Hayati Magufuli aliweza kujenga barabara na miundombinu yake tangu akiwa waziri wa Mkapa hadi anakuwa Rais lakini watanzania hawakuliona hilo
Wajazeni wananchi fedha mifukoni ndipo mtaiona furaha yao na CCM itang'ara vinginevyo inaonekana kana kwamba maji yanotolewa mtoni na kuingizwa baharini...
Jamaa mwamba sana huyu, kha!!
SAPPORO, Japan (Reuters) - Kenya’s Eliud Kipchoge won the Olympic men’s marathon with a commanding performance in Sapporo on Sunday, winning his second straight gold medal and cementing his place among the all-time greats of the sport.
Abdi Nageeye of the...
Ikiwa imeaanza kwa kusuasua kwenye michezo wa Olympic, Marekani imetwaa kwa mara ya nne mfululizo medali ya dhahabu kwenye michezo ya Olympic kwa kuifunga Ufaransa 87 kwa 82.
======
Team USA secured a fourth straight Olympic gold medal as they beat France 87-82 in Tokyo.
It was the second time...
Kama kawaida Wakenya wanaendelea kukusanya medali kadhaa kule, vipi majirani kunaye anatajika hata kuonekana tu kwenye TV.
• Fellow Kenyan Brigid Kosgei took silver and Molly Seidel of the United States took bronze
• Battling hot and humid conditions, Chepng'etich dropped out around the 30km...
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro...
Uchimbaji wa dhahabu kuanzia kwa mchimbaji mdogo mpaka mkubwa. Watu wanaingia woga sana kwenye hii biashara ambayo inataka umakini na adabu sana kwenye fedha.
Tuanze na uchimbaji wenyewe Kwanza anza kidogo kidogo kwa kuwa makini na ujitoe rasmi kuingia kazini sio uwe unawatuma watu hii kazi...
Utajiri wa baharini:Dhahabu imejaa baharini kwa sababu ya kuzama kwa meli kadhaa za kale
Kuna mali ya thamani ya mamilioni ya dola inayoharibika katika bahari mbali mbali duniani . Mali hiyo ni pamoja na maelfu ya tani za dhahabu na vito vya thamani ambavyo vilizama pamoja na meli...
Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale(Empire Bakuba)....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.
Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake...
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa.
Kuna kikundi kimeibuka kutunga uongo ambao ni vichaa tu wanaweza kuwaamini dhidi ya Sabaya.
Yaani hawa watu wanashindwa kuelewa kabisa...
Wadau Habari za leo naomba leo niwaelezee namna uwekezaji kwenye dhahabu ambao kidogo hauna risk kubwa kama unataka kuingja kwenye biashara ya dhahabu uwekezaji upande wa service huu mzuri sana unachotakiwa kuanzia tafuta kitu kinaitwa crusher hizi inategeme na eneo zipo kuanzia 9m mpk 15m...
Wandugu hebu tufanye kucatalog maeneo yote inakopatikana na kuchimbwa dhahabu Tanzania. Nasikia kuwa sehemu nyingi zenye udongo mweusi(iron) na mwekundu (iron oxide) huwa ni rahisi kupatikana madini ya dhahabu. Sasa Tz kuna maeneo mengi sana yana dhahabu, tujuzane maeneo hayo na hali ya...
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye...
Poleni na mfungo ndugu zangu waislam kaka zangu, dada zangu, na wengine wenye umri kama wangu yaani below 25 niulizeni ndugu yenu hapa kijana mwenzenu.
Niulize chochote kuhusu hii biashara nitakujibu.
Chochote kinachokutatiza nitakujibu.
Karibuni kwenye uwanja wa madini msiogope niulize...
Panapo majaaliwa ya mwenyezi Mungu tumekutana tena kwenye kikao cha wapambanaji. Wakuu wa jukwaa hili hususani vijana nawasalimu kwa Salam adhimu ya mama yetu Samia Suluhu Hassan......
Bila kuwachosha ni kuwa tangu nimeianza safari yangu ya kibiashara nimekuwa nikiwashirikisha hatua...
Dhahabu ya Kijani (Green Gold) ni zao linalostawi vizuri katika maeneo yenye milima zenye mvua nyingi angalau nusu mwaka. Afrika mashariki linastawi vizuri katika nchi za Tanzania, Uganda Burundi na Rwanda zina utajiri mkubwa kutokana na ardhi yake kukubali kustawi kwa wingi Matunda ya...
Kutoa ajira 100 za mwanzo
Imeelezwa kuwa, Majaribio ya Awali ya Kiwanda cha Kusafisha Dhahabu cha Mwanza Precious Metal Refinery ambacho ni Ubia kati ya Serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO.), yameonesha Matokeo Mazuri.
Hayo yameelezwa leo Aprili 17, 2021 na Waziri wa Madini...
Kutoa ajira 100 za mwanzo
Asteria Muhozya na Tito Mselem, Dodoma
Imeelezwa kuwa, Majaribio ya Awali ya Kiwanda cha Kusafisha Dhahabu cha Mwanza Precious Metal Refinery ambacho ni Ubia kati ya Serikali kupiti a Shirika la Madini la Taifa (STAMICO.), yameonesha Matokeo Mazuri.
Hayo yameelezwa...
Habari za mda huu mabilionea wa sasa na wajao. Tumaini langu mnaendelea vema na harakati za kutimiza ndoto zenu.
Ni kama mwezi nilikuja kuomba msaada kwa wajasiliamali wenzangu juu ya biashara ya dhahabu. Nishukuru watu walitoa uzoefu wao, wapo walionitaadhalisha juu ya songombingo zilizopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.