Wadau poleni na swaumu mulio katika mfungo wa mwezi wa Ramadhani.
Napenda kujulishwa kwa mwenye uzoefu biashara ya dhahabu inalipa vipi kwa mtaji wa million 5, tahadhali za kuchukua dhidi ya utapeli, vibali vya biashara na maeneo ambayo yako suitable kwa hiyo biashara.
Natanguliza shukrani...
Jamani tuambiane ukweli hivi mradi mkubwa wa kuchimba eneo kubwa vile kama stiglaz goj utakosa madini kweli?
Je, serikali inalijua hili na Kama hailijui basi ilifanyie kazi. Kama inalijua basi tuiulize je Kama Kuna dhahabu madini hayo yanaenda wapi?
Isije ikawa mradi unajilipa wenyewe halafu...
Hello natumai wote ni wazima kabisa na wa afya iliyo bora kabisa,
Jamani mimi nataka nijue haswa biashara ya madini ya dhahabu ni shilingi ngapi kwa gram1?
Na je ukiwa na 3million unaweza kuianza.
By Elisha Magolanga
Dar es Salaam.
Nzega District is demanding Sh4 billion in local government levy from a gold mine closing down this year.
Council officials and the area MP maintain that Resolute Mining Limited, which owns the Golden Pride Gold Mine, should pay up or face unspecified...
By Elisha Magolanga
Dar es Salaam. The Golden Pride mine is closing down next month, after 13 years of continuous operation that produced about $3.3 billion (Sh5.2 trillion) worth of gold at current prices.The closure of the Tabora-based mine, which will start with shutting down pit production...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.