dhambi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Dhambi ni Nini

    Dhambi ni Nini Dhambi ni tendo, hisia, au wazo lolote linalopingana na viwango vya Mungu. Inatia ndani kuvunja sheria za Mungu kwa kutenda mabaya, au ukosefu wa uadilifu, kwa maoni ya Mungu. (1Yohana 3:4; 5:17). Biblia pia inaeleza kuhusu dhambi ya kutofanya lililo sawa ingawa mtu anajua...
  2. K

    Kupata Mali Sio Dhambi .

    Biblia haimlaumu mtu kwa sababu ni tajiri;Wala haisemi kuwa utajiri ni chimbuko la uovu wote.Badala yake maandiko yanasimama kuwa Mungu atoaye uwezo wa kupata utajiri Na uwezo huu na talanta iliyo nzuri kama ikitolewa kwa Mungu na kutumia na kuendesha kazi yake .Biblia haimlaumu uwezo wa ubongo...
  3. Paspii0

    LGE2024 Kutopiga kura ni dhambi mbele za Mungu, dhambi ya kutotimiza wajibu!

    Kupiga kura ni njia muhimu ya kutimiza wajibu wa kijamii na kisiasa. Ni fursa ya kushiriki katika mchakato wa maamuzi yanayoathiri maisha ya watu na jamii kwa ujumla. Kutoshiriki inaweza kupelekea kukosa sauti katika mambo yanayohusiana na maisha yetu. katika mitazamo mingi ya kidini, mamlaka...
  4. Pdidy

    Dhambi ya handshake haitwaacha salama Kenya

    Dhambi kubwa ya kwanza na kuapa mbele za Mungu hutoshirikiana na raila odinga Wala handshake yoyote Dhambi ya pili n kutangazia umma wa wakenya huo upuuzi ulifanyika hukoo nyuma hautafanyika tena Na ukafanyika Hii mitafaruku hata aje raila dp hawatokaaa salama arudi makanisan walkiopitia...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Dhambi inatakiwa ikemewe namna hii. Sio kubembeleza

    Kwanza kabisa Mimi Sina dhehebu maalumu japo nimebatizwa Rc na ndoa nikafungia huko. Napenda kusikiliza mahubiri yoyote Yale. Tofauti tu na mahubiri ya kitapeli na ushuhuda wa uongo, hayo Sina muda wa kuyasikiliza hata kidogo. Huwa nafurahishwa sana na aina hii ya wachungaji/watumishi wa Mungu...
  6. D

    Hii nchi imegawanywa kuanzia kipindi cha Magu, Samia anaendeleza dhambi hiyo kuhusu ujenzi wa miundo mbinu

    Ndugu zangu watanzania wenzangu nchi hii si moja, hakuna usawa ktk ujenzi wa miundo mbinu. Mwezi wa 8 nilisafiri kutokea Arusha kwenda Dodoma kupitia Kiteto. Kiteto ni wilaya ndani ya mkoa wa Manyara. Ukitokea Arusha unapitia mji wa Orkesumet ambao ni makao makuu ya wilaya ya Simanjiro. Hilo...
  7. Roving Journalist

    Pre GE2025 Askofu Musomba: Uchawa ni dhambi ya Jamii, anapokosea aambiwe ukweli sio kumsifia tu

    Mhashamu Stephano Musomba OSA Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, amesema ya kuwa tukumbuke nafasi zetu katika jamii na sio kupenda kusifia hovyo kwani kufanya hivyo ni kuumiza wengine. Pia soma: LIVE - Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Mjadala usiwe mrefu: Pombe siyo dhambi Wala haijawahi kukatazwa mahala popote Kwenye biblia Takatifu

    Ukiacha ushabiki na kufuata yale wasemao viongozi wetu wa dini Kwa sababu wanajua tukinywa pombe Kwa namna Moja ama nyingine watakoswa sadaka. Hii imekuwa ndo mbinu Yao kubwa ya kuwa hadaa wale wasio jua maandiko vizuri. Kwa wachache tulio amua kuyachunguza maandiko Kwa undani wake tukaona ni...
  9. Bi zandile

    Tunakoelekea kuoga na Sabuni Pia tutaambiwa ni dhambi

    Baada ya Mchungaji Mch. Abiud Misholi Kutamka adharani kwamba ni Ushetani mkubwa Mlokole kushabikia mpira Mwimbaji wa nyimbo za injili na SHABIKI mkubwa wa Yanga African @Ann_annie kafunguka ya moyoni na kusema.... "Kuna Max Nzengeli na Kennedy Musonda wameokoka sasa na wanacheza mpira...
  10. Yesu Anakuja

    Watanzania ogopeni dhambi za sirini

    Luka 12:2 Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana. Mnadhulumu haki za watu, mnauwa kwa ujambazi, kwa visirani, ugomvi wa kisiasa na sababu mbalimbali. Jueni hakika kwamba, yupo Mungu aonaye sirini, mnafanya mkiwa mmejificha, mnafikiri...
  11. Ncha Kali

    Mwanamke yeyote anayemwendesha mwanamme wake, atalipia dhambi hiyo.

    Chukua hiyo! Iwe kwa uganga au nguvu ya kiuchumi. Kumwendesha mwanamme inamfanya asiwe mwenye furaha. Mwanamme akikosa furaha usitarajia kupata furaha pia. Na jiandae kulipa kwa hilo, iwe mapema au kwa kuchelewa. Mwanamme ni KIONGOZI, regardless hali yake..... chagua yule anayefaa...
  12. U

    Tumekosana hatuongei! kisa nimemfananisha na mafarisayo, anadai kuagiza chakula hotelini au kujaza mafuta gari yako siku ya Sabato ni dhambi!

    Wadau hamjamboni nyote? Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoefu Nimekosana na rafiki yangu wa karibu kwa sababu zisizo na mashiko kabisa! Tulianza kama utani kujadili amri za Mungu na tulikwenda vema tu hadi tulipofikia kujadili utunzaji amri ya nne ndipo tukakosana...
  13. Pdidy

    Afichaye dhambi zake hatofanikiwa

    3 Yoh 1..2 N mapenzi ya Mungu ufanikiwe, Lakini sio ktk dhambi. Kama unataka kufanikiwa tubu omba rehema Acha dhambi za sirini
  14. Yoda

    Dhambi 5 zisizoepukika hata kwa washika dini

    Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi. 1. Uongo 2. Uzinzi/uasherati 3. Dhuluma 4. Ubinafsi/Uchoyo 5. Chuki
  15. Mjanja M1

    Unaamini kufanya Surgery kurekebisha maungo ya mwili ni dhambi?

    Leo Mjanja M1 nimetafakari sana juu ya hili suala, Kumekuwa na watu wanarekebisha mpangilio wa meno yao kwa surgery hawalalamikiwi, lakini wanaobadilisha Maumbile eg. Wanawake Wowowo wanasakamwa sana. Au waumini mnachagua madhambi baadhi?
  16. M

    Hivi mnajua wanaoswali na kusali ndio watenda dhambi wakubwa, wale wasiosali wala kuswali hawafanyi dhambi nyingi kivile, ona mifano

    Angalia hapa utajua. Mtu Kwa siku anapiga lakha tano na bado ana mwezi wa toba lakini kila leo anaenda kutubu, ina maana huyu mtu ni mtenda dhambi, na anafanya dhambi makusudi ili aende kutubu kila wakati, Kwa nini asifanye dhambi na atubu mara moja sio kila siku. Haya mtu kila leo kanisani...
  17. M

    Hili ni jambo la kijinga na dhambi niliyowahi fanya ambayo naijutia sana

    Mwaka 2002 nikiwa kijana mdogo wa sekondari nilifanya jambo la kipuuzi sana na ilikuwa dhambi. Nakumbuka ilikuwa ni kipindi cha likizo ya mwezi wa 6. Kwa miaka yote 6 ya sekondari sikuwahi kusoma tuition kabisa na ilikuwa kila likizo lazima tukutane na program za kazi baba kashaziandaa. Likizo...
  18. Bob Manson

    Ingekuwa vipi ulimwengu kama kusingekuwa na dini, dunia bila dhambi kipimo cha uovu nini?

    Ingekuwa vipi kama dini hazipo, ni wapi watu wangepata maarifa na taratibu za kuishi kwa hekima? Ni wapi tungepata sheria na kanuni za kutatua changamoto za kiroho? Naelewa bado dini zipo lakini maovu yanaendelea, je ingekuwaje kama dini hazikuwepo kabisa? Inamaana maovu yangezidi na hakuna wa...
  19. Bila bila

    Rais Samia, Kwanini unabagua dhambi za kukemea?

    Jana nimekusikiliza vizuri wakati ukihutubia Baraza la Wanawake Waislamu. Dhambi iliyokukera zaidi na kuikemea katika kusanyiko Hilo la Dini ni "Kutukana" (matusi). Dhambi hii ukiigeuza katika makosa ya kijinai ni kosa dogo la kutoa lugha ya matusi ambalo adhabu yake ni faini au kifungo Kati ya...
  20. N

    Dhambi ya uzinzi ni mbaya sana

    Moja ya dhambi mbaya kwenye maandiko matakatifu itakayowafanya watu wengi waikose mbingu na kwenda motoni ni dhambi ya uzinzi na uasherati licha ya kuwa dhambi zote zina toba ila hii dhambi ya uzinzi toba yake ina procedure nyingi inaiñclude watu wengi ili uweze kusamehewa pamoja na hilo mtu...
Back
Top Bottom