HABARI WAKUU,
Kuna hili suala la Dawasa wilaya ya ubungo ,
tarafa ya kibamba,
kata ya kwembe,
mtaa Luguruni, Dare saalam.
Eneo hili limekuwa lina tatizo sugu la maji,
ambalo limetengenezwa na Dawasa wenyewe eneo hilo la Luguruni , lengo la kupiga pesa kwa njia ya kuuza maji,
kupitia kwenye...