Mkoa wa Dar es Salaam, umekumbwa na tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama kwa muda mrefu. Kuongezeka kwa idadi ya watu na ukuaji wa mji umesababisha ongezeko la mahitaji ya maji, huku miundombinu ya zamani ikishindwa kukidhi mahitaji hayo. Katika kusaka suluhisho endelevu, nafasi ya...
DAWASA huu wizi unatosha sasa. Kwa mtindo huu tutaishia kutumia maji ya visima tu.
Kwa miaka takriban minne natumia maji ya DAWASA, familia yangu yote sio ya kushinda nyumbani ikimaanisha kutwa nzima hakuna matumizi ya maji.
Kwa miaka yote hiyo bili yangu ilikuwa haivuki units 4 kwa mwezi...
Muda so baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam ukifungua maji ya DAWASCO asubuhi unakutana na tope zito.
Maji haya machafu hayafai kwa lolote, hivyo mtu unamwaga mpaka lita mia moja unayolipia ndio upate masafi.
Kusafisha na kutibu maji kwa kutumia Aluminium sulphate na chlorine siku hizi za...
Kwa masikitiko makubwa sasa mmeamua kula nje ya kamba naona mnatunia mipira inayovutika. Hivi ni kwa nini maji hayatoko kwa siku nnee?
Na hamtoi taarifa yeyote, hivi nyinyi mnatuchukuliaje sisi wenye nchi au mnataka tutanguilie mbinguni. Raisi wa nchi ini msimamizi na sisi ndiyo boss wakee...
Mteja...
Ndugu Mfanyakazi wa Dawasco mbona Kwetu sasa Maji hayatoki Wiki Mbili?
Mfanyakazi Dawsco....
Kwa Matajiri na Wakubwa Masaki sasa wana Mwezi wa Pili umesikia au kuona Wanalamika?
Mteja.....
Ndugu Mfanyakazi wa Dawasco imekuwaje leo Kawe Maji mmeyafungulia Saa 1 Asubuhi na kuyakata...
Nisingependa tuharibu mahusiano yetu Mazuri, nasema hivi sijawahi kupata Maji yenu kwa zaidi hata tone. Wallah mkiniletea bill hata ya buku Tano tu mtaniona mkorofi. Niko Wilaya ya Kinondoni, Mabibo Mwisho.
Wadau,
Katika kipindi chote cha kuona serikali tofauti tofauti hapa Tanzania kero ambazo zimekuwa zikijirudia rudia sana ni hii ya upatikanaji wa maji na umeme.
Watanzania wameshazoea kuiomba serikali kupewa huduma hizi kitu ambacho ni haki yao tena ya msingi kama walipa kodi.
Ifike mahali...
Sababu kuu zinazopelekea shida ya maji inayoendelea Jijini Dar es Salaam na mikoa mingine hapa nchini, ni zao la Watangulizi wa Mama.
Hii shida imekuwepo kwa muda mrefu sana, haijaanza mwaka jana mwezi April 2021, tusimnyooshee kidole SSH kwa sababu tu yeye ndiye aliye madarakani kwa sasa...
Ni hivi, nimevuta maji yapata miaka mitano iliyopita, ilinighalimu Kama laki saba hivi,.
sasa Kuna mtu jirani yangu ameenda mamlaka ya maji ,baada yakutajiwa ghalama Hadi maji yafike kwake Ni kubwa, wakamuambia heti akiweza aniombe Mimi jirani yake nimuandikie barua hili aipeleke huko avute...
Kwanini Waziri wa Maji, Jumaa Aweso anaonekana ni moja ya Mawaziri wanaoongelewa vizuri zaidi ana nini hasa cha ziada tofauti na wenzake?
Itakumbukwa kuwa Aweso ni moja ya mawaziri wapya ambaye alianza majukumu ya Naibu Waziri wa Maji mwaka 2017 na baadaye kuja kuwa Waziri kamili wa Maji.
Huku...
Kwani what happened na Dawasco?
Maji huku Mbweni JKT hamna tangu last week. Ukipiga Customer Care, hio lugha ni ishara tosha kuwa huduma mbovu. Huyu dada wa customer care kasema tu atamwita Engineer na wala hakupi ticket namba na ameshakata simu.
Wakuu wa DAWASCO hebu tupieni jicho hizo huduma...
Uhaba wa maji DSM baada ya kina cha maji mto Ruvu kupungua kama chanzo kikuu cha maji ya taasisi hiyo (DAWASCO) umepelekea wakazi wa maeneo mbalimbali wa mkoa huo kutafuta njia mbadala za kupata maji na kuanza kuijumu taasisi ya maji DAWASCO.
Mbinu kama kukata mabomba na kuunganisha moja kwa...
Nimekua nikipata tatizo la bili ya maji kuongezeka sana kias kwamba ninapata waswas maana tangu nibadilishiwe mita iliyokuwa imefubaa haisomeki vzuri, sahiz bili ya maji inakuja kubwa mpaka natamani irudishwe ya awali.
Kama kuna mtu ana uelewa anijuze hizi mita zina utofauti upi isijekuwa...
Habari wadau
Naona tumerudi enz zile.
Sina maji kabisa leo sijui nyumbani wanaishije
Mwenye namba ya magari ya kuuza maji maeneo ya Ubungo naomba anisaidie
DAWASCO wanakwamisha utekelezaji wa ilani kwa kutokusambaza maji kwa kila Kaya kabla ya 2025.
Pia, wanafurahia mgao wa maji, haiwezekani jiji la Dar es Salaam likose maji kwa siku7 mfululizo na CEO bado anachekelea kwenye V8, full kiyoyozi.
**** Na OPRAS anajaza kila Quarter.
NB: Enzi za Mwamba...
DAWASA/DAWASCO ni shirika la hivyo kabisa Sijui kama wanajua kuwa maji ni muhimu saana kwenye jamii.
Nisizunguke saana maana tatizo la maji ni la nchi nzima na ni ujinga wa viongozi wetu. Ujinga wa DAWASCO ni
1. Maji yakiwa yanavuja mtaani kwako badala ya kurekebisha wanakata bomba na kukunja...
Habari zenu mabibi na mabwana,
Naomba kuuliza nimeona sehemu nyingi kuna branch mpya za idara ya maji Dawasco na soon kufunguliwa, ningependa kujua juu ya taratibu zao juu ya upatikanaji wa ajira ni Dawasco
Dawasa Kimara huu ni mwezi sasa watu wamefanyiwa survey na kufanya malipo na risiti zipo ila hawaji kuunga maji.
Kila siku wanasema vifaa hawajanunua. Wanashindwaje kununua vifaa wakati tumelipia hela?
Serikali sijui iko wapi. Mkuu wa Dawasa kimara hatumtaki. Kama Waziri anasoma humu tunaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.