Huyu George Marara, Alikua Mbunge Nchini Kenya Miaka ya Sabini. Akiwa katika kamati ya Bunge walipata nafasi ya kwenda Zambia Kikazi kama kamati ya Bunge.
Wakati yuko Zambia aliingia Bar akakutana na Jamaa mmoja ambaye ilisadikika ndiye aliyemuuwa Mwanasiasa mashuhuru bwana Tom Mboya,
Huyu...