dhahabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mcrounmj

    Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

    Wadau poleni na swaumu mulio katika mfungo wa mwezi wa Ramadhani. Napenda kujulishwa kwa mwenye uzoefu biashara ya dhahabu inalipa vipi kwa mtaji wa million 5, tahadhali za kuchukua dhidi ya utapeli, vibali vya biashara na maeneo ambayo yako suitable kwa hiyo biashara. Natanguliza shukrani...
  2. Superbug

    Naamini mradi mkubwa kama Stiegler's Gorge haukosi dhahabu. Je, kama ndivyo zinaenda wapi?

    Jamani tuambiane ukweli hivi mradi mkubwa wa kuchimba eneo kubwa vile kama stiglaz goj utakosa madini kweli? Je, serikali inalijua hili na Kama hailijui basi ilifanyie kazi. Kama inalijua basi tuiulize je Kama Kuna dhahabu madini hayo yanaenda wapi? Isije ikawa mradi unajilipa wenyewe halafu...
  3. Hassan samaras

    Biashara ya madini ya dhahabu

    Hello natumai wote ni wazima kabisa na wa afya iliyo bora kabisa, Jamani mimi nataka nijue haswa biashara ya madini ya dhahabu ni shilingi ngapi kwa gram1? Na je ukiwa na 3million unaweza kuianza.
  4. BAK

    Council demands Sh 4bn levy from gold company

    By Elisha Magolanga Dar es Salaam. Nzega District is demanding Sh4 billion in local government levy from a gold mine closing down this year. Council officials and the area MP maintain that Resolute Mining Limited, which owns the Golden Pride Gold Mine, should pay up or face unspecified...
  5. BAK

    Tanzania's first modern, commercial gold mine winds up

    By Elisha Magolanga Dar es Salaam. The Golden Pride mine is closing down next month, after 13 years of continuous operation that produced about $3.3 billion (Sh5.2 trillion) worth of gold at current prices.The closure of the Tabora-based mine, which will start with shutting down pit production...
Back
Top Bottom