Hello bosses,
Kuna kitu kimenikaa sana ngoja nikiseme. Unajua developers wengi wa kiafrica ninaowafahamu wananishangaza sana hasa hasa kwenye upande wa javascript.
Mtu unakimbilia kujifunza frameworks na libraries tu bila kuwa na core knowledge ya javascript. Hii inapelekea watu kupata errors...
Sio mwandishi mzuri lakini nataka kushare hii na watanzania,
Hii ni moja ya fursa kubwa zinazopatikana duniani kwa sasa,Kutokana na ukuaji wa masoko na mwendelezo wa ukuaji wa teknolojia. Leo hii nawaletea fursa kubwa ambayo inaweza kuwasaidia watu wenye ujuzi kuhusu masuala ya mitandao hasa...
One of My clients is looking for individuals with skills,knowledge experience and ability to develop and push tot the market various products and services to the market under commission basis. The type of individuals should have ability and willingness to work independently under tight...
Katika dunia ya sasa ambapo kwa sehemu kubwa tunahitaji simplicity nawapongeza Vodacom M-Pesa kwa kuachia API zao za M-Pesa ili developers mbalimbali kuweza kutengeneza products ambazo zitakuwa na uwezo wa kulink na huduma za M-Pesa bila longo longo au procedures nyingi.
Sasa ni wakati wetu...
Habaran wana jamii leo nimekuja hapa tujifunze jinsi ya kutengeneza GUI apps
Naomben kujua ni application gan nzur kwa kudesign GUI
Tayar nkmeshasoma programming language zote C.C++.PYTHON.java. my sql .HTML .php .c#
Ila sasa nataka nijue kutengeneza GUI maswali yangu ni haya.
1.je kila...
Developers, Vodacom appears to have released the M-Pesa API. See M-Pesa Developer Portal
Developers, we can now create more solutions for online payments involving M-Pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.