dawa za mafua

  1. co fm

    Hali ya hewa Juni na mafua

    Habari wakuu, kwa wale wakazi wa Dar es Salaam kuna kihali cha mafua na kikohozi watu wengi naona wanavyo na kwangu mimi naona week hii ya pili inaenda hali ipo vile vile… Waliopatwa na hii hali njoo tafadhali tushare experience.
Back
Top Bottom