Ni ngumu sana kukuta mtu aliyewahi kupitia ,,near death experience” halafu maisha yake yasibadilike, watu wengi ambao hukaribia kufa au labda niseme hunusurika na kifo huwa ni wengine kabisa baada ya tukio, kwa mfano mtu akigongwa na gari na kupona huwa yuko tofauti na kabla ya tukio.
Sasa...
Kifo hakizoeleki. Kila mmoja anayo namna yake ya kuonyesha huzuni yake baada ya kufiwa; kwa mfano, wengine hulia kwa kupiga kelele, japo wengine hukaa kimya. Huzuni ni kitu kisichoonekana kwa macho, na mara nyingi huwaweka wahuzunikao kwenye hatari ya kupata sononi na madhara mengine ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.