili kuchukua hatua mapema: 1. Wahi kununua Mask kwa familia, mlipuko ukianza hizo Mask hazitaweza kupatikana kiurahisi 2. Nunua...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mke wa mtu kweli ni sumu

Back
Top Bottom