Matajiri hamjambo......
Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...
Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.
Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.
Risiti nlionunulia ipo...