A designer is a person who plans the form or structure of something before it is made, by preparing drawings or plans.
In practice, anyone who creates tangible or intangible objects, products, processes, laws, games, graphics, services, or experiences can be referred to as a designer.
Habarini wadau,
Nimewakumbuka sana.
Anyways, kuna nafasi ya kazi na anahitajika Graphic designer and social media expert.
Vigezo :
1. Awe mwanamke
2. Asiwe na majukumu ya kifamilia
3. Muaminifu na asie muongomuongo
4. Awe tayari kujifunza new skills
5. Ajue kuzungumza kiingereza, akijua lugha...
Kama wewe ni web designer mzuri nipe ofa yako PM kwa ku-design website kama hii ya Findel International. Biashara yangu ni kama yao 100%.
Kitu ambacho sitataka kama wao ni huo mfumo wa malipo (payment integration)... kwa sasa sihitaji. Visit hiyo website kupitia link niliyokuwekea kisha njoo...
Leo katika pitapita yangu nimeona Mtanganyika mwenzetu kavaa Tshirt imeandikwa "Tunatangazwa bure Burj Khalifa", nikashindwa hata kupiga picha, hata kumpata kwa haraka sababu nilikuwa nadrive na wakwe zangu na taa ziliruhusu, kwa hiyo nikashindwa kabisa ila nimefarijika sana kwa ujasiri ule...
Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili,
Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu sijawahi kufaidika chochote na kipaji hicho.
Je, nawezaje kukitumia kipaji hiki iwe fursa ya mafanikio...
Habari,
Nahitaji graphics design mwenye outstanding skills.
Requirements
1. Lazima awe na uzoefu na skills na software mbali mbali za design.
2. Lazima aweze kutafuta masoko / marketing na kufikia malengo.
3. Awe na ushirikiano na team members na kukamilisha kazi Kwa wakati.
Mashahara: 300k...
Kama umewahi kujaribu kuanzisha biashara wewe mwenyewe utakuwa unaelewa ilivyo ngumu kuanzisha biashara yenye mafanikio. Aina ya biashara unaweza kuanzisha ni nyingi mno, kiasi kwamba wengi huwa hawajui wanaanzia wapi. Tukiongelea creators kama graphics designers, wanapoanza huwa wanakubali kazi...
Hello,
I need two to three web developer ( WordPress Developer)
Requirements:
1. )You must have good design skills
2.) You must know how to use elementor
3.) Be able to do any project with wordPress
4.) I you some php will be added bonus.
5.) Currently not employed and available in Dar...
Sifa
Uwezo wa kuandaa matangazo ya video, animations, posters, banners, n.k
Moyo wa kufanya kazi ya kujitolea
Kituo cha kazi itakuwa Goba, Dar Es Salaam
Hata akitaka kufanyiakazi nyumbani kwake/kazini kwake ili Mradi malengo ya kampuni yatimizwe kwa- wakati
Mshahara ni TZS 300,000 kwa- mwezi...
Mwana Yanga SC Mwenge
Kama Designer Wetu aliishiwa Uzi si angesema tu tuliyonayo tumpe?
Mwana Yanga SC Ubungo
Huyu Designer Wetu na hivi ni Mchagga lazima tu atakuwa kabania Nyuzi na katumia Nyuzi kidogo ili zingine akauze na akajengee Kwao Moshi
Mwana Yanga SC Kawe
Huyu Designer Wetu kama...
GRAPHIC DESIGNER
Industry : Print /Digital Media Job Function : Art / Design
Job Experience Level : Mid Level
Minimum Years of Experience : 2-3
Minimum Academic Qualification : Bachelor
Job Summary
The purpose of this job holder is to create and develop communication material for MCL and...
Utangulizi
Glaness graphics and design inamilikiwa na Flydream Company Limited. Inahusika na huduma mbalimbali mfano kutengeneza flyers, banners, video editing, video shooting, T-shirt printing n.k
Tunatafuta mtu aliye tayari na uzoefu katika maeneo haya:
Sifa
1. Uwezo wa kutumia computer...
Habari wakuu?
Heri ya mwaka mpya.
Niende moja kwa moja kwenye mada,ni hivi ninahitaji mtu mwenye uwezo wa kutengeneza WIREFRAMES kisha azipeleke kwenye MOCKUPS halafu atengeneze CLICKABLE-PROTOTYPES.
Kama una uwezo na upo tayari njoo DM.
NB:
Sio lazima uwe umesomea, as long as unauwezo wa...
Mbunifu huyu aliyejipatia umaarufu kwa ubunifu wa mavazi ya mtaani (streetwear) na kupelekea kuingia mkataba na Makampuni kama Nike na Jordan amefariki dunia muda si mrefu kwa ugonjwa wa kansa akiwa na miaka 41,aliogundulika nao mnamo 2019.
Mbunifu huyu alikuwa mashuhuri katika utamaduni wa...
Jamii Forums is a Tanzanian Non-Governmental Organization that advocates for and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance.
Jamii Forums operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.