Hello coder's
Kama ww ni developer ( WordPress / full stack developer ) I have alot of jobs I need a team. App Developer Invented tooo
Check me on Whatsapp 0763 043 763
Job no: 496269
Work type: Regular Full-Time
Location: Tanzania – Dar es Salam
Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City...
Muhimbili National Hospital (MNH) is a tertiary Specialised and Super Specialist Hospital in Tanzania organized into nine Directorates with bed capacity of 2,178 out of which 1,570 beds are at the Main Upanga Hospital and 608 beds are at Mloganzila facility which is 30 km away from the main...
Habari
Kama sio settings za simu yangu basi ndio hivyo tena jamaa warudi tu shule.
Ninapofungua app ya WhatsApp kisha naenda chini pale nabofya nipate majina mbalimbali ya wapendwa zangu majina yanafunguka vizuri lakini ninapompa “Hi” mpendwa mmoja nikirudi kwenye majina screen inanileta...
Wakuu mimi ni moja ya watu ninaopenda kuwa Software developing ninampango wa kusoma ICT je nitaweza kutimiza ndoto zangu?
Nakama mtu anaconnection ya chuo cha hapa Dar itakuwa poa
NImejaribu na NMB debit card lakini napata "Your card’s issuer declined this request. Contact your bank or use a different payment method. Learn more [OR-CCSEH-26]". Nimeenda bank wananiambia tayari card imewezeshwa kufanya malipo mtandaoni.
NIme-google naona wahindi pia linawasumbua hili...
IntelPetro
Pump Automation With Accounting
& Inventory Management Software
naomba wenye ujuzi na hii software au hata kama ipo nyingine hapa kwetu
je ni nzuri ? Ina meet requirements zote za shell katika mazingira yetu.
Najua kuna ulazima wa kuwa na miundo mbinu ya ICT KWENYE shell...
Kama title inavyojieleza, nina uzoefu wa kutosha usiopungua miaka mitatu (work experience), kwa sasa natafuta kazi party time au contract
Skills
PHP (Laravel, Wordpress theme &plugin development, OOP)
Javascript ( Vue.js, React.js, Jquery)
Docker, Git, Jira, Bash scripting, comfortable with...
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Training IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety of business problems.
The Role
As Web Developer, you will build and ship our mobile products to our...
Ndugu zangu,
Kama wewe ni software & web developer mzuri, na upo Dar, nadhani nina project kwaajili yako.
A quick introduction about the project;-
Project itahusisha utengenezwaji wa high performing website (ambayo ningependa kuiita platform ama portal) kutokana na multifunctionality yake...
Experienced app developers needed, you must be able to create a complex system yet maintainable that will involve some complex programming.
High priority will be given to those who employ the use of block chain tech in programming.
DM with your experience and CV Deadline for application 15...
HABAR WADAU hope wote mpo poa
Leo nina maswali mengi sana wadau nilitaka nifungue uzi mmoja niweke mada zote ila nikaona nitawachanganya wadau ngoja nifungue kila kitu na uzi wake uzi huu niliwahi kuuandika apo nyuma sema sikuwa na screenshoot ivo mada ikakosa mashiko leo sasa twende pamoja pia...
Habari developer, mimi sipo vizuri sana kwenye coding lakini nashukuru angalau napata uelewa mpana kila siku
Sasa nataka nianze kutumia visual studio ide, balaa ni hizo component baadh baadh sizielew je kuna umuhimu wa kujua zote na kazi zake
Huwa siwezi kutumia linux completely kwenye mashine yangu haiwezekani, hivyo huwa nafanya dual boot Kwa Linux na window 10, baada ya kuona mapungufu kadhaa ya VM, ila kuna kipindi Microsoft walitoa WSL ambayo ina version kadhaa nadhani zimefika mbili mpaka sasa.
Hii inasifika kwa kuwa na uwezo...
salam kwenu wana jukwaa.
Nimeitwa usaili utumishi next week kada ya ICTO II post ya software developer HESLB.
Hii ndo interview yangu yakwanza utumishi nlikua naomba nimepewe hints wapi pakukazia maana naona kama napapasa gizani.
Asante
Wakuu salam kwenu. Niko hapa naomba tips za wapi pa kugusia kwenye written exams za utumishi kada ya ICTO upande wa software developer na Sys Admin.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi naona kama napapasa gizani.
Msaada wenu wadau kitaa pamekaza kinoma.
Habari wana JF
Leo nina mada fupi juu ya utofauti wa kazi za hawa watu watatu tajwa hapo juu kwenye kichwa cha habari katika sekta ya TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) .
Mada hii itachochea wale ambao wanahitaji kuwa na uelewa wa maswala ya TEHEMA na pia kwa wale walio ndani ya...
Habari za leo wanafamilia.
Nahitaji App developer au company inayodeal na utengenezaji wa Apps.
Nna mfadhili anataka kunipa support kwenye app yangu.
Mimi ni Muanzilishi wa Kuku Care Tanzania.
Tunauza herbs na spices Maalum za kutibu na kukinga magonjwa mbalimbali ya Kuku, kupandisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.