derby

Derby ( (listen) DAR-bee) is a city and unitary authority area in Derbyshire, England. It lies on the banks of the River Derwent in the south of Derbyshire, of which it was traditionally the county town. Derby gained city status in 1977, and by the 2011 census its population was 248,700.
Derby was settled by Romans, who established the town of Derventio, later captured by the Saxons, and later still by the Vikings, who made their town of Djúra-bý one of the Five Boroughs of the Danelaw. Initially a market town, Derby grew rapidly in the industrial era. Home to Lombe's Mill, an early British factory, Derby has a claim to be one of the birthplaces of the Industrial Revolution. It contains the southern part of the Derwent Valley Mills World Heritage Site. With the arrival of the railways in the 19th century, Derby became a centre of the British rail industry.
Derby is a centre for advanced transport manufacturing, being home to the world's second largest aero-engine manufacturer: Rolls-Royce. Bombardier Transportation has a production facility at the Derby Litchurch Lane Works while Toyota Manufacturing UK's automobile headquarters is located southwest of the city at Burnaston.

View More On Wikipedia.org
  1. Dabil

    Ni hujuma Ramadhani Kayoko kuchezesha derby

    TFF wamekosea sana mechi ya tarehe 8 refa wa kati kuwa Kayoko. Kayoko ana madhaifu mengi kwanini wasimlete Arajiga kwa mechi kama hii? Kayoko tangu derby iliyopita kachezesha mechi moja tu wiki zilizopita,mda huo wote aliwekwa benchi na kamati ya marefa baada ya kuona mapungufu yake kwenye...
  2. kavulata

    Derby ya Kariakoo TFF na Bodi ya ligi lindeni mali za uwanja kwa mchezo safi.

    Asikwambie mtu bhana, Simba na Yanga ndizo timu zinazoendesha biashara ya mpira nchini; hata timu nyingine na Dar na mikoani mapato yao yanazitegemea Simba na Yanga; wadhamini wooote wanadhamini mpira kwasababu ya Simba na Yanga. Hivyo, nisingeona ajabu kama mechi zoooote zinazozihusisha Simba...
  3. SAYVILLE

    Kwanini iitwe Kariakoo Derby wakati ni timu ya Simba SC pekee iliyo Kariakoo?

    Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua. Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi...
  4. Christopher Wallace

    Kariakoo derby kupigwa Saa 1:15 usiku jumamosi, TFF wamezingatia kweli Usalama wa mashabiki?

    Mechi ya watani Simba Vs Yanga itapigwa saa 1:15 usiku kutokana na sababu za mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Mechi ikianza Saa 1:15 maana yake itaisha saa 3:00 usiku Vipi usalama kwa mashabiki watakaojitokeza na ambao wengine huambatana na familia zao, TFF wamezingatia kweli suala la usalama?
  5. M

    Kuanzia kesho Jumatatu nitakuwa natoa salamu kwa wahusika wafuatao kuelekea Derby ya tarehe 8 Machi 2025, ama hakika Ubaya Ubwela

    Kuelekea mchezo wa Derby tarehe 8, kuanzia kesho nitakuwa naachia salamu mbalimbali kwa wahusika wafuatao: Tarehe 3 nitatoa salamu kwa uongozi wa Simba Tarehe 4 nitatoa salamu kwa benchi la ufundi na ushauri wa namna kikosi kinachopaswa kucheza kulingana na unajimu wang Tarehe 5 nitatoa...
  6. G

    MAONO: Kariakoo Derby

    Mechi itaisha kwa sare ya magoli.
  7. Waufukweni

    Mzizima Derby (Simba, Azam) yahamishwa uwanja, kupigwa Benjamin Mkapa

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imebadili uwanja na muda wa kuanza kwa mchezo namba 167 wa Ligi Kuu ya NBC baina ya Simba na Azam ambao ulipangwa kufanyika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Februari 24,2025 kuanzia saa 10:00 ambapo sasa utafanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku hiyohiyo...
  8. ngara23

    Mzizima derby (Simba vs Azam) imepoteza mvuto

    Hii ilikuwa Moja ya derby kubwa hapa Tanzania baada ya Ile ya Simba. Vs Yanga Ila Kwa Sasa ni kama mechi ya kawaida kabisa, watu hawana habari nayo Bado siku 1 hii derby ipigwe lakini hakuna anayejali, Watu wanaongelea mechi Mashujaa vs Yanga, hii imesikitisha sana Inasemekana kitu kilichoouwa...
  9. Teko Modise

    Juma Ayo: Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba apewe Derby ya Kariakoo, anajua kutafsiri vyema sheria za soka

    “Refa wa leo apewe derby nimependa namna ambavyo ametafsiri sheria ya mpira, Simba penalty zote 3 ni clear kabisa hakuna doubt hata kidogo. Huu mpira tunaucheza na tunaujua lazima tuwe wakweli Kudos kwa mwamuzi...hajaangalia idadi ya penalty anazotoa ameangalia zaidi matukio” Hayo ni maneno...
  10. Lycaon pictus

    Kuna haja na sisi kuwa na Halftime show kwenye Kariakoo Derby?

    Kuna weza kuwa na faida iwapo tutakuwa na halftime show ya muziki kwenye Kariakoo Derby kama ambavyo US wanayo kwenye superbowl?
  11. R

    Kwa huyu kocha mpya wa Yanga, Dube kupewa kipaumbele na Aziz Ki kutumia nguvu nyingi kwenye pisi, Kipigo hakikwepeki Derby, Simba wanazirudisha zote 5

    Zinarudi zote na zinaweza kuzidi, Kocha mpya wa Yanga itamchukua muda mrefu kuingiza kikosi kwenye mfumo wake, Motivation ipo chini, wachezaji wamechanganyikiwa kubadilishwa makocha kila leo, Mindset za wachezaji wanajua kocha mpya anatimuliwa muda wowote. Unahitaji akili za kawaida kabisa...
  12. MwananchiOG

    Wako wapi wachezaji hawa? Hawaonekani tena tangu Kariakoo derby

    1. Hussein Kazi mbovu 2. Kelvin kijilimo cha mbogamboga 3.Aishia hewa Manula . . . NEXT ; Kisia nani?
  13. ngara23

    Derby ya Kariakoo kupigwa tarehe 8 March

    Bodi ya ligi imepanga maboresho ya ratiba ya ligi kuu NBC, huku ikiipa Derby ya Kariakoo tarehe 8 March Simba pia atarudiana na Azam tarehe 24 March katika Mzizima derby, huku Yanga wakirudiana na Azam tarehe 10 April Usiku wa deni hauchelewi Kumbuka Simba alipigwa ataingia kwenye record ya...
  14. Damaso

    El Clásico: The Ultimate Derby in the World of Football

    Katika dunia ya soka, hakuna mechi inayosikika sana, kuvutia mashabiki wengi, na kuwa na mvuto mkubwa kama El Clásico, mechi kati ya FC Barcelona na Real Madrid. El Clásico ni moja ya michezo inayohusisha siyo tu timu mbili kubwa za Hispania, bali pia ni tukio la kihistoria, lenye mvuto mkubwa...
  15. SIPENDI SIASA

    KARIAKOO DERBY: Mechi baina ya Simba na Yanga, waamuzi watoke nje ya Tanzania kwa usalama wao pamoja na familia zao?

    Oya wadau wa kandaa, leo nimewaza tu kwa sauti kwa maana nimeona unazi wa Simba na Yanga unazidi kuongezeka kadri siku zinavyoenda hivyo kufanya usalama wa waamuzi pamoja na familia zao kuwa mashakani. Kama mtu anaweza kujiua kisa tu Simba kamfunga yangu au Yanga kamfunga Simba, wewe unafikiri...
  16. Waufukweni

    Kimbunga chavuruga mechi ya Merseyside Derby kati ya Everton na Liverpool

    Mechi iliyokua ichezeke mapema leo, Merseyside Derby kati ya Everton na Liverpool maarufu Majogoo wa London, imehairishwa. Sababu ya kuhairishwa ni uwepo Kimbunga kikubwa na dalili ya mvua isiyo na kikomo hapo baadae leo hii Soma, Pia: Uhasama wa Everton na Liverpool ulianzia hapa Mamlaka ya...
  17. MwananchiOG

    5/11/2023 - Leo katika Historia, Yanga yaibuka na ushindi wa bao TANO (5) katika derby ya Kariakoo, Unakumbuka nini kabla ya mchezo siku hii?

    Tarehe kama ya Leo mabingwa wa nchi, Young africans sc, Yenye makazi yake Jangwani, Dar es salaam, Ilifanikwa kutoa somo na onyo kali kwa kumkung'uta kichapo kikali mpinzani wake katika derby ya Kariakoo, Je ulitazama mchezo ukiwa wapi siku hii? Hisia kabla ya mchezo zilikuwaje na ulipokea...
  18. GENTAMYCINE

    Ila Yanga SC mnajua sana 'Kutukoga' wana Simba SC na hivi Mnatufunga mnavyotaka kila Derby mbona tutawakomeni

    Kuna Jezi zao kadhaa wamezichapisha zimendikwa UBAYA UBWEGE KIJILI 1:0. Yaani nimejikuta Ninacheka sana tu!!!!!
  19. Smt016

    Kayoko ni mwamuzi mbovu ila kwenye hii derby kila timu imeathirika na maamuzi yake ya ovyo tofauti na Simba wanavyoona ni wao pekee

    Ukipita mitandaoni na mitaani, utaona wanasimba wanalalamika wameonewa na mwamuzi sababu kubwa zao ni 1) wamenyimwa penati mbili za Kibu, na faulo iliyozaa goli haikuwa faulo ya maana. Kwenye swala la penati ambayo ni halali ni moja tu na sio mbili kama inavyodaiwa. Ile moja ni faulo...
  20. Dabil

    Derby ya Kariakoo ichezeshwe na Marefa kutoka nje

    Marefa toka nje wawe wanachezesha derby ya kariakoo,inashangaza marefa wa ndani kurudia makosa yale yale kubeba timu moja.  Sehemu ambayo kadi nyekundu inatakiwa haitolewi,penati zinazostahili zinaminywa kubeba timu flani. Rushwa nje nje, Chama anaingia kupiga foul aliyotengenezewa mazingira.
Back
Top Bottom