Kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana unaofanywa maksudi na media na sijui kwanini.
Mfano mpaka sahivi hamas amesharusha makombora zaid ya 1000+ Israel lakin kinachowasaidia Israel ni kuwepo kwa mfumo wa iron dome defense system.
Hamas anaporusha Yale makombora yake achagui, tofauti na Israeli...
Karate ni mchezo mtamu sana, na hautumii nguvu nyingi sana kama ndondi.
Ndondi haiwezi kukupa uhakika wa zaidi ya 50% katika suala zima la self defense.
Karate inakufundisha kila kitu even magic kama utabahatika kufikia level ya kuanzia mkanda wa blue.
Sema tu Bongo karate hailipi sana...
Sijajua kama nimeweka huu uzi katika jukwaa sahihi ila ninaamini kabisa kwamba kuna Maofisa ambao wanapita humu ambao wanao uwezo wa kuliweka hili mezani na kulijadili kwa kina kwa kuzingatia mazingira yanvyobadilika.
Kumeibuka aina mbalimbali za uhalifu kama vile Cyber Crimes na pia kumekuwa...
Mifumo ya Ulinzi wa Anga (Missile Defense Systems)
Patriot "MIM-104" SAM System (USA)
===
S-300 Missile System (Russia)
===
THAAD "Terminal High Altitude Area Defense" (USA)
===
S-400 Missile System (Russia)
===
Iron Dome (Israel)
===
Arrow 3 (Israel)
===
To Be Continued!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.